Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unachokiona ujinga kwa wenzako niimani kama wewe unavyoamini ulichoaminishwa wapeni watu uhuru wakuabudu wanachokiamini ila wasivunje sheriaNi jambo zuri. Maana siku zote watu wajinga/wapumbavu kwenye jamii huwa wanjiamini na kupata ushawishi mkubwa kuliko watu werevu.
Sasa watu kama Zumaridi wakiendelea kupata ushawishi, mwishobwa siku tutakuwa na Taifa la watu wajinga kupitiliza.
dah wengine wapo Bungeni kwanini hawakuanza nahao?Tena wahubiri wengine hua wanadai kua wana uwezo wa kumfufua mtu aliyekwisha kufa.
Hii Taarifa ya TCRA ni taarifa nzuri na inayotoa katazo Kali Kwa wamiliki wa VYOMBO VYA HABARI KUTOA TAARIFA za kufikirika.
Kweli chombo Cha habari kinatoa taarifa ' eti Mtu kaenda Mbinguni kakuta Kuna Magorofa Marefu kama minara' haya mambo tukiyachekea Sasa madhara yake makubwa Kwa vizazi vyetu vitakuwa havina Hofu na Mungu.. Nakuona Mungu kama mshikaji wake tu.
Hongereni sana TCRA Kwa taarifa yenu nzuri Kwa Umma
Katazeni yooote lakn mniachie clips za Sheikh Kipozeo, mwamba namkubali sana
kuna uwezekano zumaridi nimkweli ndio maana anachukiwaKuna wanaojiita manabii/wachungaji... mwamposa, geor davie, gwajima anayefufua watu na wengine wengi wenye hadithi za kufikirika lakini wamewaacha sijui wanatumia vigezo gani kumbana Zumaridi kiasi hiki
Chizi kabisa weweNilimsharau Millard Ayo ,nilimuombea Hadi Ajali, apate Ajali, afe azikwe !!.
Huwez ruhusu Chombo chako kitumike, Kuzikufuru Mamlaka za juu Mbinguni.
Millard Ayo awe Makini, hapo alipo Mungu tu ndio kashikilia Maisha yake na ambavyo keshajichokea !!.
🤣🤣🤣😂😂🤣🤣😂😂😂🤨🤨🤨🤨🤨🤨😐😐😐😐😐😐😐😶😐😐😶😶😶😐😐🤨Mki
Ambi
Wa din ni utapel mnanuna .
Mbona unalazimisha watu waamini unachoamini?Nilimsharau Millard Ayo ,nilimuombea Hadi Ajali, apate Ajali, afe azikwe !!.
Huwez ruhusu Chombo chako kitumike, Kuzikufuru Mamlaka za juu Mbinguni.
Millard Ayo awe Makini, hapo alipo Mungu tu ndio kashikilia Maisha yake na ambavyo keshajichokea !!.
Huyo milard ayo,sijawahi kumuelewaNilimsharau Millard Ayo ,nilimuombea Hadi Ajali, apate Ajali, afe azikwe !!.
Huwez ruhusu Chombo chako kitumike, Kuzikufuru Mamlaka za juu Mbinguni.
Millard Ayo awe Makini, hapo alipo Mungu tu ndio kashikilia Maisha yake na ambavyo keshajichokea !!.
Vyombo vya habari vinatoa habari Ambazo watanzania wanapenda kusikia! Sio habari Ambazo zinpaswa kusikiwa!Hii Taarifa ya TCRA ni taarifa nzuri na inayotoa katazo Kali Kwa wamiliki wa VYOMBO VYA HABARI KUTOA TAARIFA za kufikirika.
Kweli chombo Cha habari kinatoa taarifa ' eti Mtu kaenda Mbinguni kakuta Kuna Magorofa Marefu kama minara' haya mambo tukiyachekea Sasa madhara yake makubwa Kwa vizazi vyetu vitakuwa havina Hofu na Mungu.. Nakuona Mungu kama mshikaji wake tu.
Hongereni sana TCRA Kwa taarifa yenu nzuri Kwa Umma
View attachment 2560940
Hawa wanataka tuwe na dini moja tu? Maana ukweli wa ukristo ni uongo kwa waislamu na ukweli kwa waislamu ni uongo kwa wakristo nk.Hii Taarifa ya TCRA ni taarifa nzuri na inayotoa katazo Kali Kwa wamiliki wa VYOMBO VYA HABARI KUTOA TAARIFA za kufikirika.
Kweli chombo Cha habari kinatoa taarifa ' eti Mtu kaenda Mbinguni kakuta Kuna Magorofa Marefu kama minara' haya mambo tukiyachekea Sasa madhara yake makubwa Kwa vizazi vyetu vitakuwa havina Hofu na Mungu.. Nakuona Mungu kama mshikaji wake tu.
Hongereni sana TCRA Kwa taarifa yenu nzuri Kwa Umma
View attachment 2560940