Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Habari wakuu , watumishi tulioajiriwa huwa tunatamani sana kujishughulisha ili mradi kipato kiongezeke lakini kwa ujumla huwa tunaface Changamoto zifuatazo zinazopelekea kushindwa :- 1. Tuna...
3 Reactions
9 Replies
319 Views
Hawa watu huwa wa kusukumwa sana ili wakupe huduma ambazo ni wajibu wao kuzitoa, ni nadra sana kupata Hotel, mgahawa au Bar bongo ambapo wahudumu wake sio wa kususuasua na wako on point muda...
12 Reactions
39 Replies
1K Views
Leo asubuhi nikiwa njiani nimeona ajali Moja eneo la ilula na nikiwa nimetulia napitia mitandao nimekutana na picha za ajali Ile. Ukiangalia Ile ajali Ile fuso ilikuwa imeharibika , na jamaa wa...
3 Reactions
7 Replies
480 Views
Nawasalimia wapendwa kwa salamu ya kikombati. Moja kwa moja kwenye mada kama ilivyo kwenye kichwa cha habari Juzi nilipita Mbagala na usafiri wangu wa asili (sina gari,boda wala baiskeli)...
2 Reactions
7 Replies
377 Views
Inaelezwa kuwa mahali pa kazi Chuki imechukua nafasi kubwa kuliko uwajibikaji wenyewe. Hali hiyo imeleta msongo wa mawazo kwa baadhi ya watumishi. Pili inadunisha ufanisi wa kazi. Tatu watu...
9 Reactions
28 Replies
884 Views
Jeshi la Polisi mkoani Pwani linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kurekodi na kusambaza taarifa za uongo kwenye mitandao ya kijamii kuhusu gari aina ya Toyota Noah inayotumika kuwateka watoto...
2 Reactions
10 Replies
623 Views
Hata hivyo yawezekana kule wa Mataifa Masikini kabla ya Safari zao kuanza kulifanyika Matambiko makubwa sana tu.
4 Reactions
0 Replies
183 Views
ukweli ni kwamba watu wengi ukosefu wa ajira unaokumba vijana wengi unasababisha maovu kuongezeka ikiwamo,Wizi na mauaji. Vijana wengi wamechomwa moto, wengine wako Mahabusu, wengine Gerezani kisa...
2 Reactions
3 Replies
171 Views
Watu wengi wamejikita kwenye mambo yao bila kumshirikisha Mungu kikamilifu kwa kusoma neno lake kikamilifu hata wakristo wanaoshinda kanisani wengi siku hizi hawasomi neno zaidi ya kutafuta...
14 Reactions
9 Replies
809 Views
Siku ya kwanza tuu Sgr imeasafirisha Abiria zaidi ya 900 kutoka Dar-Moro-Dom ambapo hapo ingekuwa ni zaidi ya Mabasi 15. Baada ya kuona hivyo Kampuni ya Mabasi ya Abood wameamua kujiongeza na...
28 Reactions
146 Replies
8K Views
Kuna jamaa yangu mmoja anapanga kuwafungulia mashtaka benki moja maarufu nchini kwa kufanya yafuatayo 1.Kutoa taarifa zake kwa mtu binafsi, ikiwapo benk statement, kuonesha kiasi alichonacho...
8 Reactions
21 Replies
3K Views
Tuna Mzee wetu hapa tunamuuguza kwa muda mrefu miaka mitatu sasa tunampambania nae alipata tatizo kuparalalaizi mpaka sana yupo ICU hali yake sio nzuri miguu yake imeanza kuoza Imenibidi kuandika...
32 Reactions
287 Replies
12K Views
Habari wana jukwaa.Leo nimeamua kulipanda jukwaa kwa kueleza na kukumbusha mengi wakati radio zikiwa zinavuma sana na nafahamu wengi tulikuwa wasikilizaji wazuri sana wa vipindi mbalimbali vya...
0 Reactions
55 Replies
7K Views
Habari wanaJF, naamini ni wazima Nimefanikiwa kufungua online radio ambayo ni tzgospel japo sina studio wala sijafanikiwa kusajili lakini kituo kimekuwa na wasikilizaji wengi wanaosikiliza...
48 Reactions
213 Replies
15K Views
Kuna tatizo la ubonge linainyemelea nchi. Hasa kwa watu wa kipato cha kati. Kiufupi ubonge unatokea pale ambapo unakula chakula chenye nguvu nyingi kuliko unazohitaji. Matokeo yake chakula hicho...
10 Reactions
32 Replies
2K Views
Kimsingi sikuona sababu za hifadhi ile kuitwa CHATO, Ukiangalia kwa umakini vitu vilivyosababisha ile hifadhi kupandishwa hadhi havipatikani Chato Tunaijua Chato kama sehem ya kagera kabla ya...
10 Reactions
79 Replies
10K Views
Nijibuni haraka kwani kwa jinsi ilivyo, ilivyojengwa kwa haraka kuanzia tarehe 21 Machi, 2021 na inavyojaza Watu sasa na Huduma zake na Mimi GENTAMYCINE natamani kwenda, ila ili niende nikiwa na...
13 Reactions
54 Replies
7K Views
Trump akimaliza hivi licha ya Wapinzani wake kumwandama anaweza kuwa Rais bora wa hivi karibuni akifuatiwa na Bill Clinton, Ndani ya uongozi wa Trump 1.Wamarekani wamepata ajira zilizokuwa...
3 Reactions
33 Replies
3K Views
Watoto wawili wa familia moja wamepotea katika mazingira ya kutatanisha mkoani Arusha, baada ya kuaga wanakwenda shule jana Julai 24, 2024, lakini hawakurudi nyumbani na mpaka leo hawajaonekana...
9 Reactions
73 Replies
3K Views
Kwa msaada wa wawatumiaji wa App ya Jamii forum isiyo support picha kama mimi, hiyo hapo chini ni picha ya mti wa karanga zinamea juu ya matawi ya mti Juu kama Maembe, au korosho. Je, ni kwel hii...
9 Reactions
53 Replies
2K Views
Back
Top Bottom