Tetesi: Zuhura Yunusu kutetema usiku wa manane

Tetesi: Zuhura Yunusu kutetema usiku wa manane

nategemea jina linaonza na Lucas chawa promax kutoka nyanda za juu kusini.
Hana lolote huyo kapuku atabakia kupiga domo humuhumu.

Wanateuana kwa kujuana sio kwa kusifia yani ile umeletwa na nani.

Ni rahisi sana yule dogo Isack Mwigulu kuteuliwa mapema ila sio Lucas Mbwa Wa Shamba.

Teuzi zote ni vimemo na baba yako /mama na kadhalika waliwahi kuwa nani .

Huu ndio upuuzi ulioasisiwa na unaoendelea kufanywa na chama chakavu .
 
Tatizo ni CCM

Matatizo yote ya Tanzania kuanzia ujinga yalisababishwa na Nyerere
Hakuna mtu mwenye uwezo wa kushikilia akili au fikra zako.
Msingi wa utumwa umejengeka kwenye akili/fikra za mtumwa mwenyewe.
 
MBINGUN KUNA MAKAOO MAZURI SANAAAA MBINGUN KWELI KUNA MAKAO MAZURI SANAAAAAA HALLELUYAA TUTAONAAAAAAAA....TUKIFIKAAA....KWABWANA HALLELUYAA
 
Unapopanda gari la umma kama kiongozi mwenye dhamana jiandae kisaikologia pia kushuka na kuwa RAIA wa kawaida.

Tunategemea kupata mabadiliko makubwa katika nyanja ya kisiasa kuanza mwezi Mei,2024 hivyo niwaombe viongozi kumvumilia Zuhura Yunusu anapokata usingizi akawasha data na kutuma barua ya uteuzi na utenguzi.

Usijiandae sana kwamba dereva aliyekupeleka nyumbani jioni ndiye atakuchukua asubuhi; upo uwezekano Dreva huyo akalazimika kuamka asubuhi kwenda kumchukua msaidizi wako.

Jenga tabia yakuachana na mali za umma baada ya muda wa kazi. Usilale ofisini; hii italisaidia linafsi lako kupokea press usiku wa manane.

Wale wote mnaomfahamu Zuhura Yunus zingatieni kwamba tarehe zilizopo mbele yetu ana kazi yakutoa majalada mezani na kwenda kutekeleza maamuzi.......anzeni na posti hii kijiandaa
Unataka kutuambia kuwa yeye usiku halali, basi huyu atakuwa mchawi tu anatumiwa na serikali kutia watu pressure kwa teuzi za kushitukia
 
Back
Top Bottom