Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
habari wakuu, mwenye kujua group lolote la miziki ya tanzania ile ya kale yani zilipendwa naomba anifate inbox, ninataka kujiunga au atoe link
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Nimetembelea Arusha, Mbeya, Manyara, Dodoma, hivi karibuni nikashangaa tofauti na inavyopigwa kwenye TV na radio stations, wimbo wa "Zilipendwa" umebamba! Nakumbuka ulivyopigwa vita na kituo...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Kwema wadau jf, Kama nlvyo andka hapo juu naitaji msaada kwa hilo, Kuna filam ameicheza visent kigosi siijui inaitweje naitafuta kwa kubahatsha rakin siipati, ila ndan ya filam hio kunajamaa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
wadau Nina mda mrefu sijasikia stori yoyote kuhusu hii big brother afrika??itaanza lini??mbona kimya sana??
0 Reactions
0 Replies
666 Views
Si lazima u comment, unaweza pita tuu, ili utuache wengine tulale.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nikifungua link ya kudownload series za kikorea ya dramafire inanigomea kabisaaa Kuna app nyingi sana lakin naomba mnisaidie App nzuri kama ipo ambayo itakuwa inanijulisha kuna series mpya au...
1 Reactions
4 Replies
785 Views
Sasa wadau kila nikisema wanawake wengine wavaaga kishetani/kimalaya mnakataaga.kuna wanawake ninao kwenye list yangu ni wanavaaga kihuni sana.mimi niwaonye tu hadharani waache utovu wa maadili na...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari mwana jamvi, Katika ulimwengu wa entertainment Usiku wa kuamkia leo kulikuwa na utolewaji wa tuzo za Golden Globe Awards mwaka huu wa 2018. Kwa kweli naomba niongelee jambo kubwa ambalo...
5 Reactions
1 Replies
3K Views
Last month, there are many new faces appeared in our Monthly Top 10 covers chart such as Nana+, Surasree Chakraborty, Felicityy as well as manna_melody. They are all good singers and their...
0 Reactions
0 Replies
427 Views
Nimpenzi wa 360 nasikitika tangu juzi (Jumapili) Mnasuasua Sana.Kibaya zaidi nyie mmekazana kurusha vipindi !! Kama mitambo inasumbua sitisha matangazo maliza tatizo.
0 Reactions
2 Replies
771 Views
Habari zenu wakuu ..??ok leo nilikuwa nataka tuzungumzie hii true story ya hii series movie hiitwayo VIKINGS najua mnajua kama hii ilikuwa ni true story. Ambayo ilitokea kwnye huu ulimwengu wetu...
2 Reactions
37 Replies
6K Views
Habarini wanajamii forums kwa wale ambao wako nje ya Tanzania au nje ya dar es salaam wangependa kusikiliza radio online dunia nzima solution ni bongo radios Bongo Radios – Applications Android...
1 Reactions
0 Replies
523 Views
Jamaa anakipaji sana. Sifa ya wanamuziki wakongwe wa mbele huwa hawaachi loyal fans wao kwa kuanza kushindana na madogo katika industry ya muziki, wanakomaa na vionjo vya asili na kufanya muziki...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Hello floks.naandika Uzi huu nikiwa na hasira sana juu ya kuporomoka kwa maadili hapa Tz.wasanii kama diamond,alikiba,wenye mambo ya kihuni huni kama wema sepetu,gigy,na mavideo vixing wengine ni...
5 Reactions
99 Replies
9K Views
tupieni na zingine wadau
1 Reactions
21 Replies
13K Views
Kwa Yeyote anaejua Game ya mpira ya kucheza kwenye naomba aniambie
0 Reactions
4 Replies
795 Views
Wana JF mie nipo mbari saaaaaaaaaana na vituo vya burudani sehemu nilipo labda mzizimkavu ndio anaweza fika maana yeye hutafuta mizizi ya tiba mbadala. Naomba mwenye link iwe youtube, daliymotion...
0 Reactions
14 Replies
14K Views
jamani kuna nyimbo za wasanii kutoka congo nazipenda sana,,fally ipupa-associe na fere gola-100 kilo sasa nahitaji nipate nyimbo nyingine zenye midundo kama ya hizo hapo (midundo ya kutulia) kwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hellow member... Najua mpo wataalamu na wapenzi wa hizi beats za zamani kidogo, je naweza kupata wapi albamu zao za audio niweze kuwa download hata kama ni kwa kulipia kama wanavyofanya...
5 Reactions
28 Replies
3K Views
Wadau nashida na movie sana nimejaribu kuwatafuta hawa jamaa wanaoingiza nyimbo bila mafanikio yani hawapo nowadays nasikia wanasakwa kama watu wa dawa za kulevya wamepotea kabisa kwa sababu...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Back
Top Bottom