Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

KUANZIA muvi ya “Straight Outta Campton” hadi andiko la kitaaluma (dissertation) la Kristen Bowen, Chuo Kikuu cha North Carolina. Documentaries za “In The Dark”, “Surviving Diddy” kisha “Freak Off...
18 Reactions
35 Replies
10K Views
Harmonize....Sitaaki Kuongelea Zile Haso zake za BSS....zile haso zake za kutoka hadi Diamond kuja kumuona Na kuamua Kumsign Na kuwa msanii wake Chini ya WCB! Alitoa Aiyola...
36 Reactions
115 Replies
32K Views
Peter msechu hili waliokufa kariakoo halijamuuma? Au kwenye misiba ya viongozi wakifa kuna per diem anapata? Ila akiimba hili la kariakoo hamna chochote kitu?au mwana ni msaka tonge?
4 Reactions
22 Replies
767 Views
Wabobezi wa Sheria za mikataba waingie kazini wamsaidie huyu mrembo kijana na mwenye mvuto mkubwa Afrika nzima ,kuuvunja mkataba wake na Wasafi ili asimame mwenyewe kwa uwezo wa zuchu akiwa...
17 Reactions
74 Replies
3K Views
Google pamoja na wana sayansi wa dunia wamekubaliana kwamba watu marufu funian tangu enzi na enzi Isack newton iko juu ya Yesu, wakati Yesu ni Mungu mbona yanachanganya wakati Mungu huyu huyu ndo...
5 Reactions
102 Replies
3K Views
Sean “Diddy” Combs ametuma barua ya kuzuia filamu mpya inayomhusu Shyne, mmoja wa wasanii wake wa zamani. Filamu hiyo inadai kwamba Shyne alichukua hatia kwa niaba ya Diddy kwenye kesi maarufu ya...
0 Reactions
3 Replies
627 Views
Kwanza niwape pole na msiba wanmwigizaji mwenzenu Fredi.Mwenyezi Mungu amweke marehemu mahali alipojitqyarishia wakati y'u hai. Imekuwa nintabia ya miaka nenda rudi na imekuwa utaratibu wa maisha...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Kwanza nna declare interest mimi ni shabiki mkubwa wa Professor Jay na kwenye list yangu ya MCs bora wa muda wote nimemuweka nafasi ya pili. Napenda sana muziki wake hata siasa zake nilikuwa...
42 Reactions
117 Replies
4K Views
1.... D voice Huyu alisainiwa ktk lebo ya wcb na diamond kwa mkwala mkubwa sana ikiwemo kualikwa viongozi, wanasiasa n.k, lakini nyota yake ni kama imefunikwa na mawingu, hana tofauti na wasanii...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
MAMBO YA TUPAC AMARU SHAKUR (1971-1996) Watu timamu wanaulizana...Ilikuwaje na ni kwa namna gani Tupac Amaru Shakur, kijana wa Marekani mwenye asili ya Kiafrika kufanya mengi na kupandikiza...
3 Reactions
8 Replies
641 Views
Hii kitu ya madawa ya kulevya inatuharibia kabisa watoto wetu. Huyu kijana nafikiri alishiriki Big Brother mwaka fulani na kuiwakilisha Tanzania. Na kwa sasa hii ndio hali ya afya ya Nando, zaidi...
13 Reactions
387 Replies
82K Views
Msanii wa Muziki wa Afrobeats kutoka Limpopo, Maya Wegerif a.k.a Sho Madjozi amegusia suala la kuachana na Muziki wakati atakapoachia Albamu ya 'Limpopo Champions League Vol.2' ambayo amesema...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Wadau nilipita Mama Ngoma Health Centre Mwenge na kukuta watu wakilia kuuliza naambiwa Video Queen Masogange amefariki muda mfupi uliopita. ========= UPDATES: ========= Video queen maarufu...
40 Reactions
1K Replies
268K Views
Tukiwa tunaendelea kuomboleza kifo cha mpendwa wetu,msanii kanumba,tutafakari maisha yake.Kanumba hakuwa tofauti sana na wasanii wetu walio wengi kimaadili.ni kweli alituburudisha,lakini...
6 Reactions
2K Replies
359K Views
20 plus years later watu bado wanawaenzi hawa rappers waliokuwa legendary. Biggie the king of flow and style. Pac the lyricist, revolutionarist and expressive. Baada ya pac kupigwa risasi na...
11 Reactions
68 Replies
5K Views
Jackson Ngechu Makini, anayejulikana pia kama Prezzo, mwanzilishi katika ulingo wa muziki wa Kenya, amekuwa na ushawishi mkubwa katika tasnia hiyo kwa miaka mingi. Katika mahojiano haya, mshiriki...
0 Reactions
3 Replies
834 Views
Hello wakubwa (weka mbali vijana wa 2000) Leo nimemkumbuka sana huyo dada NANCY MITIKISIKO SALAMBA,Yupo wapi siku hizi ? Ana chimbo jipya?Kama anachimbo jipya tuambiane wakuu Vitu vyake vilikua...
11 Reactions
68 Replies
3K Views
Rapa na Nguli wa Muziki wa Hip Hop, Sean "Diddy" Combs ameongezewa mashtaka sita mapya yakimshutumu kwa unyanyasaji wa Kijinsia dhidi ya Wanaume, Wanawake na Mvulana wa Miaka 16 Imeelezwa...
2 Reactions
6 Replies
858 Views
Hello the Bosses and Roses. Katika kuelekea kuufunga mwaka wetu huu wa 2024, embu twende pamoja katika kuwapa tuzo wasanii wetu wa Muziki kwa kuwa wanafanya kazi kubwa kuhakikisha jamii yote...
5 Reactions
46 Replies
1K Views
Back
Top Bottom