Zuhura Yunus kudai uteuzi wake ulikuwa wa kushtukiza, hakuwa na taarifa ni kweli? Kwanini hakujuzwa?

Sidhani kama nikweli cos tayari alishaaga BBC.......alijua anakoenda bila shaka
Tanzania kila mtu akichaguliwa huwa anadai hakujua. Mpaka Vice President. Kama ni kweli basi huo ni utamaduni mbaya. Lakini kwa yeye kujiuzuru ina maana tayari alishajua. Unless anazungumza watu wa ndani ndiyo waliompigia simu.

Halafu haiwezekani akaondoka kwenye shirika kubwa kama BBC kwa shirt notice. Probably, Alisharesign a month or three months ago.
 
Joan Wicken.
 
 
Ni kweli wenzetu duniani wanafanya hivyo, nadhani ni sababu ya ukubwa wao, nguvu na mifumo yao ilivyo imara. Sasa fikiria udogo wetu huu ulivyo ktk nyanja zote halafu mtu yupo Ulaya uanze kusema Fulani anatarajiwa kuteuliwa kuwa ......

Hizi Surprise ni Muhimu kwa Maslahi Mapana
 
Inawezekana aliahidiwa kuwa kuna uteuzi unatakuja kwake lakini hakujua wapi hasingeweza kuondoka BBC hivi hivi tu bila uhakika wa ajira mpya nzuri zaidi
Hiyo "h" ya Nini kwenye neno "hasingeweza"?

Kiukweli huwa naboreka sana na watu wanaoshindwa kutifautisha na kujua matumizi ya hayo maneno.

Kuna jamaa mmoja naye ana ujinga kama huo huwa ananikera sana!!

Hebu jifunzeni kiswahili bhana mnatudhalilisha aaaalaaaaaaaaaaaah

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Umenena vyema.
 
Is she still with us?
 
Kuna ukakakasi.
Je, mteuaji ni kichaa?
Je, mteule angekataa uteuzi huku umeshaweka jambo public inakuwaje?
Kuna usanii hapa
 
Huyu hasitufanye sisi wote watoto,aliachaje kazi BBC kama alikuwa hajui kinachoendelea. Sema ajue Tanzania ni kugumu. Wenzake waliomtangulia kutoka BBC na kuteuliwa kuwa wasemaji wa ikulu ni marehemu Afsa Mosi(Burundi) na Lubunga Boaombe (DRC).
 
Huyu mama hasemi ukweli mbona mimi nilisoma mahali tangu December, 2020 wakati ametoa notice ya kuacha kazi BBC walisema amepewa kazi na SSH sasa leo anasema alistukizwa sio kweli
Umepoteza kumbukumbu kamanda, SSH alikuwa hana mamlaka ya kuahidi au kutoa kazi 2020 alikuwa ni mshauri tu
 
Hapa JK alidanganya waziwazi.
Inawezekana utawala wa JPM ulikuwa na mambo ya kitoto mengi sana.

Mojawapo ni wananchi kutopewa taarifa kama rais wa nchi ni mgonjwa wanakuja kupewa taarifa ya kifo tu tena usiku wa manane.
 
Usiamini kila jambo, asilimia kubwa ya mambo hapa duniani ni "fake",ni hadaa, hizo ni fiksi tupu ndugu yangu, huyo aliandaliwa ndio maana akajistahafisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…