Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Habari Sitaki kukuchosha msomaji now days hakuna sehemu unaweza enda ukapata taarabu nzuri ukasikiliza mpka mawazo yakapotea enzi zile ukiwa na stress za mapenzi unasikia wimbo njiwa peleka...
2 Reactions
3 Replies
786 Views
Habari! Mwaka jana nilizungumza kitu kuhusu hawa comedians jinsi wanavyotisha. Wachekeshaji wetu waache kupoteza muda kuropoka. Mimi wachekeshaji wetu wanabiboa, kazi yao ni kuropoka majukwaani...
2 Reactions
5 Replies
478 Views
Hip hop ni aina ya muziki unaoelezea aina ya usanii na utamaduni uliyotokana na jamii ya Wamarekani Weusi na Walatino kunako miaka ya 1970 mjini New York City, hasa katika kitongoji cha Bronx na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nasibu Abdul Juma Issaack (maarufu kwa jina la kisanii kama Diamond Platnumz;Alizaliwa Dar es Salaam, Tanzania, 2 Oktoba 1989) ni mwimbaji wa nyimbo za Bongo Fleva na dansa kutoka nchini Tanzania...
3 Reactions
14 Replies
6K Views
  • Poll Poll
ROUND 1: HIT 'EM UP. "Hit 'Em Up" ni wimbo wa kunangana uliotungwa na Tupac Shakur, akishirikiana na kundi lake la rap la Outlawz. Wimbo ni wa upande wa pili wa single ya mwaka wa 1996, "How Do U...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Binafsi niseme tu hawa waheshimiwa Tx-Moshi, Mzee Gurumo, Mbwembwe, Mzee Mabera, Mahina, Momba na wengine ambao sikuwataja na bendi zao walifanya kazi kubwa kwani mziki wao bado unaishi kwa...
1 Reactions
1 Replies
392 Views
SSERIES NZURI ZA 2022 - 1. House of the Dragon Season 1 2. Better Call Saul Season 6 3. Andor Season 1 4. The Boys Season 3 5. Ozark Season 4 6. Top Boy Season 4 7. Obi-Wan Kenobi Season 1 8. Tom...
0 Reactions
0 Replies
936 Views
Nadhani tunakubaliana kwamba kwenye kila, "usiniseme, kama napenda kula" au "Namtafuta Bata wangu yule wa Rangi Nyeusi" pia kuna ma-genius wanakuja na kazi ambazo maneno yake yamepangika na yana...
3 Reactions
114 Replies
16K Views
NTAGAMBI.......19 Mtunzi; Lovi Pius Kijogoo. 0757 238 304.( WHATSAP ) Tanga. SEHEMU YA KUMI NA TISA.. ( 19 ) ILIPOISHIA...... Alipoinua kichwa Ntagambi, kwa mbali aliona Jengo la mfalme...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Oy wadau sikilizen hii kamba halafu mniambie kaimba nan huwa naisaka sana,ila Leo nimeikuta club nikairekodi niambien niidownload fasta
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Ukisikia Rap...ni michano, kuchana, kufloo,nk. Ni aina ya ushairi mbaya... Yani huwezi kulinganisha mashairi ya Shaaban Robert na mashairi ya Young lunya au fid q. Mashairi ya Rap mara nyingi...
2 Reactions
45 Replies
4K Views
Huwa napenda kujifunza mengi kuhusu filamu kwa sababu najiandaa kuingia kweynye ulimwengu huo hivi karibuni. Huwa najiuliza ni kitu gani hufanya Bongo Muvi kutokuwa na mvuto wa kuangalia? Nini...
5 Reactions
10 Replies
3K Views
NB: Sio movie, ni series yenye episodes.
0 Reactions
1 Replies
552 Views
1- taylor swift anti hero 2- mbosso huyu hapa 3- SZA nobody gets me 4- kizz daniel cough 5- Drake ft 21savage Rich flex 6- The weekend die for you 7- rema ft sele gomez calm down 8- the kid...
4 Reactions
8 Replies
614 Views
Mfanyabiashara na Meneja wa Masuala ya Sanaa nchini, Sallam SK Mendez, amefunguka kuhusu taarifa za mtandaoni zinazodai kuwa ameiacha Lebo ya Wasafi Record ya Diamond Platnumz (WCB) kujiunga lebo...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Washaimba wasanii nyimbo nyingi kuelezea nafasi ya mwanamke katika jamii, Washaandika waandishi wengi wa hadithi na vitabu kuhusu nafasi ya mwanamke katika jamii. Serikali na asasi za kiraia...
2 Reactions
7 Replies
567 Views
Ni series ya muendelezo wa ile iliyo tangulia ya game of thrones kutoka HBO.. Series ime base na House Tygaryan ambao ni dragons rider na rulers wa Seven Kingdoms za westoras ambao ki asiri wao...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Best of Late 90s + Early 2000s Hip-Hop & R&B - YouTube old school (80's & 90's) hip hop/rap/r&b - YouTube Tukumbushane ulizozikubali zaidi
2 Reactions
194 Replies
40K Views
Back
Top Bottom