Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Correct,Kuna jamaa mmoja alisema it is always a long way to go, if you don't know where you are going.
Yani kama hujui hata unapotaka kwenda ni wapi, safari yako ni ndefu tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Correct,Kuna jamaa mmoja alisema it is always a long way to go, if you don't know where you are going.
Yani kama hujui hata unapotaka kwenda ni wapi, safari yako ni ndefu tu.
Nilisema siku nyingi,huyo ana matatizo ya akili ya 'nicklas bendtner syndrome'..huwa anajiona mtu specialUnaanza sifa mapema kabisa
Pia kuna waziri amewahi kutumbuliwa akiwa nahisi ni kigoma kama sijakosea kwenye ziara.Enzi za magufuli mkuu wa wilaya X alitumbuliwa akiwa kwenye ziara ya kikazi akamwambia dereva nishushie hapahapa nitapanda bodaboda
Wapi?njoo
homeWapi?
Muuza madafu pale magogoniAnamnyima nani? Hata mi muuza madafu haninyimi usingizi.
Hana lolote huyo kapuku atabakia kupiga domo humuhumu.nategemea jina linaonza na Lucas chawa promax kutoka nyanda za juu kusini.
Hakuna mtu mwenye uwezo wa kushikilia akili au fikra zako.Tatizo ni CCM
Matatizo yote ya Tanzania kuanzia ujinga yalisababishwa na Nyerere
Na huo ndio ukweli wenyeweTatizo ni CCM
Matatizo yote ya Tanzania kuanzia ujinga yalisababishwa na Nyerere
🤣🤣 wakeshe na koroboi ikibidi bhashiminze na ka ChamumgwiZuhura ni sayari ya Venus.
Sayari haiwezi kuonekana mchana, ni lazima ionekane usiku 🤣🤣🤣
Kwa hiyo ana tabia za kichawi si ndiyo? Maana yeye mambo yake ni ya usiku tu🤔Zuhura ni sayari ya Venus.
Sayari haiwezi kuonekana mchana, ni lazima ionekane usiku 🤣🤣🤣
Ana tabia za BBC kufanya kazi masaa 24.Kwa hiyo ana tabia za kichawi si ndiyo? Maana yeye mambo yake ni ya usiku tu🤔
Unataka kutuambia kuwa yeye usiku halali, basi huyu atakuwa mchawi tu anatumiwa na serikali kutia watu pressure kwa teuzi za kushitukiaUnapopanda gari la umma kama kiongozi mwenye dhamana jiandae kisaikologia pia kushuka na kuwa RAIA wa kawaida.
Tunategemea kupata mabadiliko makubwa katika nyanja ya kisiasa kuanza mwezi Mei,2024 hivyo niwaombe viongozi kumvumilia Zuhura Yunusu anapokata usingizi akawasha data na kutuma barua ya uteuzi na utenguzi.
Usijiandae sana kwamba dereva aliyekupeleka nyumbani jioni ndiye atakuchukua asubuhi; upo uwezekano Dreva huyo akalazimika kuamka asubuhi kwenda kumchukua msaidizi wako.
Jenga tabia yakuachana na mali za umma baada ya muda wa kazi. Usilale ofisini; hii italisaidia linafsi lako kupokea press usiku wa manane.
Wale wote mnaomfahamu Zuhura Yunus zingatieni kwamba tarehe zilizopo mbele yetu ana kazi yakutoa majalada mezani na kwenda kutekeleza maamuzi.......anzeni na posti hii kijiandaa
Lini utateuliwa kuwa DC ili tufunge ndoa kabisa!Hata naelewa kitu 🤣