Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Leo kwenye pitapita zangu youtube ghafla nikakutana na huu wimbo unaitwa Tunafanana kaimba msanii Barnaba kusema kweli toka uvunguni wa moyo wangu wimbo huu ni mzuri sana kimashairi na melody...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Kuna wimbo fulani wa kitambo kidogo wa hip hop wanaimba hivi "jamani mashabiki(shuka shuka), mashabiki bwana(shuka shuka), hata biti halijaanza(shuka shuka)" kwa unaepata huo wimbo...
0 Reactions
34 Replies
10K Views
Dully Sykes amewachana wasanii wenzake kwamba kinachowafanya washindwe katika tasnia ya muziki ni kutojitambua pamoja na kutokuwa na heshima. Dully ameeleza hayo kutokana na uwepo wake wa kipindi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wasanii wakubwa ndani ya Africa Davido na Wiz Kid mwaka juzi walionyesha kuwa washapata na kupiga picha pamoja ila toka mwaka jana kumekuwa na beef la chini chini. Hii imethibikitika baada Davido...
3 Reactions
58 Replies
9K Views
FAIZA ALLY mke wa sugu wa Zamani a.k.a mama Sasha ambaye ni mjamzito anakaribia kujifungua hivi karibuni kapost post ya utata instagram ambayo ikimonyesha akipokea bonge la busu kutoka kwa...
1 Reactions
61 Replies
16K Views
Rapa Dudubaya amefunguka na kusema haijawahi kutokea akamuacha mwanamke bila mwanamke huyo kupatwa na uchizi au asilie machozi. Dudubaya amesema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Planet bongo...
2 Reactions
49 Replies
8K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Kichwa cha habali kinajieleza vizur sana hapo juu Habaali kamili Msanii wa kizaz kipya chid benz amempiga mkwara wa kutosha na wa nguvu msanii mwenzie...
1 Reactions
26 Replies
5K Views
Idris Sultan ataonekana katika filamu ya ‘Ballin …On the Other Side of the World,’ itayoandaliwa nchini Marekani chini ya muongozaji Harvey White. Filamu hiyo imeandaliwa kwa bajeti ya Dola za...
5 Reactions
54 Replies
9K Views
P1 black, Saida karoli, Dudu baya, Tid, Chid Benz, Mansul...nk Je watatoboa kwa Vijana kwa Digitalia? Time will tell.
3 Reactions
67 Replies
6K Views
kwa majina anaitwa Stella Montez, au Chagabarbie au chagaempress anayeishi brooklyn new york. Nyuma kama miaka miwili aliwahi kumdate Prezoo msanii wa maarufu tajiri kenya. siri ya urembo wake ni...
8 Reactions
254 Replies
34K Views
Gigy Money bado anaendeleza uchizi wake ndani ya Mwanza car wash party baada ya kutoa wimbo wake unaoitwa "nampa papa". Shughuli anazofanya Gigy kama msanii BASATA itabidi walivalie njuga.
2 Reactions
87 Replies
13K Views
Hapo ndo kuna tofauti kati yao na sisi
3 Reactions
124 Replies
17K Views
Habarini mtu yeyote mwenye kujua habari kuhusu huyu mtu naomba haziweke hapa..... maana nampenda sana huyu mdada, nataka nimpe zawadi ya kiwanja changu cha MSATA ili ahamie Tanzania Hata unaweza...
2 Reactions
51 Replies
12K Views
Nimeleta Uzi huuu kwenu nanyi mseme Kunawatu wanadai. Dogo na jux wamefanana mbayaaa haya vp wewe mdau kwa mtazamo wako
2 Reactions
32 Replies
6K Views
Yooooh Niaje? Kwa sasa kuna wimbi la wasanii wetu wa bongo flevani kuamini video kali zinabeba nyimbo hata ikiwa mbovu(kuna ukweli ndani yake).Kwa kuzingatia hilo suala la kichupa kikali...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Pumzika kwa amani Bro Ivan ila nimepata kujiuliza maswali mengi inakuwaje mtoto huyu wa Diamond kila anavyozidi kukua anakuwa kama analeta picha ya Ivan?
7 Reactions
59 Replies
9K Views
Nyota wa muziki wa Bongo flava nchini Tanzania, Ray C ameweka wazi kuwa kwa sasa hatamani tena kuingia kwenye suala la mapenzi na mtu yoyote kutokana na kuona anapoteza muda na kutaka kuwekeza...
1 Reactions
40 Replies
6K Views
Asema baadhi ya bongomovie hawana akili kwa kuwa hawataki kuboresha kazi zao. Na pia akaongeza kuwa inamaana na wao waache kuimba bongo fleva kwa kua nyimbo za kina Criss Brown na Lilyne na za...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Baada ya mda mrefu kwa nick minaj kuteka soko la muziki wa rap/hip hop kwa upande wa wanawake naona ufalme wake unaanza kuanguka pole pole baada ya kurudi kwa mkali wa hip hop Remy ma na naona...
2 Reactions
83 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…