Habari wanajamvi...
Bila kupoteza muda nidondoke kwenye mada yangu!!Imekua ni kawaida kuona TUZO zikianzishwa hapa Tanzania lakini hazidumu.Toka Tuzo za kilimanjaro Music Awards zilipopotea...
Wakati wimbo mpya wa Diamond Platnumz aliomshirikisha Rapper Rick Ross kutoka Marekani unatoka haukuwa na nguvu kubwa pengine kutokana na kuahirishwa kwa tarehe iliyotakiwa kutoka video ya wimbo...
Mwimbaji wa muziki wa Injili kutoka nchini Kenya, Willy Paul ameweka wazo la kuvishinda vishawishi katika kazi yake mpya kwa jina ‘Tempted’ likihisiwa kuwa ni jibu la baadhi ya tuhuma za watu...
Kutumia dawa za kulevya inayomkabili, msanii wa filamu Wema Sepetu ilitajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu lakini haikuweza kusikilizwa kwa sababu wakili wake hakuwepo.
Kesi hiyo...
Ilikuwa siku ya Jana Dec 8 ambapo ilitangazwa Aslay atatumbuiza kwenye siku ambayo redio Kasibante iliyopo Bukoba inatimiza miaka 9 tangu ianzishwe, nyomi ya watu ilijitokeza kumsubiria msanii wao...
Wakati wimbo mpya wa Diamond Platnumz aliomshirikisha Rapper Rick Ross kutoka Marekani unatoka haukuwa na nguvu kubwa pengine kutokana na kuahirishwa kwa tarehe iliyotakiwa kutoka video ya wimbo...
Wakuu heshima kwenu.
Aisee nilikua nasikiliza wimbo wa Papii kocha Salima..nimemkumbuka sana yule bwana..ningekua karibu ningeenda kumtembelea gerezani..dah maisha haya.
Habari wakuu,
Kufa kimuzik kwa Baraka da prince wap alikosea?
Kama nlivyotangulia hapo awali swala la anguko la baraka kimuzik alilisababisha mwenyewe kwa haya machache ambayo aliyafanya;-
1...
Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Juma Malewa amesema katika msamaha uliotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli siku ya uhuru Desemba 9, 2017 haukumuhusu...
hi jf members,,,,,
Niende direct kwenye mada, ieleweke mimi napenda muziki mzuri haijalishi nani kaimba, kwa maana hiyo sina team Naseeb(diamond) ni msanii mzuri sana vivyo hivyo kwa Ali kiba.
Ni...
Kilichonisukuma kuandika uzi huu ni baada ya juzi kati nilipoenda kutazama mechi ya soka pale uwanja wa sigara tabata, dah jamaa ni mtu peace sana yani hata ukimuomba kupiga nae picha hanaga...
Diamond platinum wakigonga Chias na boss wa kampuni ya kinywaji cha luc belaire iliyompa dili nono, katika series za self made zinazoandaliwa na luc belaire
Wana jamvi,
In Principle Roma Mkatoliki ni nani?Ni Mkatoliki?Ni muumimni wa Chama Gani cha siasa?Ana mtazamo wa namna gani katika siasa,maisha,n.k.
Nimeuliza swali hili kimsingi hasa baada ya...
Maneno Makali ya AFANDE SELE kutoka Instagram Kwa MRISHO MPOTO na Majibu ya MPOTO kwa AFANDE SELE...
Afande Sele King - Rafiki yangu mkubwa mjomba mpoto kama ni kweli wewe ndio ulikua kinara ktk...
kitu ambacho utakigundua baada ya tamko la rais kuwataka wasanii wazingatie maadili kwa uelewa mdogo tu rais aliiona video ya waka waka baada ya kusikia kafanya kazi na msanii mkubwa wa marekani
Baada ya kusota gerezani kwa miaka 13 na miezi minne, wakitumikia kifungo cha maisha, hatimaye mwanamuziki maarufu wa muziki wa dansi nchini, Nguza Viking ‘Babu Seya’ na mwanae, Johnson Nguza...
Mimi Deogratius Nalimi Kisandu kwa jina la kisanii naitwa 'Masqo' mwaka 2005 niliingia Studio za SEI RECORD zilizopo Kinondoni chini ya Prodyuza SEIBLAT(Said) na kurekodi wimbo wangu unaoitwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.