Naomba kufaam huyu mtu mwenye ngozi mithili ya minofu raini ya samaki,nazionaga tu picha zao hawa watu wa dizaini hii wapo kweli ama ndo picha za kubuni za hawa wazungu?,ama kuna jambo lililo...
Sina u team kwenye mafanikio ya mtu na wala hayanisaidii. Lakini mtu anapofanya jambi jema na la kupongezwa inabidi apongezwe. Amekuwa msanii ambaye amelata mageuzi makubwa katik tasnia ya sanaa...
1.The jets_make it real
2.Lionel Richie_I call it love
3.roxette_it must have been love
4.roxette_listen to your heart
5.Cindy luper_time after time
6.air supply_making out of love
7.the...
Habarini ndugu zangu, napenda kujua hasa ni kipi cha kufanya au ni taratibu zipi ama njia salama za kupitia kabla ya kufanya video cover ya nyimbo ya msanii yeyote yule hapa Tanzania?
Mwenye...
Jaman wana jf anaejua ile movie ya nigeria inayorushwa itv kila jpili usiku kuanzia saa tatu na nusu usiku inaitwaje naombeni anambie. Aniambie na website ya kuipata. Movie yenyewe ipo ivi jamaa...
Habarini wana Jf,
Majuzi tcra walitangaza kuwa makampuni yote ya ving'amuzi tz yanatakiwa yasizilipishe zile 5 local channels..
Sasa leo decorder yangu imekaza vyuma...,nikajaribu kupekua local...
Salama ndugu humu!?
Kiukweli naupenda wimbo Wa Hussein Jumbe uitwao "Siri" lakini kijana Rayvan Wa WCB ameufanyia marudio kwa maboresho ya kisasa na nimejikuta nikiupenda zaidi kuliko ule Wa...
Wanajamvi, Kuna wakati unaangalia movie kuanzia mwanzo lakini huielewi, unajaribu kuendelea kuitazama kwa matumaini kuwa utaielewa lakini hadi inaisha unajikuta hujaielewa,
Tupia hapa jina la...
Nisiwachoshe kwa maneno, ila nilikua sifwatilii sana mziki wa bongo baada ya kuona hamna jipya, leo katika pita pita mitandaoni nikakutana na huu wimbo... wa ben pol unaitwa bado kidogo...
Daaah...enzi hizo ilikuwa ukiwa na BMX basi mwenyewe unatamba kweli. Mimi nilikuwa wa kwanza kuwa na BMX mtaani..pengine hata bongo nzima. Halafu ilikuwa haina breki za kawaida...breki zake...
Ni week ya kwanza na mwezi wa kwanza wa mwaka. Tarehe mbili Mr Filajim yupo ofisini kwake hajui aanze na nini. Bado ana uchovu na kwa mbali anasikia maumivu ya kichwa. Wengi wapo likizo isipokuwa...
:(o_O:rolleyes::oops::eek::D:mad:
Raha ya nyumba mwanaume Wacha nikutunze Nyumba yetu tuipambee Hapo nyuma tulishindiaga mabwende, karanga na makande Ugali dona sembe Usinune kwa maneno ya...
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu
Tulianza safar vyema sana wakati wa kwenda na tulifika salama sana huko mascat oman bila shida
Nilikuwa mimi...
Kama uzi unavyo sema binafsi napenda sana kusikiliza muziki aina ya trap kama pia ww ni mpenzi wa trap music ucpite bila kuacha jina la msanii wa trap unaye mkubali kwa mm nitamtaja famous dex...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.