Aman iwe nanyi wapendwa bwana
Husika na kichwa cha habali hapo juu
Habali kamili
Msanii wa kizazi kipya chidi benz sasa amedai hategemei mzik peke yake bali ameamua kujihusisha na kilimo kaz...
Kwanini magazeti ya udaku ya Shigongo siku hizi hayaandiki habari za Diamond? Kuna beef gani tena?
Mbona Diamond anaandamwa na mabeef sana; huku EATV, huku Kiba, huku Davido? Tatizo ni nini hasa?
Baraza la Sanaa nchini(BASATA) limesema kuwa Haliwezi kumpatia msanii Ray Vanny mapokezi ya heshima kwa kuwa hawana taarifa rasmi za ujio wake na hata alipoondoka hakuaga.
Msanii huyo ameshinda...
I know that ship sailed a minute and few hours ago, but a few sore souls keep fronting and melting. Jay-Z just dropped his 13th studio record...4.44 and the reception is ridiculous for a man his...
Habari wanaJF,
Pentatonix ni kundi la muziki wa acapella (mara nyingine hufupishwa kama PTX) ni vijana walioshinda tuzo za Grammy mara mbili kama BEST ACAPELLA GROUP kutoka Marekani vijana hawa...
ZARI aandika hivi na kupost video matata...
"Thought I'd share my private show with ma fans... that's how much I love you. Enjoy!
Helllllll yeeeeaaaasss, Sunsets are better on roof tops Boo&Bae...
Huko kwenye mitandao ya kijamii kumechafuka habari ya Ali kusign deal na Sony wengi wakiamini huo ndio utakuwa mwanya wa msanii huyo kutoboa kimataifa.. Jambo ambalo mashabiki wake wanashindwa...
Mnyamwezi wa mbeya Izzo bizness karudi kwenye misingi yake baada ya kupoteza radha yake ile tuliyomzoea
sasa kaamua kweli kwa hili ngoma lake mpya kabisa "Rafiki" jamaa kamaliza kila kitu, na hii...
Huyu jamaa kampiga denda Elizabeth Michel a.k.a Lulu Jukwaani. Na amekua akiendelea kumtaja na kumsifia kila dakika.
Sijaona kama ni kitendo cha busara na hekima kabisa."Kitendo husika si sehemu...
Hii ni kwa mujibu wangu mimi Student teacher na hakuna mtu anaye nipangia cha ku post.
Kwa anayependa muziki mzuri wenye ladha nzuri kwa upande wa bongo fleva ataungana nami kuwa hii ndiyo list...
Msanii Diamond Platnumz amemaliza tofauti na baba yake mzazi na sasa anampa fedha za matumizi anapohitaji
Mwanzoni msanii huyo alikuwa na bifu na mzazi wake huyo kwa sababu alimtelekeza alipokuwa...
Umofia kwenu wana JF,
Ni siku nyingi sana sijamsikia christian bella kwenye anga za burudani au akifanya live interview kwa radio/TV,katika kufatilia nimeambiwa anasumbuliwa na ugonjwa wa...
Leo katika kuperuzi kwenye mitandao ya kijamii nimekutana na post za kijana wa kiume ambazo zinamuhusu msanii Raymond wa wasafi,post za kijana huyo ni tata kiasi kwamba nilishindwa kufahamu kijana...
Aman iwe wapendwa katika bwana
Husika na kichwa cha habali hapo juu
Habali kamili
Msanii wa kizaz kipya wa bongo freva mwenye stail ya kufoka foka roma mkatoliki wa vatican amedai yeye siku...
Mpaka Vazi la Spika wanashonea uingereza!! Utumwa wa mawazo huu, washonaji wa kitanzania hawapo, na hizo pes zote hizo?
Wakati huo huo, Bw. Sitta, aliwafahamisha wabunge kuwa jana alikuwa...
kama hilo bichwa hapo juu linavosema sitaki nikwepesh kwepeshe maneno ni mda sas nimekuwa nikijiuliza juu ya wasanii wetu wa hapa tz katik mtandao wa instagram ni vigumu sana ukiweka comment kweny...
Sisi wadau wa ROMA mkatoliki msanii wa Hip Hop tunatamani sana kusikia na kuona Ngoma mpya kutoka kwako.
Kwa matukio yalivyo sasa naamini una mengi ya kuyazungumzia kwa Kuangalia uongozi wetu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.