Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Hii video iko Ovyo sana na imekaa kishamba kweli. Mimi ni shabiki wa Diamond lakini kwa muziki huu amechemka Kabisa kuanzia kwenye wimbo na video yake haina quality hata kidogo. My brother from...
4 Reactions
57 Replies
9K Views
Ama kweli majumba makubwa hustiri mambo hii kauli kwa namna fulani inashibahiana na hali inayomkuta sasa msanii Enock Bella Huyu kijana kipindi yupo yamoto band aliwahi kutamba sana na sauti yake...
2 Reactions
122 Replies
27K Views
Leo hii mida hii nimesikiliza wimbo wa huyu mzee babu seya roho imeniuma sana pale nilipo kumbuka kwamba alifungwa kwa kosa la kunajisi watoto.pia nakumbuka jinsi kesi yake ilivyovuta wengi...
0 Reactions
168 Replies
33K Views
Hakuna ubishi kwa mwaka huu mashabiki wengi wa muziki walikuwa wanasubiria kwa hamu kuipokea album ya ‘A Boy From Tandale’ ya msanii maarufu zaidi Tanzania, Diamond Platnumz ukweli ni kwamba album...
2 Reactions
16 Replies
5K Views
Wakuu, Nimeutafuta wimbo huu mtandaoni mpaka nimechoka. Mwenye nao anisaidie kuupata. Thanks in advance.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Maana alipokata tamaa ya kuachiwa alimkabidhi swahiba wake amuoe ili asiteseke, sasa katoka!
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Litakuwa ni jambo la heri sana kama wasanii wa bongo watafanya wimbo wa kumshukuru Rais Magufuli kwa kuwasamehe Babu Seya na wenzake
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Hivi ulishawahi kukaa na ukafikiria kwamba utakuja kufanya copy nyingine kama ile ya wimbo unaoitwa SIWEMA? Kama bado hebu jaribu kufikiria itakuaje kama utazama studio na kuingiza vocal...
6 Reactions
59 Replies
9K Views
Nimesikia kupitia East Africa Radio kwamba hukumu ya Nguza Viking na wanae kupitiwa na jopo la majaji hapo oktoba 30/2013. Hatua hiyo imefikiwa baada ya upande wa utetezi ukiongozwa na Wakili...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwanza pole sana Lulu kwa matatizo, Ila ili upate uhuru wa moyo na nafsi nitakuomba utulize akili umalize time yako urudi nyumbani ili watesi wako wasipate sababu ya kukunanga tena. Ila sasa...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Happy Birthday To The QUEEN OF NY." New Yorkers get real touchy when people decide to claim a position of royalty in the city, as they should. New York City has a rich history and on top of that...
0 Reactions
2 Replies
645 Views
Je amefika level za malengends kwenye mziki wa hip hop? Kawafunika? Nikisikiliza nyimbo zake naona jamaa anajua mno
1 Reactions
56 Replies
6K Views
Nimeamua nicompose NYIMBO about Christmas, ni nyimbo nzuri sana bt nashindwa i UPLOAD hapa,na hii ni sehemu ya kipande tu, (dancing clip promo) If anyone interested ani DM namba yake nimtumie kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Huu ni utabiri ambao bila shaka utatimia kama sio hivi karibuni basi ni katika muda muhimu wa majeruhi ambao utawaacha watu midomo wazi na kuipa CCM sifa ya chama chenye stratejia za kuigwa barani...
8 Reactions
74 Replies
12K Views
Kigogo wa wema, Clement Kiondo ‘CK akiwa bize jikoni. NA Waandishi wetu, Risasi Jumamosi Dar es Salaam: Upepo umebadilika! Aliyekuwa kigogo serikalini katika idara nyeti kabla ya ‘kutumbuliwa’ na...
1 Reactions
91 Replies
24K Views
Baada ya kuandamwa mitandaoni kuwa tangu amekuwa staa bado anaishi nyumba za kupanga maeneo ya Kijitonyama jijini Dar, staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amefungukia madai hayo kuwa wengi...
3 Reactions
31 Replies
10K Views
Yaani nimeanza kuperuzi Youtube tu, nikaona kitu iko kwa juu. Sasa nairudia kwa mara ya nane, nafikiri leo ndio itakuwa nyimbo yangu. Mafundi wamekutana
3 Reactions
23 Replies
6K Views
Ben10 uchebe amempa masaa 24 ben 10 mwenzake baada ya muda huo kupita hata husika na chochote
1 Reactions
75 Replies
10K Views
Habar wana Jf Katika watu waliogushwa na kitendo cha Faiza kupost picha ya Utupu mm mmoja wapo polisi wameanza kulifanyia Kazi
4 Reactions
88 Replies
15K Views
Back
Top Bottom