Nichukue fursa hii kumpongeza waziri ummy kwa uzalendo ulotukuka.huyu mama nimempenda bure,viongozi wote wangekua hivi naamin timu nyingi zingefanya vizuri.nichukue nafasi hii nimtake waziri wa...
RIWAYA YA KIPELELEZI: ANGAMIZO
MWANDISHI: HALFANI SUDY
SIMU 0674 395733
WHATSAPP 0757 633010
SEHEMU YA KUMI NA TANO
Hakuwa mvutaji hata wa sigara. Lakini hakuruhusu hata kukohoa. Alijua kukohoa...
Kwangu mimi naanza na bob Marley huwa namuelewa sana
Song called
"Is This Love"
I wanna love you and treat you right
I wanna love you every day and every night
We'll be together with a roof...
Tangu mwaka uanze sijapata nafasi yakuweza kutulia na kufanya mambo nayopenda pale napopata mda au nafasi hasa siku kama hii.
Leo hiyo nafasi nimepata na sasa nipo na chagua nyimbo za kusikiliza...
Mwenye nyimbo aliyoshirikishwa juma nature jina nimelisahau ila nakumbuka chorus
'Tutoe adhabu gani juu ya hawa wanaoturoga*2,
Kuwa wanaoturoga tunaamini ni shetani,
Mwanga anaetutupia majini ni...
Wakuu habari...!!kama kawaida wale wapenzi wa series movies hi series ya Vikings tuliokuwa tunaifatilia kuanzia season 1 mpaka sasa kufika season 5 imefikia pazuri sana now ipo epsode ya 8 aisee...
Hi great thinkers! Someone whispered me that Calvin got luck to talk to Donald Trump.
Calvin: Excuse me where is the lobby?
Trump: Down the hall to the left.
Calvin: Thanks.
I"m not good in...
KOMBORA KIOTANI-34
Kiota cha mapenzi kati ya Dedani na mkewe kilichukuliwa kwa muda kidogo na utamu pamoja na hisia kochokocho zenye fukuto la mahaba kwa muda kidogo hakuna aliyeona sababu...
1. Steve James
Huyu jamaa aliwakilisha vyema kwenye muvi nyingi za mapigano na vita. Mojawapo ni muvi ya American Ninja akiigiza na mastaa wengine kama David Bradley pamoja na Michael Dudikorf...
Siku hizi nashindwa kulala kisa season yaani nakesha usiku kucha naangalia series tuuuuu.
sio kama zamani wakati soko la bongo movie lilivyo tamba.
hivi tatizo ni nini au na wewe upo hivyo?
Kutoka mwaka 2010 hadi 2012 kulitokea harakati iliyoasisiwa na Mh Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu. Harakati hii ilisadikiwa ilitokana na uhasama binafsi wa sugu vs clouds, dhana ya pili ni kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.