Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Katika hali ya kushtusha, Msanii wa filamu nchini Tanzania Farida Sabu maarufu kwa jina la 'Bi Sonia' amefariki dunia. Muigizaji huyo ambaye alijulikana sana kupitia kikundi cha Kaole Sanaa...
17 Reactions
59 Replies
9K Views
Yule Nguli wa miziki yenye mahadhi ya Pwani yaani Taarab amefariki dunia,Jijini Dar. Hii ni kwa mujibu wa mtangazaji wa Leo tena wa Clouds FM Dina Marios. Nasma Hamisi 'Kidogo' amefariki dunia...
6 Reactions
81 Replies
71K Views
Mwanamuziki Maunda Zorro, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo (Alhamis ya April 14) baada ya gari alilokuwa amepanda aina ya VITZ kugongana uso kwa uso na lori la mchanga huko Kigamboni, Dar es...
31 Reactions
371 Replies
44K Views
Muziki wa Rhumba leo umepata pigo baada ya Mkongwe wa Muziki huo Defao kufariki Nchi Cameroon Sisi watu wa Tandika na Temeke kwa ujumla tutakumbuka sana kibao chake cha FAMILY KIKUTA ambacho...
9 Reactions
147 Replies
19K Views
Muigizaji huyo maarufu kutoka tasnia ya filamu za Kihindi (Bollywood) aliyetamba katika filamu za 'Slumdog Millionaire' na 'Jurassic World' amefariki mapema leo akiwa na miaka 53 Alikuwa...
1 Reactions
57 Replies
11K Views
Muigizaji wa tamthilia pendwa zaidi kwa sasa ya Uturuki ya Ertugrul, bwana Ayberk Pekcan maarufu kama Artuk Bey amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 51. Ayberk ambaye amecheza kama, Artuk Bey...
5 Reactions
7 Replies
3K Views
Mama Mzazi wa Luludiva amefariki. Mama Mzazi wa mwanamziki (Msanii wa Bongo fleva) Luludiva amefariki dunia desemba 19, 2021. Kwa mujibu wa Lulu diva alisema mama yake aliugua kwa muda mrefu na...
10 Reactions
99 Replies
11K Views
Mbunifu huyu aliyejipatia umaarufu kwa ubunifu wa mavazi ya mtaani (streetwear) na kupelekea kuingia mkataba na Makampuni kama Nike na Jordan amefariki dunia muda si mrefu kwa ugonjwa wa kansa...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Mwanamuziki mgongwe wa DRC, Aurlus Mabele maarufu kama Mfalme wa Sokous amefariki dunia saa chache zilizopita jijini Paris nchini Ufaransa, huku kukiwa na taarifa kuwa huenda kifo chake...
8 Reactions
189 Replies
29K Views
  • Closed
Wanabodi, msiba ni kuzika. Ninawaomba tukamzike mwenzetu, tukamzika vipi?kwa kushiriki ibada ya kumuaga pale kanisani Muhimbili saa 8 mchana. Je, tutaenda kuaga hivi hivi mikono mitupu hapana...
42 Reactions
186 Replies
34K Views
  • Closed
Kwa masikitiko makubwa ninapenda kuwapa taarifa ya mdau mwenzetu humu anayeitwa warumi amefariki usiku wa kuamkia leo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa anapambana kwa ugonjwa wa figo...
121 Reactions
849 Replies
129K Views
Pigo lingine laufika muziki wa Reggae. Mwimbaji na mtayarishaji nguli wa muziki wa Reggae, Lee "Scratch" Perry, ameondoka akiwa na miaka 85. Kufuatia taarifa iliyotolewa na Waziri Mkuu wa Jamaica...
7 Reactions
19 Replies
3K Views
Mwigizaji wa filamu nchini marekani Lauren Kaye Scott, almaarufu DAKOTA SKYE amekutwa amefariki nyumbani kwake Los Angeles marekani. Mwili wa Dakota Skye umekutwa Kwenye gereji ndani ya nyumba...
6 Reactions
127 Replies
14K Views
US actor Joe Lara, best known for playing Tarzan, is presumed dead after a plane crash in Tennessee. The 58-year-old is among seven people believed killed when a light aircraft crashed into a...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
DMX ambaye jina lake la kuzaliwa ni Earl Simmons amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 50 Mnamo tarehe 3 Aprili 2021, alilazwa katika Hospital ya White Plains iliyoko Jijini New York ikielezwa...
9 Reactions
204 Replies
22K Views
Habari, Mvumbuzi wa kanda za kaseti Mholanzi, Lou Ottens amefariki wiki hii akiwa na umri wa miaka 94. Mabilioni ya kaseti zimeuzwa duniani tangu zilipobuniwa miaka ya 1960 Mtoto wa kike wa...
6 Reactions
61 Replies
5K Views
DJ Amo Blaze Mmoja wa Ma DJ wa Mwanzo East Africa Radio Wakati Inaanza Enzi za Mutie Mengi afariki Dunia. Apumzike kwa amani.
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Nguli wa habari Larry King kwa habari zilizopo ameshikwa na umauti akiwa na umri wa miaka 87. Kwa taarifa zilizopo ikidaiwa covid -19 alipokuwa akipatiwa matibabu Los Angeles. Anakumbukwa kwa...
6 Reactions
41 Replies
6K Views
Mwigizaji wa South Africa Lindiwe Ndlovu (44) amefariki akiwa nyumbani kwake. Familia imethibitisha lakini haijataja chanzo, Lindiwe aling'aa sana kwenye michezo ya kuigiza kama Isidingo na...
4 Reactions
58 Replies
8K Views
Back
Top Bottom