Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
3D animation yangu ya kwanza niliyofanya kutumia Blender 3D na Unreal Engine 5. I hope i did a decent job [emoji16]
6 Reactions
8 Replies
1K Views
Hawapigi tena track redioni, Na hata kwenye TV haunioni, Na jina haliendi chini, Najua unashangaa hata mimi sijui kwanini, Je ungenipenda Kama nisingekuwa Staa!? Kwasababu sio handsome wanasema...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Muda huu kama upo karibu na tv waweza tune Chanel ten (inayomilikiwa na ccm),ambapo mgeni rasmi ni Rais Samia.
0 Reactions
2 Replies
415 Views
JUZI nilikuwa nikiangalia mahojiano katika stesheni moja ya televisheni ya lugha ya Kifaransa. Aliyekuwa akihojiwa alikuwa Youssou N’Dour, mwimbaji maarufu wa Senegal aliyetangaza kwenye...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Kazi ya Mzungu 1 DAVID NGOCHO SAMSON Miaka miwili iliyokuwa imepita, Masuke aliamua kuondoka kijijini kwao Malonje na kuingia jijini kutafuta maisha kama ilivyo kuwa desturi ya vijana wengi...
6 Reactions
123 Replies
35K Views
Kwanza niseme mimi ni Simba lilia ila hapa nitaongea ukweli 1. Mo Dewj Huyu bwana tunamshukuru sana kwa sababu tangu alipoichukua team kwa miaka minne mfululizo tumekuwa mabingwa na tumekuwa...
0 Reactions
5 Replies
533 Views
Nimeangalia video zake kadhaa, mfano Daraja la Kijazi-Ubungo, Eco-Village Kigamboni, Makumbusho n.k. Afanyie kazi haya; 1. Anachapia kiingereza(ajifunze lugha hiyo) utadhani ni Watanzania pekee...
2 Reactions
8 Replies
591 Views
Wanasimba wenzangu, hivi karibuni nimesikia tetesi (ingawa hazijavuma Sana ) kwamba Simba inamuwinda Papaa Ibenge, nasikia hana furaha na maisha ya Berkane, Wazee wa za ndaaani embu tujuzane hapa
1 Reactions
5 Replies
597 Views
See the video at Niamini ft. Alikiba - Hamadai - Lyrics & Music Video "Hamadai" - Song Lyrics eyyoooo oh beby mwezi hauishi takuvisha pete niaamiiini vicheche sina mpango nao nimeacha mapepe...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimeshatikisha tikisha nyavu mi ndo Mvp wakakimbia depo ka police wa ccp niliwapigisha kuruta kwata la jkt ninakioaji mimi kushinda tht……. Ebu tumwagike wazee…….
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Ilikuwa majira ya saa 3 usiku nipo zangu nyumbani naangalia movie, Ghafla simu yangu inaita, kucheki hivi, namba ni ngeni, Nikapokea, Upande wa pili inasikika sauti ya mdada ikiongea, “ Hallo...
0 Reactions
0 Replies
528 Views
Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa movies utagundua jambo hili. Movie au vipande vingi vya sinema vinavyohusu nchi zisizo za kimagharibi utakuta wameweka rangi kama kuna vumbi vumbi😀. Hivi huwa...
1 Reactions
3 Replies
953 Views
huyu jamaaa huwa namkubali sana miondoko yake.. hasa ile ngoma ya PAINKILLER! anateremka na biti kama hataki. style yake ya kipekee kabisaaaaa! big up sana sakordie
0 Reactions
0 Replies
280 Views
RIWAYA: MATEKA MTUNZI: EMMANUEL PHIRI NAMBA: 0758 195 890 (KIPANDE CHA KWANZA) UTANGULIZI Licha ya baridi kuwa kali kwa sababu ya mvua iliyokuwa ikiendelea kunyesha, lakini bi Nadia Ali Rayan...
2 Reactions
28 Replies
8K Views
Waimbaji wa kwaya hii walikuwa wanaimba nyimbo za Kiswahili.Wengi wa o walikuwa wazungu(kutoka Sweden) na wabongo wachache.Ilikuwa na nyimbo murua sana. Baadhi ya nyimbo zao ni kama;Roho...
4 Reactions
16 Replies
5K Views
Habarini wana jamvi Nakumbuka miaka ya 90, kupitia Redio Habari Maalum (RHM) Kuna kwaya moja iliyoitwa "Huru Waimbaji was Sofa" waliimba nyimbo za kusifu zikiwamo "Jina LA Yesu", " ROHO...
3 Reactions
2 Replies
3K Views
Hii ngoma ni club banger, mwendo wa Instrumental kwa HIT song yes producer kafanya poa sana. Tunda kaonesha atleast yeye ni msanii mkubwa na sipingi ujuzi wake wa kutunga mashahiri (Kamuulizeni...
2 Reactions
22 Replies
4K Views
Hii ndio Official Trailer ya Filamu ya Vuta N'kuvute (Adaptation ya ile novel ya Vuta N'kuvute by Shafi A. Shafi) Filamu ilikuwa Directed & kuandaliwa Amil Shivji (Kijiweni Production)...
4 Reactions
8 Replies
3K Views
Kipindi cha BLOCK 89 hakipo hewani kwa muda sasa, hii inaashiria nini..?, kimefutwa, kimebadilishwa muda..., well, kwa mtazamo wangu mimi, BLOCK 89 Ilikuwa lazima ifutwe/kusimamishwa, Why...
9 Reactions
129 Replies
12K Views
Kimsingi kila binadamu anapitia kwenye mood swing kutokana na situation mbali mbali anazopitia na kusababisha awe down and hollow sometimes...sasa katika hali hiyo ya upweke na kuona mlima umekuwa...
8 Reactions
132 Replies
25K Views
Back
Top Bottom