Homa ya pambano la wana masumbwi Manny Pacquiao na Jeffrey Horn au Hornet kama anavyojulikana na mashabiki linazidi kupamba moto kila kukicha
Jeff ametamba kumsambaratisha Pack mapema sana kwa...
Huyu bwana,kwa mara nyingine, anadaiwa kwenda Afrika ya Kusini siku ya leo tena akisafiri kwa daraja la Bussiness class huku akiwa na rundo la mizigo na wapamba wake.
Nachojiuliza kama madai haya...
Wana ndugu leo nataka tumdadavue huyu mchekeahaji kutoka Kenya,Ndg Erick Omondi .
Huyu jamaa kwa kweli huwa nashindwa kumuelewa ,hivi kwa nini anapenda kutufatilia fatilia sana Watz na sio raia...
Habari wadau,
Msanii Ali Kiba ameongeza mtoto wa tano kwa mama tofauti. Mzazi mwenzie huyo kwa sasa (single mother) ni mkazi wa Mombasa na anadai alipewa ujauzito kipindi Ali Kiba anapiga show...
Rapa kutoka Weusi Kampuni, Joh Makini amefunguka kuwa kampuni yao kwa sasa haina ushamba tena kwenye muziki kwa kuamini kuwa video ndiyo inaweza kukuza muziki wao na kuwapeleka sehemu kubwa zaidi...
Mtandao wa Bongo 5 nimekuwa nikiufatilia sana na ni moja ya mitandao ya muda mrefu hapa nchini unaomilikiwa na wanandoa wawili Lucas Neghest na Nancy Sumari.Wamiliki hawa walithubutu na wakaweza...
Mchezaji wa Real Madrid kapata watoto mapacha kabla Mechi za makombe ya Mabara hayajaanza ila alikaa kimya hadi jana baada ya timu yake kutolewa ndio akasema
Mama wa hao watoto hajulikani
Sasa...
wakuu habari
nimekuwa nikijiuliza kitu gani kipo kwenye akili za wanamuziki wengi wa kiafrika hawawezi kutoa nyimbo zenye video hadi ziwe na video queens wenye makalio makubwa. ina maana no way...
Jay_z ameweka wazi kwenye wimbo uliopo kwenye album yake mpya 4:44 kuwa mama yake gloria carter ni msagaji
Amerap: Mama had four kids but she's a lesibian / Had to pretend so long that she's a...
Huyu demu yupo vizuri sana kwenye comedy, nimeangalia baadhi ya clips zake mitandaoni, kwa kweli yéyé na crew yake wanafanya vizuri sana kwa sasa, nadhani kwa sasa ndio kikundi cha comedy...
Matokeo ni kama ifuatavyo..
BEST INTERNATIONA ACT: AFRICA -WIZKID, hapa mpinzani mkubwa alikua DAVIDO
BEST GROUP - MIGOS
BEST MALE HIP HOP ARTIST - KENDRIC LAMAR, hapa mpinzani alikua DRAKE...
Msanii wa filamu nchini na Rais mpya wa FM Academia, Patcho Mwamba amefunguka kwa kusema haoni tatizo kwa bendi za muziki kutumbuiza katika kumbi za baa kwa kiingilio cha vinywaji kwa kuwa...
Hali ya Mwanamuziki mkonge wa Miondoko ya Dance nchini Tanzania Bwana.Shaban Dede aliyelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar Es Salaam akipatiwa matibabu inaendelea kuimarika vyema...
Kuna uwezekano mkubwa hii style mpya ya wasanii wa kiume kutoboa pua ikaenea kwa wasanii wengi zaidi. Ilianza kwa msanii Chid Benz ambae mara baada tu ya kuonekana katoboa pua ilikua gumzo sana...
Wema Sepetu alitrend mpaka nigeria kwa vazi lake linaloonyesha umbo lake la CURVE, japo watu wanahoji ni shape yake,maana haikuwepo mwaka jana imetokea wapi. je ni mchina?
Hawa wadada wawili waliunda kukundi kilichoitwa Unique Sisters. Kwa majina kama nakumbuka
ni Razia na Rahma Kipoozi. Wadada hawa waling'ara sana miaka ya 1985-1990 hivi.
Vibao vyao sivikumbuki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.