Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Askari polisi wa Tanzania, hamkusikia wosia wa Yesu?
Luka 3:14 BHN
Nao askari wakamwuliza, “Na sisi tufanye nini?” Naye akawajibu, “Msichukue vitu vya mtu yeyote kwa nguvu wala kumshtaki yeyote kwa uongo. Toshekeni na mishahara yenu.”
Kwa hii Saga naamini police wa inji hii wamefanya kweri kweri huo uharamia
Nadanganya dungu zanguni?
KweliKwa hii Saga naamini police wa inji hii wamefanya kweri kweri huo uharamia
Nadanganya dungu zanguni?
Iwe kweli au siyo kweli ila ni kweli kuwa polisi nchini wanafanya ujambazi kihalali kabisa na hawafanywi kitu.Probably
Kwelii mkuu😁 ila wakikukamata wakikubana kengele me sipoKwa hii Saga naamini police wa inji hii wamefanya kweri kweri huo uharamia
Nadanganya dungu zanguni?
Jeshi la Polisi livunjweShahidi namba tatu katika kesi ndogo ndani ya kesi kubwa ya Shambulio la kudhuru mwili Diana Bundala Maarufu kama mfalme Zumaridi ametoa ushahidi wake leo huku akidai kuwa Askari waliofanya ukaguzi katika nyumba yake wakati akikamatwa walichukua shilingi Milioni 19 na laki tano.
Shahidi huyo ambaye pia ni mtuhumiwa namba moja katika kesi hiyo namba 12 Diana Bundala maarufu Zumaridi amedai kuwa siku hiyo alikuwa akifanya usafi chumbani kwake ndipo maaskari polisi walivunja mlango wa chumba chake hicho na kuanza kufanya upekuzi kisha wakamuondoa chumbani humo na baada ya upekuzi aliporudhishwa akakuta hela zake, hati ya kusafiria pamoja na simu mbili hazipo
Kwa upande wake shahidi namba mbili katika kesi hiyo ajulikanaye kwa jina la Diana Michael ameeleza kuwa wakati anafika nyumbani kwa Zumaridi alikuta Polisi wametanda katika eneo lote la nyumba huku wakivunja milango, mageti na Madirisha ambapo yeye pia alifunikwa na polisi hao kwenye maturubai baada ya kupigwa kwa marungu, Mabomba na Waya.
Baada kusikiliza ushahidi huo Hakimu mkazi wa mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Mwanza Clescencia Mushi akaahirisha shauri hilo hadi Novemba 9 mwaka huu atakaposoma maamuzi ya kesi hiyo.
Shauri hilo dogo ndani ya kesi kubwa namba 12 ilikuja baada ya kuwepo sintofahamu kwenye maelezo yaliyodaiwa na upande wa mashtaka kuwa ni ya Zumaridi ambaye alikana mahakamani hapo hivi karibuni kuwa saini iliyowekwa kwenye maelezo hayo si yake.
Chanzo: EATV
Waliiba yaani police afu ni weziMilioni 19.5 duh
We nae mbwiga tyu ushawahi kuona watu wanaokaa na cash ndan mil 19 unasema hela nyng nenda nyamongo kaone mtu analala na bilion 6 ndan unashangaa dagaa kummeza sangara?Anakaa na cash yote ya nini, bank si IPO.
Akiweka Benji mwrndazakeanazifuatila na kuzikomba na kesi feki juuAnakaa na cash yote ya nini, bank si IPO.
Ndiyo UkweliKwa hii Saga naamini police wa inji hii wamefanya kweri kweri huo uharamia
Nadanganya dungu zanguni?