Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 12,823
- 21,210
Nilisha sahau mkuu.
Ila yule mjuvi alituandikia sayari zote.
Ila yule mjuvi alituandikia sayari zote.
Jupiter.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jupiter.
Mama yako akiwa house... !! wa ikulu sio!!?Mkuu,
Mimi nilitembea corridors za Ofisi ya Rais tangu niko tumboni mwa mama yangu.
Nilishapita huko siku nyingi siwezi kurudi.
Mkuu,Nilisha sahau mkuu.
Ila yule mjuvi alituandikia sayari zote.
NAKAZIA.Kuishi Tanzania ni laana
Wewe mwenyewe hujui unasema nini na hujui unatoa statement au unauliza swali.Mama yako akiwa house... !! wa ikulu sio!!?
Ok!Wewe mwenyewe hujui unasema nini na hujui unatoa statement au unauliza swali.
Despicable miscreant with a calcifying cretinous calamity.
Akili kubwaNchi yetu hii ni political oriented naamini km tungebadilika km nchi za Asia tukawa economic oriented tungekuwa mbali sana.
Hehe anawanyima sana usingiziMakonda huko alipo anajua mabadiliko yoyote na yeye yanamuhusu.
MFUGA KUKU ATEULIWA UDC.
Ni wakati wa kujinenea Mazuri, na wanasema mdomo huumba mara paaap! naenda kuwa DC Ilala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa, tuko macho toka amechaguliwa. Afya zetu hapa zilipo zimeharibika sana kwa kukosa usingizi toka wakati huo.Hehe anawanyima sana usingizi
Huku fresh.Kwema tu mkuu. Vipi huko?
Na Technological OrientedNchi yetu hii ni political oriented naamini km tungebadilika km nchi za Asia tukawa economic oriented tungekuwa mbali sana.
Kuna jamaa mmoja alisema it is always a long way to go, if you don't know where you are going.Na Technological Oriented
Anamnyima nani? Hata mi muuza madafu haninyimi usingizi.Hehe anawanyima sana usingizi
AnawamalizaBOMAYE___kill him😈