Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Hii Media House ni tishio sana kwa uwepo wa radio na tv nyingine. Wamepiga promo kwa tv na radio yao tu na kuisimamisha mwanza. Hapa ndipo nguvu ya Media inapoonekana. Ngoja niendelee kuruka na...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wanajamvi, Leo nimeona niwaletee tofauti ya wanamziki hawa wawili katika nyanja ya mziki. Tuanze na Jide (Lady Jay Dee) huyu ni mwananziki wa kike aliyeanzia kuimba kwaya huko kwao ambapo alipata...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Wasalaam JF! Juzi tarehe 06/07/2017 nihudhuria show ya mwanamama saida karoli, napenda nikiri kwamba ilikuwa ni show ya kihistoria. Kwa kweli sio kitu cha kawaida kwa mwanamuziki aliyekaa benchi...
11 Reactions
32 Replies
5K Views
karibu na tumsapoti dada yetu
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Pichani mbunge wa Mikumi, Professa J akiwa na rafiki yake kwenye send off ya mkewe tayari tayari kwa fungate hivi karibuni. Pichani mke mtarajiwa wa professa, Bi Grace akiwa kwenye send off yake...
5 Reactions
56 Replies
12K Views
Mimi sio shabiki wa muziki wa kizazi kipya, iwe kutoka kwa Diamond, Ali Kiba au msanii mwingine yeyote wa rika lao, lakini kuna jambo limenivutia sana. Nikiwa ofisini, wadada wawili walikuwa...
5 Reactions
22 Replies
8K Views
They was boys, the tightest of them. Now they’re foes, y'all know the story. It just hit me other day that no one really survives a break-up with the man, they just fall off while he takes off...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Msanii rapa kutoka pande za mwanza mwanza godfrey tumain makoye DUDU BAYA amemuonya vikali msanii kutoka pande za mazense emmanuel eribalik NEY WA MITEGO kuwa aache mara moja kujilinganisha na...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Kwa burudani uliyotupa jana pale Escape One,nakushukuru na kukutakia kila la heri. Sauti yako,mapigo yako,historia yako na ukomavu wako ulitumaliza wahudhuriaji wako. Asante Dada Saida,usituache...
4 Reactions
41 Replies
4K Views
Mkali wa Miondoko ya RNB Bongo Ben Pol ambaye yupo kwenye penzi zito la Mwanadada Mchekeshaji Ebitoke amesema kuwa wanaodhani kuwa mapenzi ya wawili hao ni kiki wasubiri kuona ndoa imefungwa...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Daaaa sijui nisemaje Lakini kati ya Wasanii ninao wakubari hapa Tanzania Basi Barnaba ni Namba Moja! Anaweza kuwa hana bahati na Biashara ya muziki,Lakini hicho hakinifanyi mimi nisitambue uwezo...
3 Reactions
96 Replies
17K Views
Hatimaye unabii wa Afande Sele juu ya Saida Karoli umetimia. “Mimi nilijua Saida Karoli ni mwanamuziki bora wa kike Afrika, mimi nafahamu sio Tanzania.Saida Karoli yupo juu ya dada yangu Jide...
10 Reactions
40 Replies
7K Views
Jamaa anaonkana mbunifu!!baada ya kuhakiwa his 2m account jamaa kawaka tena Huyu komedian no shida...and he fluently speak English He take usual post but caption anauga Tz TNA vpaji sema vinazamia...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Instagram sio tena sehemu ya kupost picha pekee kwaajili ya kuuza sura kama zamani, mtandao huyo kwa sasa unawaingizia pesa nyingi baadhi ya mastaa duniani. Staa wa soka Cristiano Ronaldo na...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Umuofia kwenu wakulu, Baada ya Clouds kumpa promo ya nguvu Saida Karoli na kumrudisha kwenye gemu ya muziki kwa kishindo,inasemakana lakini, E-Fm ya Dar nayo imepanga kumrudisha Mr. Nice!
2 Reactions
64 Replies
7K Views
Wengi husema na kulaumu kuwa eti hawa wanawake hutembea na wanaume wadogo mfano Zarina na daimond Wolper-harmonize Wema-idris Shilole-nuhu Hawa wamewazidi wapenzi wao miaka mingi mfano zari...
6 Reactions
70 Replies
8K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Husika na kichwa cha habali hapo juu Habali kamili Msanii daz baba kutoka daz nundaz ambalo ni kundi lililopata kutamba hapo miaka ya nyuma amesema tofaut...
3 Reactions
52 Replies
10K Views
Aman iwe kwenu katika bwana wapendwa Kama kichwa cha habali kilivyo hapo juu.. Kwanini wasanii wetu kwa sasa kila siku wanaachia ngoma mpya kuna huko mbelen wanajiandaa na nini yaan na kitu gan...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Dar es Salaam.Usaili wa kuwatafuta washiriki wa mashindano ya kumtafuta mrembo wa Miss Grand Tanzania utafanyika Julai 10, mwaka huu katika ukumbi wa Dar es salaam Convention Centre, jijini Dar es...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Baada ya ukimya wa muda mrefu tangu msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz atangaze ujio wa bidhaa zake za headphone ‘Chibu Beats’, msanii huyo ameelezea kinachochelewesha. Muimbaji huyo...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…