Zumaridi aiambia Mahakama kuwa Polisi walichukua Tsh. Milioni 19 nyumbani kwake

Polisi nchi zetu za kiafrika ni watu washenzi sana. Nimeshuhudia South Africa Jozi ukifika usiku polisi wenyewe bila kujali rangi wanageuka kuwa mafia kupitia upolisi wao. Wanajifanya wana ku suspect wakikudaka wanachukua hela na vitu vingine kimafia.
 
Anakaa na cash yote ya nini, bank si IPO.
 
Jeshi la Polisi livunjwe
 
Anakaa na cash yote ya nini, bank si IPO.
We nae mbwiga tyu ushawahi kuona watu wanaokaa na cash ndan mil 19 unasema hela nyng nenda nyamongo kaone mtu analala na bilion 6 ndan unashangaa dagaa kummeza sangara?
 
Hizo ni kweli? naona mnatanguliza chuki tu dhidi ya polisi
 
Polisi ni majambazi na wezi waliopewa sare na kulipwa mishahara.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hiyo pesa hawez ipata kamwe labda kama wameamua kupoteza muda tu

Kama unaandikisha vitu vyako ulivyokamatwa navyo mapokezi pale polisi na pesa zikiwemo lakin siku ya kutoka jamaa wanakuambia hukuwa na pesa utaambulia mkanda na viatu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…