The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Usiwalaumu sana maana wana uwezo mdogo wakufikiri ijapokuwa wamepewa mamlaka makubwa kuyaongoza, huwa napatwa na wasiwasi inakuaje akili ndogo inapewa mamlaka makubwa na je mteuwaji wa hizo akili ndogo yeye akili yake niyaaina gani?Kwani mkutano wa mwamposa unapokuwa live nani hapo TCRA amehakikisha kinacho zungumzwa pale ndio ukweli? Kuna mtu TCRA amewahi kwenda mbinguni na akatuhakikishia kinacho semwa mikutanoni live ndio ukweli wenyewe?
Maswaali fikirishi sanaa