Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Kuna tetesi mwanamuziki A.K.A kutoka South Africa amepigwa risasi huko Durban, South Africa A.K.A aliwahi kushirikiana na mwanamuziki Diamond miaka ya nyuma wakachia kibao kinaitwa 'Make Me Sing'...
17 Reactions
381 Replies
42K Views
Mwanamuziki huyo wa miondoko ya Hip Hop amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwao Salasala Jijini Dar, mwili umehifadhiwa Hospitali ya Jeshi Lugalo. Atakumbukwa kwa vibao...
18 Reactions
473 Replies
108K Views
Arrayah Barrett, binti mwenye umri wa miaka 2 wa mlinda mstari wa Tampa Bay Buccaneers Shaquil Barrett, alikufa maji Jumapili asubuhi kwenye kidimbwi cha kuogelea cha familia hiyo, kulingana na...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari. Mtoto wa mwanamziki mashuhuri Davido Amefariki akiwa anaogelea Kwenye Swimming pool. RIP little Young. Music icon, David Adeleke aka Davido has sadly lost his first son, Ifeanyi...
9 Reactions
319 Replies
24K Views
Mtangazaji Jerry Springer amefariki dunia Kwa mujibu wa familia yake, Jerry Springer amefariki kutokana na ugonjwa wa Cancer Jerry Springer amefariki akiwa nyumbani kwake katika jiji la Chicago...
7 Reactions
32 Replies
2K Views
Nakumbuka nilipata kufahamu habari za mtu huyu kupitia JF hasa kwa kazi adhimu ya Mzee Mohamed Said.Mwanazuoni MS aliandika mengi kumhusu Belafonte, Leo nimesoma mahala kadhaa kwamba nguli huyu...
2 Reactions
4 Replies
967 Views
Taarifa zilizothibitishwa zimeripoti kuwa msanii Costa Tich amefariki dunia. Msanii huyo alikuwa akifanya onyesho stejini, ndipo alipo anguka ghafla na kukumbwa na umauti.:👉 👉 Taarifa za kina...
21 Reactions
375 Replies
38K Views
Mpiga gitaa maarufu wa Kongo Denis Lokassa Kasiya, almaarufu Lokassa ya Mbongo, alifariki Jumanne usiku nchini Marekani baada ya kuugua kwa muda mrefu. Lokassa, ambaye hivi majuzi alifikisha umri...
5 Reactions
45 Replies
6K Views
Msanii wa Muziki na Mwanaharakati wa haki za Watu wenye Ulemavu wa Ngozi nchini, Babu Sikare maarufu kama Albino Fulani amefariki dunia. Habari hizo za msiba zimetolewa katika ukurasa wa Twitter...
12 Reactions
49 Replies
11K Views
Lejendari wa muziki wa Reggae Bunny Wailer, ambaye ni miongoni mwa waasisi wa kikundi maarufu cha Reggae kiitwacho Wailers, ambacho kilimuinua Bob Marley kwenye hadhi mziki wa ulimwengu, amefariki...
9 Reactions
65 Replies
8K Views
Mungu amemchukua mapema sana msanii H Mbizo alitamba na wimbo wake wa Nilonge Nisilonge Account ya instagram ya msanii riyama ally imeandika ============== Msanii wa muziki wa kizazi kipya...
8 Reactions
32 Replies
4K Views
Wacongo wanaomboleza kifo cha mwimbaji mashuhuri Tshala Muana. Muana alifariki dunia leo Jumamosi asubuhi, Desemba, 10. Kulingana na vyanzo vya habari vya Congo, Muana alifariki mjini Kinshasa...
16 Reactions
113 Replies
9K Views
Elimu: >> source pdf page 90 << Degree ya udaktari, MD- Doctor of Medicine- UDSM Masters ya udaktari, MMed - Masters of Medicine - UDSM Masters ya jeshini, MSS - Master in Security and...
22 Reactions
128 Replies
13K Views
Mwanamuziki Joseph "Jo Mersa" Marley, ambaye ni mjukuu wa Mwimbaji Mkongwe wa Reggae Hayati Bob Marley amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 31, vyombo vya habari vya Marekani viliripoti...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa wale wa penzi wa vichekesho na burudani. Bwana Gibson Gathu Mbugua ambae alikua akiigiza kama mwendesha mashtaka Mkuu wa kipindi cha Vioja Mahakamani huko Kenya amefariki Dunia. Kipindi cha...
26 Reactions
85 Replies
6K Views
Mkongwe huyo wa Muziki wa Hip Hop aliyetamba na Wimbo wa Gangsta's Paradise amekutwa na umauti akiwa na umri wa miaka 59 nyumbani kwa rafiki yake Los Angeles, Marekani. Rapa huyo ambaye jina lake...
12 Reactions
81 Replies
9K Views
Mwanamuziki wa Nyimbo za Injili kutoka Nigeria aitwaye Sis Osinachi Nwachukwu maarufu kwa wimbo wake “Ekwueme” amefariki dunia. Osinachi alishirikishwa na Prospa Ochimana katika wimbo huo...
20 Reactions
81 Replies
11K Views
Mwandishi wa habari maarufu wa magazeti pendwa nchini, kupitia kampuni ya global publishers, Shakoor jongo Kupitia ukurasa wake wa instagram aliandika; Tanzia Ndugu zangu, rafiki zangu napenda...
1 Reactions
94 Replies
8K Views
Taarifa za huzuni kubwa Msanii mkongwe Nchini Tanzania, Chuma Suleiman almaarufu Bi Hindu ametutoka leo Jumamosi Julai 9, 2022 akiwa Magomeni nyumbani kwake. Taarifa za kifo chake...
12 Reactions
62 Replies
7K Views
Mchekeshaji wa muda mrefu Sobogani Zabron maarufu Erick Kisauti amefariki Alfajiri ya leo akiwa nyumbani Kwa Ndugu zake Kibaha Mkoani Pwani. Mchekeshaji mwenzie, Masai Nyota aliyewahi kufanya nae...
10 Reactions
63 Replies
8K Views
Back
Top Bottom