Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limeufungia rasmi wimbo wa ‘pale kati patamu’ ulioimbwa na msanii Ney wa Mitego kutokana na ukiukwaji mkubwa wa maadili. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya...
1 Reactions
59 Replies
11K Views
Moja ya vichwa navyo vielewaga kwenye game ya bongo sitomwacha kumtaja msanii na mtunzi Barnaba anajielewa sana ni ngumu kumkuta anapost ujinga au kuongea kwenye media kitu kitakacho wakwaza...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Lile timbwili la madale bado linaendelea kuwaka moto , hivi karibuni mzazi mwenzie na diamond, zari amepost picha akiwa na mama yake mzazi huku akimwagia sifa kem kem kuwa mama yake huyo ana...
3 Reactions
121 Replies
17K Views
Wana JF, Leo nawaletea mwandishi wa habari wa Tanzania ambaye anajua mambo mengi sana iwe kwenye nyanja ya afya,uchumi,siasa,biashara na hata kijamii pia Jina lake kamili ni Kibwana Mustapha...
5 Reactions
37 Replies
7K Views
Sasa dull wa planet bongo eatv kwa sasa atakuwa anawapa tabu team nzima ya xxl kutokana uwezo wake na ubunifu alionao huyu kijana na kujituma. katika radio zilizokuwa zinasikilizwa sana mchana ni...
2 Reactions
30 Replies
8K Views
Ukitaka amini usipotaka acha. Dangote platinum majuzi alisababisha wachezaji wanne wa VFB STUTGART inayoshiriki ligi kuu ya ujerumani kukatwa mshahara wa wiki 2 pale walipotoroka hotelini na...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
Baadhi ya blogs za Brazil zimedai kama Andrey Countinho wa Dar young african angeitwa national team hakika ile adhabu ya jana wasingeipata. Lawama zilimuendea zaidi Maximo kwa kulileta kinda hilo...
1 Reactions
35 Replies
5K Views
Ni muda mrefu nimemkosa Comrade R. Masako katika kipindi cha KIPIMA JOTO cha kila Ijumaa baada ya taarifa ya habari. Ndugu Masako ni Mratibu muhimu wa kipindi hiki kutokana na kukiongoza vizuri na...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Msanii Bongo Fleva Emmanuel Elibariki "Ney wa Mitego" ahojiwa na Polisi, Kamanda Kanda Maalum Dar Simon Sirro athibitisha leo bila maelezo zaidi. Ney wa Mtego ahojiwa polisi Msanii wa muziki wa...
1 Reactions
33 Replies
9K Views
TBT- I wish R.I.P could stand for Return If Possible Albert Mangwea wewe ulikuwa hazina ya Bongo Flava kwa ubora wa karama yako ya Freestyle na tungo za utundu na ubunifu wa maneno ,Ngwear...
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Huu ndio muonekano mpya wa mama mzazi wa super star diamond platnums, aiseeh ni shigidaaaa, hii inaitwa kupendeza kwa mwendo kasi, hapa hata ukimuweka mama chibu na zari bado zari ataonekana...
6 Reactions
127 Replies
28K Views
On the right hand side is Raymond and left one is Bongo Fleva Celebrity Diamond Platnumz earlier Today through his Instagram Account he has made big announcement concerning his hit song with...
1 Reactions
55 Replies
9K Views
Ugeni mwingine ambao Tanzania imekua ikitarajiwa kuwa nao toka juzi ya July 9 2016 ni ujio wa mwimbaji staa kutoka Marekani Usher Raymond ambaye anakuja Tanzania na moja kwa moja kwenda mbugani...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Aje washkaji zangu wa nguvu!? Kuna jambo sijalipenda hata #Kidogo na sina budi niliweke wazi. wiki iliyopita Kampuni ya WCB iliingia kwenye headliness baada ya msanii wake Diamond platnumz kuzuia...
1 Reactions
96 Replies
11K Views
Akiongea kwenye Planet Bongo ya East AFrica Radio, TID amesema Dully Sykes hakupenda kitendo cha Joh Makini kuwepo kwenye collabo yao ya wimbo wa confidence. “Kwanza ile ngoma mwenyewe ndio...
4 Reactions
40 Replies
8K Views
Katika kuwahabarisha watu wake na mashabiki wake,Masanja Mkandamizaji ameandika hivi katika mtandao wake MBWEMBWE ZOOOOOOTE ZIMEISHIA KWA BINTI HUYU WA KISUKUMA HAKIKA KAWAZIDI...
13 Reactions
115 Replies
28K Views
Kila siku tunasikia Jina la Zitto Kabwe kuwa ndiye mkombozi wa Tanzania. Wengine Wanasema Zitto Keshanunuliwa, hana kazi tena. Tunaomba Majina ya vijana kumi wenye uwezo wa kuliokoa Taifa ikiwa...
0 Reactions
63 Replies
12K Views
Kama umeingia instagram kuanzia jana utakuwa umeona kivumbi kinachotimka kwenye familia ya Diamond Platinumz. Picha halisi ya kinachoendelea ilionekana kwenye birthday party ya mama yake...
14 Reactions
172 Replies
28K Views
Leo katika pitapita zangu nikakutana na Baruan Muhuza mtangazaji wa BBC. Kilichonishangaza ni kuwa huyu jamaa yuko simple sana hana makuu, tofauti na nlivyo kuwa nafikiria awali kwamba labda...
2 Reactions
55 Replies
10K Views
Back
Top Bottom