Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afanyaje? Bado anaweza ku quit kabisa if yeye mwenyewe hapendezwi nachoSawa kwahiyo hiki Cheo chako Kipya na Unaibu Katibu Mkuu umekikubali kabisa na Utakitendekea haki ili Usitumbuliwe tena?
Spot on!Halafu ogopa sana Mwanasiasa akijifanya Anakupenda kwani huenda akawa anataka kukuleta Karibu yake ili akusome, akujue, ajiridhishe kwa anayoyasikia na akutumie kwa Maslahi yake kisha akishajua ameshakuweza pande zote anakutupa kidogo ili usiumie kisha baada ya Miezi 6 au 9 ijayo na hata mwaka anakutupa mazima na urejee Kwenu ( kwa Wazazi wako ) Mbezi Beach Corner Bar jirani na Nyumba ya Mtoto wa aliyekuwa Meya wa Kinondoni Mzee Londa aitwae Haji Londa na muanze sasa kupiga nae Majungu.
Kudadadeki Kwishnei.....!
TANZANIA NDIO NCHI PEKEE UKIWA NJE YA NCHI WAWE NDUGU ,SERIKALI N.K WATAFANYA KILA NJIA KUKURUDISHA HATA KWA MGANGA
Hapa USA wengi ni wahamiaji. Nani huwa anarudi kwao kwenye jeneza? Hata Balali hakurudi kwao kwenye jeneza!Ifike mahali ujue watu wana priority tofauti. Mtu amekaa nje muda mrefu sana, anataka kuja nyumbani. Asingeondoka kama hakuwa na mpango wa kurudi nyumbani, nyumbani hakukwepeki, either urudi mzima au kwenye jeneza
Naona unabahatisha kuelewa nilichokikusudia!Umeambiwa aidha watarudi wakiwa hai au wakiwa kwenye jeneza. Kwenu utarudi tu ukiwa vyovyote
uchawa unauweza?Kuna Rais Barani Afrika anataka Kuniteua, hivyo ninataka kujua kati ya hivi Vyeo viwili kipi Kitanifaa na kipi Kitanishusha?
Sasa kama Korea wako wanne, nyie maskini mlio kwenda kuomba msaada mko 30 kuongea na watu wanne kuna maana kweli? Zuhura ange zuiaje ile picha wakati yeye aliona nayo ni story?Mtu pekee aliyeitendea haki kurugenzi ya habari ni Msigwa, alijua kum-brand boss wake, japo alikuwa chinja chinja
Get jeupe ndio every thing,pale una coordinate kaz na bajet yake is there, siio unapanga kaz bajet sijui unaisubir wap hapana, trip za nje lazima uwemo,za ndan ,mim napendekeza makonda awepo paleKwahiyo naibu katibu mkuu ni wadhifa wa chini kuliko mkurugenzi?
Nahisi kuna kupandishwa na kutolewa karibu na mpandishaji/jikoni! 😄Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ni cheo Kikubwa kuliko Mkurugenzi-ki msingi amepanda cheo.
Katibu Mkuu>>Naibu Katibu Mkuu>>>Mkurugenzi>>>>Mkurugenzi Msaidizi.
Sahihi, watu watofautishe watumishi wa uma na viongozi wa uma/wanasiasa km mawaziriUmeeleza vizuri ila hapo kwamba akitoka hapo anakwenda kuwa Naibu Waziri ni Uongo
Mmmhhh!Naamin maslah yake ni mazuri kuliko huko alipokua.