Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Maana wote wametoka kimuziki Gerezani kariakoo Abby skills kwao mtaa wa kipata Queen Doreen dada yake Mondi anatokea mitaa hiyohiyo aliwahi kuwa video vixen wa kazi ya Abby Skills na Mr Blue -...
3 Reactions
1 Replies
731 Views
Kama ulikuwa hujui basi ni hivi aliyekuwa muimbaji na mfalme wa pop duniani Michael Jackson alipanga mipango ili aweze kuishi miaka 150 hapa duniani Baadhi ya mipango hiyo ni - Aliajiri...
9 Reactions
22 Replies
1K Views
#ETrending Follow @rickmedianews Usiku wa kuamkia leo Staa wa muziki @rayvanny amefanikiwa kushinda Tuzo 5 za #EAEA ( East Africa Arts Entertainment Awards) zilizofanyika nchini Kenya. Vipengele...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Leo nimejiridhisha kabisa juu ya msanii Harmonize kuwa mihadarati anayotumia na wanawake afikishe sober house mapema sana. Hofu ya afya yake ya akili ilianza muda sana ila nikafunika kombe...
7 Reactions
52 Replies
3K Views
Msanii Diamond karibia hayo Mafanikio yote uliyoyaonyesha katika Video ya huo Wimbo wako (Kichupa Chako) ambayo kama kawaida ya Mr. Kiherehere Gerson Msigwa (Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni Sanaa...
1 Reactions
0 Replies
805 Views
Taarifa zilizotufikia usiku wa kuamkia leo zinaeleza kuwa Mtangazaji aitwaye Denis Rupia maarufu kama Chogo amefariki dunia. Taarifa hizi zimetolewa na Meneja Mkuu wa EFM, Denis Ssebo jukwaani...
2 Reactions
102 Replies
5K Views
Tuache utani, Mziki ni kazi ngumu jamani kama hauna strategies thabiti. Wanaijeria walalamika kuhusu ASAKE kubadilika muonekano na kuanza kufanana na watu wa kawaida japo kuwa ana mamilioni ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hivi majuzi Rihanna alikuwa amepost picha akiwa amevaa nguo za Masista wale wa kiroma.Watu wengi Sana wamemponda wengine kusema hana heshima.Wengine kusema anadhalilisha ukristo. Watu ilibidi...
4 Reactions
63 Replies
2K Views
Wote tunajua Dulla planet bongo ni kijana aliyekuta planet bongo kama kipindi pendwa ikadondoka na kupotea kabisa. Sasa ndugu Ali kiba kapewa na mnene mmoja asimamie redio na kuipromoti ambayo...
15 Reactions
70 Replies
7K Views
Kwa mara ya kwanza mtangazaji nguli nchini Taji Liundi amefunguka kuhusu maisha yake binafsi na mchango wake katika tasnia ya muziki. Taji Liundi aka Master T ambaye amefanya kazi na vituo...
5 Reactions
34 Replies
13K Views
Hii dunia katika kila tasnia zimekuwa zikitengeneza ma star, hugawia kwa viwango, wengine huitwa ma Super Star wengine huitwa Mega Stars. Lakini tuunapokuja Kwa Shahrukh Khan tunashindwa kupata...
2 Reactions
26 Replies
1K Views
Kwa wale wapenzi na mashabiki wa Ferre Gola Le padre, aliyebarikiwa sauti nzuri na kipaji kikubwa cha kuimba mziki mzuri wa Rhumba kutoka DRC CONGO. Masaa 22 yaliyopita kutoka kwenye akaunti...
1 Reactions
4 Replies
973 Views
Sijui ni macho yangu tuu, ila naona mwanamuziki Peter Msechu amefanana sana na mbunge Tundu Antipas Lissu. Je wana undugu wowote?
9 Reactions
78 Replies
18K Views
Muonagor alifariki jana baada ya kupambana na ugonjwa wa figo kwa muda mrefu. Hii ilikuja siku chache baada ya video iliyosambaa ambapo aliiomba msaada wa kifedha kutoka kwa wanaijeria ili...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Huyu kijana anakuja kwa speed kama vile katupwa kutoka kwa juu Ana nyimbo zake hazichoshi ila naona hajapewa sana airtime me mpaka sasa hivi sijajua ni mtanzania au mkenya?
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Sasa hio fashion si mzigo na mateso Kwa mkewe Bianca
20 Reactions
40 Replies
3K Views
RC Makonda ameandika kwenye Instagram yake akimwambia Zari kuwa ana uwezo mkubwa wa kupita kwenye dhoruba na akaendelea kubaki imara na kuendelea kupata heshima kutoka kwa familia yake. RC...
4 Reactions
182 Replies
22K Views
Habari wadau. Huna binti anatred sana mtandaoni huyo hapo kwenye picha anaitwa LILIAN LEMA. Huyu binti ana elimu nzuri tu na ana degree ya uchumi kutoka chuo kikuu cha taifa udsm Amepata...
48 Reactions
356 Replies
21K Views
2024 naona ime Anza kwa Kasi, nao marioo na harmonize Waka amua kutoa nyimbo mpya. 👉 Hi ni collabo yao ya pili, Baada ya ile naogopa. Nyimbo hii Ina kwenda kwa jina la away, aisee ni Nyimbo Kali...
4 Reactions
108 Replies
24K Views
Hapo chini utaona listi ya watakaokufa mwaka 2017, Watu maarufu zaidi ya 50 wamechaguliwa na jopo la watabiri kuwa watakufa mwaka huu. Kuna sheria za kuchagua watu watakaokufa kama ifuatavyo...
2 Reactions
53 Replies
8K Views
Back
Top Bottom