Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Ndugu wa marehemu masogange wanasema hadi dikika hii hawajapata hata mia ya pesa za rambirambi zilizochangwa na wasanii wa Bongo muvi na Bongo fleva,licha ya kuwepo kwa uhakika wa kwamba pesa hizo...
19 Reactions
117 Replies
12K Views
Moja kati ya Matukio yaliyogusa hisia za watu wengi nchini marekani na duniani kote basi ni performance aliyoifanya mwanadada Nightbirde (Jane Marczewski) Mwanadada Jane Marczewski anayeenda kwa...
17 Reactions
29 Replies
4K Views
BURUDANI Mnanikosea heshima kunishindanisha na Harmonize. Hapo jana Msanii Pasha Mtepa akifanya Mahojiano na kituo cha Runinga cha East Afrika TV alisema watu wanamkosea heshima kumshindanisha...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
BURUDANI 'Sisi ni maarufu OG sio wa IG" - Ferooz Hapo jana Hitmaker wa ngoma ya starehe Ferooz akifanya Mahojiano na kituo cha Runinga cha East Afrika TV amewachana wasanii wa sasa wasiosapoti...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa vichekesho vya mchekeshaji namba moja kwa sasa (Mkojani) utagundua flow yake ya utoaji wa kazi imeshuka mno. Mkojani alikua anatoa muvi moja au mbili ndani ya...
3 Reactions
39 Replies
8K Views
Habari za wakati huu wana jamvi!!! Ni siku tulivu kabisa ya mapumziko!! Leo nilikua nasikiliza kibao nnachokipenda zaidi kutoka kwa Mwanamuziki nnayemkubali sana katika Bara hili. Binafsi kibao...
9 Reactions
19 Replies
3K Views
Jamaa ameandika stori yake ya ndoa kuhusu kuachana na mke wake amemkandia kwamba mke wake ndo chanzo cha kuvunjika ndoa na mambo mengi tu Sema sasa sijaelewa kabisa chanzo cha hiyo ndoa...
9 Reactions
151 Replies
15K Views
Msanii wa Bongofleva, Naseeb Abdul maarufu Diamond Platnumz amesema kila mwezi huingiza Sh200 milioni kutokana na kuingia mikataba na kampuni mbalimbali kuwa balozi wa bidhaa zao. Akizungumza...
22 Reactions
258 Replies
30K Views
ENDELEA KUPUMZIKA KWA AMANI COWBAMA. Na Xavi Hernandez Alcantara Wao walipewa wakina Tupac Shakur,Notorious,Eminem lakini sisi tulipewa wewe wao waliongezewa wakina Jay Z,T.I na wengine wengi...
8 Reactions
13 Replies
2K Views
Baada ya Mtangazaji mwenye ushawishi wa kituo cha Times FM Ommary Rajabu Saleh Tambwe aka Lil Ommy kuaga rasmi kuwa hatoendelea kuwa mfanyakazi wa kituo hikch alichokifanyia kazi kwa muda mrefu...
12 Reactions
83 Replies
14K Views
Au mnasemaje wadau? ==== 9 Sep 2020 Bondia namba mbili kwa ubora Tanzania Twaha Kiduku amesisitiza kuhitaji pambano na Hassan Mwakinyo ili afahamike nani bingwa wa nchi. Kauli hii aliitoa...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Malkia ana train yake, inakuwa na mabehewa mpaka tisa kutokana na umuhimu wa safari yake na idadi ya wasafiri. Train hii humuwezeshs yeye pamoja na familia yake hata wageni wake kusafiri kwa...
10 Reactions
40 Replies
5K Views
Sijui kama thread kama hii ilishawai anzishwa hapa j.f, but i am curious to know who is s.s.bakhresa. Najua ni nadra sana kwa nchi yoyote kuwa na mtu ambaye ni tycoon na such a biggest business...
2 Reactions
222 Replies
64K Views
Elf 50 au laki 1 kumuona Zuchu kwenye VVIP inaeleweka, ila million 5 aise kwani naenda kumuona Niki Minaj au? Zuchu yuko overpriced Mauzo ya Ticket From Diamond Platnumz bingwa wa promotion...
35 Reactions
757 Replies
70K Views
Kama ni utunzi wa hadithi, namkumbuka sana Edie Ganzel. Sina uhakika kama ana uhusiano na Stanley Ganzel wa TBC ila hadithi yake ya “SIKUWA FUKARA” naikumbuka sana. Nikiona wanavyotahabika...
3 Reactions
23 Replies
7K Views
Msanii Kanye West kupitia mtandao wake wa Instagram amepost picha ya nyumba yao ya zamani alikuwa akiishi pindi akiwa mdogo Na tukumbushane tu kuwa nyumba hii ndio ile ambayo aliinunua mwaka jana...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Huyu jamaa alitamba sana enzi 2007 kushuka chini mfano kibao cha Zuwena Je, yuko wapi sasa hivi?
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Baada ya miaka 27 ya ndoa, wawili hao wenye ukwasi wa kutosha na ambao wamekuwa wakisaidia miradi mbalimbali ya kijamii duniani kupitia foundation yao wameweka pete chini. ===== Bill and...
9 Reactions
389 Replies
31K Views
Hatimaye yaliyosemwa kuhusu wapi anaelekea mtangazaji wa Times FM yametimia. Muda huu Lil Ommy ametambulishwa katika redio changa Wasafi FM Sent using Jamii Forums mobile app
5 Reactions
160 Replies
22K Views
Back
Top Bottom