Zumaridi aviponza Vyombo vya Habari. TCRA yatoa onyo na kuvitaka kusimamia misingi ya utoaji habari

Wako sahihi kabisa. Ni makosa makubwa kutoa mambo ya dini ambayo YAKO secret ( forbidden Knowledge) kuyaweka public. Haifai kabisa. Ni kuwakoroga watu vichwa.
Dini ni siri tena?! Hiyo dini itakuwa ina dhumuni gani?
 
Dini ni siri tena?! Hiyo dini itakuwa ina dhumuni gani?
Kwenye dini kuna solid food na soft food,.....soft food ndo kitu pekee ambayo unaweza kuweka public. But hiyo nyingine ni forbidden.
 
Kwa hyo TCRA imeamua kumuattak Millard Ayo..na wengne wanavosema wanafufua wafu inakuwaje?
 
Sasa huu ndio ulikuwa wakati wa kukamata vichaa, wao wamepiga marufuku
 
We nae unajikutaga! Kumbe kichwani mweupe kama toilet pepa,

Hayo maombi uliomuombea Millard yakurudie mwenyewe,

Sh@nzy
 
Narudia tena, Millard Ayo ni kama ameanza kuchanganyikiwa, atafute demu amzalishe haraka sana kabla hajaharibikiwa kabisa
 
Huo ni ubaguzi mwamposa na zamaladi tofaoti yao nn? Bora zamaladi yuko kama kalukwa na akili falani hivi mwamposa ni mbaya zaidi
 
Hata mahubiri ya injili kwa kuwa ni vitu vya kufikirika (hakuna aliyemuona Mungu) hayatakiwa yawe hewani.
 
TCRA mko sahihi. Kinacho fuata ni nyundo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…