Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Paul Matthysse ni mtayarishaji wa muziki na pia mmiliki wa Studio ya Bongo Records iliyopo jijini Dar es Salaam, Tanzania. P Funk a.k.a. Majani, ambaye ni nusu Mtanzania na nusu Mdachi, kama miaka...
42 Reactions
308 Replies
63K Views
Rais wa Wasanii akishirikiana na baadhi ya wasanii ndio waliomchongea Idris Sultani kwa madai kuwa anajifanya mjanja kila mara anaandaa vichekesho vya kuwasema viongozi , mpango mzima wa...
12 Reactions
52 Replies
6K Views
Je idris Sultan ni jambazi la kutumia silaha? Je ni gaidi? Ni alshababu au alkaida? Na je jambazi hana ndugu na jamaa? Hana ndugu wanaompenda na yeye anawapenda? Je gaidi wa alkaida hana ndugu na...
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Kwanza kabisa nimpongeze Stamina kwa kupata deal la parimatch, jamaa Ni mbunifu Sana na anafanya kazi nzuri Sana nimefurahi Sana Jamaa kupata Hili deal maana jamaa alikuwa apati kabisa deal za...
4 Reactions
23 Replies
3K Views
Binafsi mimi sio shabiki wa muziki ila sijatokea kumuelewa huyu msanii Diamond Platnumz kabisa kuanzia staili ya uimbaji wake yaani naona kabisa jina ndio linambeba mda huu. Kiukweli ukimuweka...
2 Reactions
41 Replies
6K Views
Salaam sana Mhe. Rais, Mwanzoni haikuwa inapita muda mrefu kama sasa bila kupiga simu. - Siku hizi umekuwa kimya sana, hupigi simu mpaka hatuelewi.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Alisema anataka kufanana na kiongozi wa kimila wa Kimasai aitwaye 'Laigwanan' ambaye kwenye kiapo chake wakati wa kupewa wadhifa huo huapa kuwa "Nikikiuka niliyoapa kuyatenda Mungu nilaani...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Mwanadada Bianca Schoombee wa Afrika Kusini amejitoa katika kinyang’anyiro cha mashindano ya Miss South Africa kwa mwaka 2020. Taarifa hiyo imetolewa na wakala wake. Bianca alipata mapokezi...
11 Reactions
59 Replies
8K Views
Habari wakuu, Waswahili waliosema kufaaye kwa dhiki ndiye rafiki hakika waliona mbali na hawakukosea. Msanii Idris Sultan (comedian) kwa sasa anashikiliwa na jeshi la polisi kwa makosa ya...
16 Reactions
117 Replies
9K Views
Kupata deals, ubalozi, au endorsement ya kutangaza bidhaa kutoka kwenye makampuni sio kitu kidogo na si wote wasanii/waigizaji/watu maarufu hupata Makampuni huangalia vitu vingi mpaka kujiaminisha...
2 Reactions
62 Replies
7K Views
Any way tukiwa tunasubiri Daku ngoja tupitishane humu kwanza, Kwa kizazi cha sasa kinaweza kuwa hakilifahamu hili jina la Steve Kabuye aka Steve kafire mtu mwenye Sauti yenye mamlaka pale...
7 Reactions
79 Replies
11K Views
Hakuna mwanamziki anaependaga kuwa kimya kama wengi tunavyodhani, iwapo msanii hana tatizo za vituo vya redia, n.k basi mara nyingi ukimwya husababishwa na ishu ya "UKATA WA PESA". Ali kiba ni...
0 Reactions
39 Replies
5K Views
"Utaratibu wa polisi wamshangaza Kagasheki Na Lilian Lugakingira, Bukoba NAIBU Waziri wa wizara ya Mambo ya Ndani, Khamis Kagasheki ameshangazwa na utaratibu unaotumiwa na jeshi la polisi wa...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Kama kuna alosikilia na kuona tukio la Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano anaweza kukubaliana nami kuwa Mama Asha alitoa hotuba nzuri ilogusia mambo...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wiki iliyopita kuibuka mzozo wa Burnaboy na Diamond nani mkali Jana kwenye show ya MTV Base Afrika kijana wetu kagongelea msumari hakuna wa kumzidi kwenye perfomance stejini au kokote akifanya...
9 Reactions
37 Replies
5K Views
Baada ya kushindwa kipindi cha nyuma sasa wameanza tena safari hii ila nyani mkuu ametulia tuliii anawaacha wapige kelele wabebane lakini atakuja kuwanyamazisha kidomo domo hao
4 Reactions
78 Replies
9K Views
Inasemekana etiii WCB Wasafi wanampango wa kumnyakuwa Rapper wa Kike Rosa Ree, Ngoma waliofanya na rayvanny ni kuanza kuandaa mashabiki kwa ujio huo mpya ndani ya WCB Wasafi Ngoma yake mpya...
1 Reactions
40 Replies
7K Views
====== MAGO, Amechangia hii mada na kusema; Nimeona clips kadhaa za wasanii wa Wasafii eti wako kwenye isolation (kalantin) kwa sababu za mwenzao Salam kukutwa na maambukizi baada ya kuwa safari...
3 Reactions
74 Replies
16K Views
Msanii Stara Thomas amefunguka kuhusiana na mahusino yake na aliyekuwa msanii wa bongo movie Adam Kuambiana aliyefariki wikiendi iliyopita na kuzikwa jana kwenye makaburi ya Kinondoni. Stara...
3 Reactions
80 Replies
19K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…