Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Kwa wale wanaopenda kujifunza & kuuliza mambo yote yanayohusu teknolojia...mnakaribishwa njoo ujifunze Whatsapp 0714921412....BURE 100%
1 Reactions
2 Replies
717 Views
Ndugu, kama mjuavyo mwaka 2015 , 16 kulikua na action movies za maana zilizo jumuisha john wick, unlocked u.n.c.l.e spy kingsman secret service rogue nation na nyingine nyiingi kama hizo ila kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakuu, kama kuna mwenye link ambayo nitaweza kushusha Series ya Naagin msimu wa pili, anisaidie, Shukran.
0 Reactions
0 Replies
764 Views
Naona wanacheka wenyewe na kupigana tu na hili li jamaa llinene linavaa minguo michafu iliyochanika dah!!.. bongo bado sana!
5 Reactions
58 Replies
7K Views
Katika wimbo wake unaitwa "nasema nao" Msanii ney wa mitego ameamua kumchana profesa lipumba asiwe king'ang'anizi ndani ya chama ambapo katika huo wimbo ney wa mitego anasema "Usiwe...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Juzi ilikuwa siku ya vitabu duniani.Hivyo nafikiria mimi na wewe tutengeneze group letu la whatsapp la kusoma vitabu ambalo tutaliita "The Book Readers Forum[emoji432]." Group letu litakuwa na...
0 Reactions
3 Replies
819 Views
Karibuni tuburudike ktk show ya snura ndani ya EATV japo akiwaga kwenye show zenyewe zinakuaga ni shida zaidi ya hapa
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Album imeachiwa tarehe 20 april 2018. Kama tayari umesha isikiliza karibu tufanye review ya hii album. Ni moja kati ya album kali nilizo sikiliza mwaka huu mpaka sasa hivi. Track list: My...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
movie tayari imeanza kuonyeshwa kwenye majumba ya sinema duniani kote na inategemewa kuvunja rekodi ya box office ,tutegemee hata black panther itapitwa hapa mana hata black panther imo ndani yake...
1 Reactions
1 Replies
760 Views
Kuburudika kiasi yake baada ya kazi wiki mzima.
0 Reactions
2 Replies
546 Views
Tokea nisikilize TBC Taifa sasa yapata mwezi marejeo ya vipindi vya Pwagu na Pwaguzi mchana saa saba kasoro robo na jioni saa kumi na mbili kasoro robo siku za jumatatu mpaka ijumaa, kiukweli...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Mzalendo ameachia ngoma nyingine inayokwenda kwa jina la Fyatua Bomu. Najiuliza huyu jamaa ndio msanii pekee, au raia pekee alieamua kuongea hadharani bila uoga?
1 Reactions
3 Replies
3K Views
HABARI ZA LEO MPENDWA! STORY YA UJAMBAZI NA UJASUSI!! LAZIMA UITAZAME HII ACTION MOVIE YA HD QUALITY BOMBA KABISA!
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Wakuu heshima kwenu Baada kocha mzambia Lwandamina kuondoka kinyemela leo tumepata taarifa kwamba timu ya Yanga imepata kocha Mpya kutoka ufaransa mwenye asili ya Kongo DRC. Kwakuwa huyu kocha...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habar wandug, naomba msaada kwa mwenye wimbo wa O-ten ft Hard Mad-Voice mail anitumie mana nimeutafuta sana mtandaon cjaupata. najua JF ndio kila kitu Sent from my HUAWEI Y625-U32 using...
2 Reactions
15 Replies
6K Views
habari za leo , filamu ya leo inahadithia maisha ya mama anaeteseka sana, anavyo kutana na familia yenye uwezo yakumsaidia anagundua na ku fufunua siri kubwa ya hio familia.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Huu muziki umekuja kwa kasi sana na kujizolea umaarufu Mkubwa kwenye media na baadhi ya wadau haswa vijana lakini huu mziki naliona kaburi lake 2018 kwa sababu zifuatazo 1. Wadau wakubwa wa muziki...
2 Reactions
20 Replies
6K Views
Inapatikana U-tube(youtube) ====
1 Reactions
0 Replies
605 Views
Moja ya album bora kabisa za Hip Hop mbaka sasa kwa mwaka 2018. Production on point & carefully structured. Cole na flow ya hatari ndani ya mzigo huu mpya huku akiwa Na maudhui ya hatari ikiwa...
1 Reactions
1 Replies
858 Views
Muziki wa Bongofleva tangu uanze miaka ya 90 mwishoni umefanikiwa kuibua majina mengi makubwa, lakini tofauti na ilivyo sasa kipindi huu muziki unaanza ilikuwa ili utoboe ni lazima uwe na album...
4 Reactions
74 Replies
12K Views
Back
Top Bottom