Hawapigi tena track redioni,
Na hata kwenye TV haunioni,
Na jina haliendi chini,
Najua unashangaa hata mimi sijui kwanini,
Je ungenipenda Kama nisingekuwa Staa!?
Kwasababu sio handsome wanasema...
JUZI nilikuwa nikiangalia mahojiano katika stesheni moja ya televisheni ya lugha ya Kifaransa. Aliyekuwa akihojiwa alikuwa Youssou NDour, mwimbaji maarufu wa Senegal aliyetangaza kwenye...
Kazi ya Mzungu
1
DAVID NGOCHO SAMSON
Miaka miwili iliyokuwa imepita, Masuke aliamua kuondoka kijijini kwao Malonje na kuingia jijini kutafuta maisha kama ilivyo kuwa desturi ya vijana wengi...
Kwanza niseme mimi ni Simba lilia ila hapa nitaongea ukweli
1. Mo Dewj
Huyu bwana tunamshukuru sana kwa sababu tangu alipoichukua team kwa miaka minne mfululizo tumekuwa mabingwa na tumekuwa...
Nimeangalia video zake kadhaa, mfano Daraja la Kijazi-Ubungo, Eco-Village Kigamboni, Makumbusho n.k.
Afanyie kazi haya;
1. Anachapia kiingereza(ajifunze lugha hiyo) utadhani ni Watanzania pekee...
Wanasimba wenzangu, hivi karibuni nimesikia tetesi (ingawa hazijavuma Sana ) kwamba Simba inamuwinda Papaa Ibenge, nasikia hana furaha na maisha ya Berkane,
Wazee wa za ndaaani embu tujuzane hapa
See the video at Niamini ft. Alikiba - Hamadai - Lyrics & Music Video
"Hamadai" - Song Lyrics
eyyoooo
oh beby mwezi hauishi takuvisha pete
niaamiiini
vicheche sina mpango nao nimeacha mapepe...
Nimeshatikisha tikisha nyavu mi ndo Mvp wakakimbia depo ka police wa ccp niliwapigisha kuruta kwata la jkt ninakioaji mimi kushinda tht……. Ebu tumwagike wazee…….
Ilikuwa majira ya saa 3 usiku nipo zangu nyumbani naangalia movie,
Ghafla simu yangu inaita, kucheki hivi, namba ni ngeni,
Nikapokea, Upande wa pili inasikika sauti ya mdada ikiongea,
“ Hallo...
Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa movies utagundua jambo hili. Movie au vipande vingi vya sinema vinavyohusu nchi zisizo za kimagharibi utakuta wameweka rangi kama kuna vumbi vumbi😀. Hivi huwa...
huyu jamaaa huwa namkubali sana miondoko yake..
hasa ile ngoma ya PAINKILLER!
anateremka na biti kama hataki.
style yake ya kipekee kabisaaaaa!
big up sana sakordie
RIWAYA: MATEKA
MTUNZI: EMMANUEL PHIRI
NAMBA: 0758 195 890
(KIPANDE CHA KWANZA)
UTANGULIZI
Licha ya baridi kuwa kali kwa sababu ya mvua iliyokuwa ikiendelea kunyesha, lakini bi Nadia Ali Rayan...
Waimbaji wa kwaya hii walikuwa wanaimba nyimbo za Kiswahili.Wengi wa o walikuwa wazungu(kutoka Sweden) na wabongo wachache.Ilikuwa na nyimbo murua sana.
Baadhi ya nyimbo zao ni kama;Roho...
Habarini wana jamvi
Nakumbuka miaka ya 90, kupitia Redio Habari Maalum (RHM) Kuna kwaya moja iliyoitwa "Huru Waimbaji was Sofa" waliimba nyimbo za kusifu zikiwamo "Jina LA Yesu", " ROHO...
Hii ngoma ni club banger, mwendo wa Instrumental kwa HIT song yes producer kafanya poa sana.
Tunda kaonesha atleast yeye ni msanii mkubwa na sipingi ujuzi wake wa kutunga mashahiri (Kamuulizeni...
Hii ndio Official Trailer ya Filamu ya Vuta N'kuvute (Adaptation ya ile novel ya Vuta N'kuvute by Shafi A. Shafi)
Filamu ilikuwa Directed & kuandaliwa Amil Shivji (Kijiweni Production)...
Kipindi cha BLOCK 89 hakipo hewani kwa muda sasa, hii inaashiria nini..?, kimefutwa, kimebadilishwa muda...,
well, kwa mtazamo wangu mimi, BLOCK 89 Ilikuwa lazima ifutwe/kusimamishwa, Why...
Kimsingi kila binadamu anapitia kwenye mood swing kutokana na situation mbali mbali anazopitia na kusababisha awe down and hollow sometimes...sasa katika hali hiyo ya upweke na kuona mlima umekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.