SOURCE GLOBAL PUBLISHER
Uchunguzi wa Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita kwa kuhusisha vyanzo mbalimbali, wakiwemo wasanii wa Ze Comedy, umebaini vipengele kadhaa ambavyo kiuhalisia na...
Chuo kikuu cha Bath nchini Uingereza, kimeanzisha shahada ya mazishi.
Wahitimu watakuwa na ujuzi na utaalam wa mambo yote yanayohusu kushughulikia mwili wa marehemu mpaka unapopumzishwa...
Members hasa kwenye masuala ya Enternteinment nina swali?
Hivi Bakari Kitwana aliyeandika "Why white Kids Love Hip Hop" ni wa kwetu?
Kama kuna mwenye details zake animwagie
nini mnahangaika na watoto wadogo wasio na pesa..TARIQ NASHEED anatupatia strategy ya kupata wanawake wenye pesa
sikiliza hapa:
http://video.aol.com/video-detail/sp...show/640184532...
Vipi wadau mnaionaje kazi ya wasanii wetu wa kizazi kipya? Naye ni mbana sauti?
Bamiza hapa chini kupata uhondo huo na tujadiliane...
Anita - Matonya ft JD
Nyingine hizi hapa:
Habari ndo hiyo...
Bongo Flava musician Khalid Salum Mohamed popularly known as TID absconded the desert city of Dubai, UAE unceremoniously leaving an outstanding bill of AED 890 at the hotel where he had been...
Katika uzi huu mang’amuzi ya kisayansi yametumiwa kutilia shaka maudhui yanayoonekana kwa juu juu katika andiko la ikulu la kutofurahishwa na mjadala wa kuongeza muda wa urais. Badala yake, uzi...
Nimeona orodha mbalimbali ya watu wakiorodhesha idadi ya vitabu walivyosoma mwaka jana. Katika wote walioandika orodha zao mwandishi Fadhy Mtanga anaongoza kwa kusoma vitabu 107 kwa mwaka jana...
Wale wahenga katika mziki wa Bolingo.... nadhani mtakumbuka enzi zile wazaire walivyoweza kuteka soko la mziki kanda ya nchi za Africa Mashariki,.. Kama vile wanamziki, Koffi, Madilu, Wenge BCBG...
Jay Z na Beyonce wameamua kumuandalia zawadi ya kifahari maalumu kwa ajili ya mtoto wa Kanye West na Kim Kardashian ambaye anasiku 2 toka azaliwe. Beyonce na Jay Z wametoa oda maalumu kwenye...
Rapa wa miondoko ya HipHop nchini MarekaniThe Game amepata pigo baada ya kufiwa na baba yake mzazi aliyefahamika kama George Taylor. George Taylor amefariki akiwa na umri wa miaka 65.
Kutoka na...
Nay wa Mitego anauanza mwaka 2018 kwa kupitia mtihani huu mkubwa sana kwake akiwa kama msanii. Hii ni baada ya wadukuzi kuweza kuichukua akaunti yake ya #YouTube na kufuta video zake zote ambazo...
Husika kichwa cha habari kwa wazee wa movie na series.
Luna site ambazo inaitwa fmovies.net nilikuwa naitumia kudownload movie na series naona sasa haifanyi kazi now. Naomba msaada wa site...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.