Tetesi: Zuhura Yunusu kutetema usiku wa manane

nategemea jina linaonza na Lucas chawa promax kutoka nyanda za juu kusini.
Hana lolote huyo kapuku atabakia kupiga domo humuhumu.

Wanateuana kwa kujuana sio kwa kusifia yani ile umeletwa na nani.

Ni rahisi sana yule dogo Isack Mwigulu kuteuliwa mapema ila sio Lucas Mbwa Wa Shamba.

Teuzi zote ni vimemo na baba yako /mama na kadhalika waliwahi kuwa nani .

Huu ndio upuuzi ulioasisiwa na unaoendelea kufanywa na chama chakavu .
 
Tatizo ni CCM

Matatizo yote ya Tanzania kuanzia ujinga yalisababishwa na Nyerere
Hakuna mtu mwenye uwezo wa kushikilia akili au fikra zako.
Msingi wa utumwa umejengeka kwenye akili/fikra za mtumwa mwenyewe.
 
MBINGUN KUNA MAKAOO MAZURI SANAAAA MBINGUN KWELI KUNA MAKAO MAZURI SANAAAAAA HALLELUYAA TUTAONAAAAAAAA....TUKIFIKAAA....KWABWANA HALLELUYAA
 
Unataka kutuambia kuwa yeye usiku halali, basi huyu atakuwa mchawi tu anatumiwa na serikali kutia watu pressure kwa teuzi za kushitukia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…