The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
Shida jamaa ajivunzi yaani. Yeye ana nyenyekea no. 1 tu wengine wote anaona ligi lake [emoji16][emoji16]Makonda huko alipo anajua mabadiliko yoyote na yeye yanamuhusu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida jamaa ajivunzi yaani. Yeye ana nyenyekea no. 1 tu wengine wote anaona ligi lake [emoji16][emoji16]Makonda huko alipo anajua mabadiliko yoyote na yeye yanamuhusu.
Makonda ndiye anapanga mchezo mzima mkuu.Makonda huko alipo anajua mabadiliko yoyote na yeye yanamuhusu.
Mkuu unahakika sayari venus haionekani mchana? Au macho yako ndio hayaioni?Zuhura ni sayari ya Venus.
Sayari haiwezi kuonekana mchana, ni lazima ionekane usiku 🤣🤣🤣
Nyerere ndio chanzo cha matatizo yote hilo halina ubishiTatizo ni CCM
Matatizo yote ya Tanzania kuanzia ujinga yalisababishwa na Nyerere
😂😂😂MFUGA KUKU ATEULIWA UDC.
Ni wakati wa kujinenea Mazuri, na wanasema mdomo huumba mara paaap! naenda kuwa DC Ilala.
Daah.Zuhura ni sayari ya Venus.
Sayari haiwezi kuonekana mchana, ni lazima ionekane usiku 🤣🤣🤣
Define mchana kwanza.Mkuu unahakika sayari venus haionekani mchana? Au macho yako ndio hayaioni?
Wakuifanya hivyo wamelala makaburijiNchi yetu hii ni political oriented naamini km tungebadilika km nchi za Asia tukawa economic oriented tungekuwa mbali sana.
Unaijua Mshtarii mkuu?Daah.
Mkuu umenikumbusha mbali enzi hizo nasoma government school kwa kiswahili jiografia.
Mwalimu wetu anajifanya mjuaji kiingereza, kila title ya mada kwa mbele anaweka kwenye mabano lugha ya kiingereza.
Eg. Mfumo wa Jua (Solar System), Zuhura (Venus).
Umesahau ntuni akiwa KGEnzi za magufuli mkuu wa wilaya X alitumbuliwa akiwa kwenye ziara ya kikazi akamwambia dereva nishushie hapahapa nitapanda bodaboda
Acha ujinga mtu amekufa karibia miaka 30 sasa bado unamtupia lawama.Nyerere ndio chanzo cha matatizo yote hilo halina ubishi
Byebyeeeeeeeeeee....chugs...ldn
Unajua madhala ya vita ya kageraAcha ujinga mtu amekufa karibia miaka 30 sasa bado unamtupia lawama.
Siijui mkuu.Unaijua Mshtarii mkuu?
Jupiter.Siijui mkuu.