Zumaridi aviponza Vyombo vya Habari. TCRA yatoa onyo na kuvitaka kusimamia misingi ya utoaji habari

Zumaridi aviponza Vyombo vya Habari. TCRA yatoa onyo na kuvitaka kusimamia misingi ya utoaji habari

Ni jambo zuri. Maana siku zote watu wajinga/wapumbavu kwenye jamii huwa wanjiamini na kupata ushawishi mkubwa kuliko watu werevu.

Sasa watu kama Zumaridi wakiendelea kupata ushawishi, mwishobwa siku tutakuwa na Taifa la watu wajinga kupitiliza.
Kuna maswali mengi yataibuka, kwani wameachia mengi katika miaka miwili iliyopita.

Hata hivyo ndio athari za "uhuru" wa Habari.

Tunalishwa tu na watu wanarudia kikasuku.

Zumaridi alitakiwa abaki katika uangalizi wa 'mental institute'

Hatahivyo, Kuna uwalakini na TCRA
 
Zuma nikichaa apigwe marufuku kuhudumia watu kabla hajazuiwa mitandaoni maana nimpotoshaji asiyefaa!!
MakNisa Tanzania yatengenezewe chombo cha kuregulate huduma zao.
Arusha jodefi anaagiza waumini hela tena kuwawekea kiasi hiyo ni biashara sio sadaka inabidi atozwe kodi.
Mwampoo anauza maji, mafuta, majarida tafadhali alipe kodi maana hiyo ni biashara kama mchuuzi mwingine!!
Pamoja na wengi wengine wanaojitajirisha kupitia dini wao hawatoi sadaka wanaagiza walipwe ndio wamuombee mtu tungependa watuchangie kodi
 
Yale yanayoweza kuthibitika kisayansi ndio yanatakiwa yaripotiwe; haya mengine yabaki kuwa mawazo binafsi kwa maslai binafsi.
 
Hii Taarifa ya TCRA ni taarifa nzuri na inayotoa katazo Kali Kwa wamiliki wa VYOMBO VYA HABARI KUTOA TAARIFA za kufikirika.

Kweli chombo Cha habari kinatoa taarifa ' eti Mtu kaenda Mbinguni kakuta Kuna Magorofa Marefu kama minara' haya mambo tukiyachekea Sasa madhara yake makubwa Kwa vizazi vyetu vitakuwa havina Hofu na Mungu.. Nakuona Mungu kama mshikaji wake tu.

Hongereni sana TCRA Kwa taarifa yenu nzuri Kwa Umma

View attachment 2560940
Hii sio haki. Tangu lini kusema kitu ambacho wengine hawakubaliani nacho imekuwa ni kosa. Wamisheni wanahubiri kila siku kuwa Yesu ni Mungu na alipaa kwenda mbinguni. Nao watakamatwa kwa sababu waislamu wanaamini kuwa ni uongo?
Huyu mwanamke anasema anachoamini na hamlazimishi mtu kumuamini. Na vyombo vya habari kazi yao ni kutuhabarisha yanayoendelea na si wajibu wao kuandika tu yale wanayoamini kuwa ni kweli. Jukumu hilo ni letu tunaosoma hizo habari. Sasa kama tunaamini kuwa mbinguni kuna maghorofa na magari ni sisi wa kulaumiwa na sio magazeti au Zumaradi.

Amandla...
 
Hii Taarifa ya TCRA ni taarifa nzuri na inayotoa katazo Kali Kwa wamiliki wa VYOMBO VYA HABARI KUTOA TAARIFA za kufikirika.

Kweli chombo Cha habari kinatoa taarifa ' eti Mtu kaenda Mbinguni kakuta Kuna Magorofa Marefu kama minara' haya mambo tukiyachekea Sasa madhara yake makubwa Kwa vizazi vyetu vitakuwa havina Hofu na Mungu.. Nakuona Mungu kama mshikaji wake tu.

Hongereni sana TCRA Kwa taarifa yenu nzuri Kwa Umma

View attachment 2560940
Ingekua ni Imani yako imeguswa ungatokwa na povu mwaka mzima

Tanzania sip nchi ya kidini sidhani kama serikali inapaswa kuingilia Imani za watu
 
Ni jambo zuri. Maana siku zote watu wajinga/wapumbavu kwenye jamii huwa wanjiamini na kupata ushawishi mkubwa kuliko watu werevu.

Sasa watu kama Zumaridi wakiendelea kupata ushawishi, mwishobwa siku tutakuwa na Taifa la watu wajinga kupitiliza.
Tumeishakuwa taifa la watu wajinga kupitiliza. La kufanya ni kujiuliza kwa nini watu wanawaamini watu wa aina ya Zumaridi ( watu kibao wanadai kufufua watu, kuponya watu kiajabu ajabu n.k.) wakati mtu yeyote mwenye akili timamu anautambua kirahisi uongo wao. Tatizo ni kubwa kuliko Zumaridi.

Amandla...
 
Kwani mkutano wa mwamposa unapokuwa live nani hapo TCRA amehakikisha kinacho zungumzwa pale ndio ukweli? Kuna mtu TCRA amewahi kwenda mbinguni na akatuhakikishia kinacho semwa mikutanoni live ndio ukweli wenyewe?
Wanafeli
 
Kama dini ni suala binafsi basi iwe marufuku Kwa dini zote kurusha vipindi Kwa TV na redio...
Kama wengine ni Sawa kuzungumza ya mbinguni Kwa imani zao ..why Zumaridi iwe shida?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni jambo zuri. Maana siku zote watu wajinga/wapumbavu kwenye jamii huwa wanjiamini na kupata ushawishi mkubwa kuliko watu werevu.

Sasa watu kama Zumaridi wakiendelea kupata ushawishi, mwishobwa siku tutakuwa na Taifa la watu wajinga kupitiliza.
Ila kina mwamposa na Mzee wa upako kwako ni poa tu tatizo ni zumaridi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na yule bwamdogo a.k.a kijana asiyetaka kuoa na yeye aonywe.
!...


Haiwezekani amuite huyo CHIZI wahojiane na wakati mtu anaonekana kabisa ana hitilafu na uwalakini kichwani. Aonywe! Ikiwezekana astopishiwe huduma kama wiki hivi akili na nidhamu vimkae sawa.

Namzungumzia "Mr. Countdown" aliyempa airtime yule CHIZI ZUMARIDI.
 
Wewe ni kenge! Mambo ya Mwamposa achana nayo! Mbona tunapona Sana!
ACHA hizo Wewe kama unapenda kusikia za huyo mwamposa ni haki yako hakuna anayekuzuia, sasa hata wanaopenda kusikia za Zumaridi ni haki yao why wazuiwe? Au Kwa kua huzipendi za Zumaridi?

Basi wazuiwe wote la sivyo waachwe wote kila mtu afuate anachopenda sio kumzuia mwingine kisa eti wewe hukipendi anachopenda
 
Japo simkubali huyu zumaridi namwona yeye na waumini wake ni vichaa ila naona wanamuonea. Kama ni marufuku wapige marufuku wote.
Wanamuonea na hoja zao mara hatumii bible kwani nani kawaambia yeye anahubiri ukristo labda kaanzisha dhehebu lake la kizumaridi
Wapo wengine, wanatoka Tibeli 😌
😌😌😌😂😌😌
 
Back
Top Bottom