Zuhura Yunus kaboronga wapi mpaka kutolewa Ikulu?
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ni cheo Kikubwa kuliko Mkurugenzi-ki msingi amepanda cheo.
Katibu Mkuu>>Naibu Katibu Mkuu>>>Mkurugenzi>>>>Mkurugenzi Msaidizi.
Ameshuka. Lambda kwenye kula hela ndio amepanda.

Kurugenzi ya Ikulu huwezi linganisha na wizara. Mda ule alikuwa na uwezo wa kuwaita mawazir wote Sasa hivi no.
 
Bw. MILTON LUPA KENDE MALAMU!

Huyu Jamaa mwanzoni alikuwa;

1. Mkurugenzi wa NFRA, baadaye akawa

2. Mkurugenzi wa NBAA

3. Akiwa NBAA ndo akateuliwa kuwa Mkurugenzi wa VETA Tanzania.

4. Uteuzi huo aliupata siku ya Ijumaa tarehe 31.05.2024.

5. Siku ya tarehe 02.06.2024 akiwa njiani kutoka Tanga kuja Dodoma kuripoti kuwa Mkurugenzi wa VETA akapata ajali ya gari maeneo ya Dumila Morogoro na kufariki Dunia.

6. Kumbe Jumatatu angeripoti na kuanza kazi kwa siku ya Jumanne na Jumatano jana tu leo angepata uteuzi huu mpya.

Apumzike kwa amani.
 
Halafu ogopa sana Mwanasiasa akijifanya Anakupenda kwani huenda akawa anataka kukuleta Karibu yake ili akusome, akujue, ajiridhishe kwa anayoyasikia na akutumie kwa Maslahi yake kisha akishajua ameshakuweza pande zote anakutupa kidogo ili usiumie kisha baada ya Miezi 6 au 9 ijayo na hata mwaka anakutupa mazima na urejee Kwenu ( kwa Wazazi wako ) Mbezi Beach Corner Bar jirani na Nyumba ya Mtoto wa aliyekuwa Meya wa Kinondoni Mzee Londa aitwae Haji Londa na muanze sasa kupiga nae Majungu.

Kudadadeki Kwishnei.....!
 
Halafu ogopa sana Mwanasiasa akijifanya Anakupenda kwani huenda akawa anataka kukuleta Karibu yake ili akusome, akujue, ajiridhishe kwa anayoyasikia na akutumie kwa Maslahi yake kisha akishajua ameshakuweza pande zote anakutupa kidogo ili usiumie kisha baada ya Miezi 6 au 9 ijayo na hata mwaka anakutupa mazima na urejee Kwenu ( kwa Wazazi wako ) Mbezi Beach Corner Bar jirani na Nyumba ya Mtoto wa aliyekuwa Meya wa Kinondoni Mzee Londa aitwae Haji Londa na muanze sasa kupiga nae Majungu.

Kudadadeki Kwishnei.....!
Ifike mahali ujue watu wana priority tofauti. Mtu amekaa nje muda mrefu sana, anataka kuja nyumbani. Asingeondoka kama hakuwa na mpango wa kurudi nyumbani, nyumbani hakukwepeki, either urudi mzima au kwenye jeneza
 
Ifike mahali ujue watu wana priority tofauti. Mtu amekaa nje muda mrefu sana, anataka kuja nyumbani. Asingeondoka kama hakuwa na mpango wa kurudi nyumbani, nyumbani hakukwepeki, either urudi mzima au kwenye jeneza
Sawa kwahiyo hiki Cheo chako Kipya na Unaibu Katibu Mkuu umekikubali kabisa na Utakitendekea haki ili Usitumbuliwe tena?
 
IMG_20240505_203613.jpg
 
Back
Top Bottom