Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Habari wakuu? Natumai mu wazima wa afya. Nataraji kufanya safari ya kwenda Ruangwa. Lindi. Je kutokea Dar es salaam kuna basi la moja kwa moja? Ahsante sana
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Mtu yeyote ambaye amekua katika maeneo ya vijijini hata mjini kwa kiasi kidogo anaweza kuelezea uzuri wa malezi ya bibi. Bibi ni mtu mwenye huruma sana hata mzazi akitaka kukuadhibu ukikimbilia...
2 Reactions
7 Replies
260 Views
Kama kuna ruti ina mabasi mapya na kila siku ni Arusha - Dar Makampuni ya usafirishaji ni mengi mpaka yale makongwe yanapitwa sasa. Kuanzia Tilisho, Esther Luxury, Extra Luxury, Jader Luxury...
1 Reactions
4 Replies
417 Views
Habari, Nimejikuta nimekopa Elfu 10 branch na Elfu 10 Umojakopa. Sasa sijui ntawalipaje na nisipolipa watanifanyaje?
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Miaka ya tisini nilikuwa nasikia sana stori za uchunaji ngozi maeneo mbalimbali ya nchi, stori zenyewe zilikuwa za kutisha sana kwamba watu wanamkamata mtu hasa watoto wadogo wanawachoma sindano...
4 Reactions
50 Replies
1K Views
Na Chedaiwe Msuya, WF, Mtwara Vikundi vya Huduma ndogo za fedha pamoja na Wafanyabiashara mbalimbali kutoka Manispaa ya Mtwara-Mikindani, wameshiriki katika mafunzo ya utunzaji fedha...
0 Reactions
1 Replies
326 Views
Jf salaam🙏 Ni muda sasa tangu aanze kuonekana huyu nyoka hatari koboko na inasemekana wapo wawili. Taarifa zilianza kunifikia kutoka Kwa wazee wangu maana huo msitu ukweli sio wangu ni wa mzee...
33 Reactions
304 Replies
17K Views
Umepanga kutembelea nchi ngapi katika kipindi cha miaka 5 ijayo? Binafsi, ninapenda sana kusafiri, lakini kwa sababu ya kiwango cha kipato, bado sijazimaliza hata nchi za Afrika Mashariki. Mpaka...
10 Reactions
150 Replies
5K Views
Wakuu, Bila shaka humu Jukwaani wengi wetu tumewahi kuishi nchi mbalimbali barani Afrika na nje ya Afrika pia. Binafsi Sijawahi kutoka nje ya Afrika na nimekuwa na shahuku kubwa ya kujua kuhusu...
42 Reactions
455 Replies
74K Views
NANYAMBA YA FIKIWA NA ELIMU YA FEDHA Na Chedaiwe Msuya, WF, Mtwara Katika mji wa Mtwara, ambao unajulikana kwa shughuli za uvuvi na rasilimali za gesi asilia, serikali iliamua kutoa mafunzo ya...
0 Reactions
0 Replies
183 Views
Gaweni kikanda Tanzania bara ni pakubwa sana, mnategemea mtu kutoka Kagera aje Dar kwenye usaili? Mtu kutoka Mbeya huko aje Dar kwenye usaili? Tumieni hekima na busara gaweni kikanda wekeni usawa...
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Kuna story zinazagaa zagaa juu ya watu kukamatwa wakiwa kwenye harakati za kutekwa watoto, kuna video moja hapa nimeoiona jamaa wamempiga motocwa petroli, ila nasikia wengine walipelekwa polisi...
3 Reactions
7 Replies
355 Views
Hukumu iliyotakiwa kusomwa leo Julai 26, 2024 katika kesi ya jaribio la kuchoma soko la wafanyabiashara la Karume, Kesi Namba 313 ya Mwaka 2023 inayomkabili Christina Elisha na mwenzake Mashauri...
2 Reactions
2 Replies
461 Views
Hakika tumeweza kushuhudia kazi za wauguzi kwa mgonjwa ni za kipekee sana nikafikiria mfano wauguzi wakaaamua kugoma nn kinaweza kikatokea kwa wagonjwa? Je maisha ya wagonjwa yatakuwa hatarini...
0 Reactions
2 Replies
191 Views
Hivi siku hizi ni kwamba utaratibu wa masomo ya wanafunzi wa primary hasa wa la 7? Kwa sababu asubuhi mida ya saa kumi na moja unawakuta wako barabarani wanasubiri usafiri na jioni hadi mida ya...
4 Reactions
23 Replies
1K Views
Wazazi, mnashirikiana na shule kuwatesa watoto. Vitoto vyenyewe bado vidogo, miaka 11-13, vinaamshwa saa 10 au 11 alfajiri kuwahi shule. Wanawahi nini exactly? Na bado watakaa shule mpaka saa 12...
50 Reactions
174 Replies
6K Views
It's fine tumeamua kuachana na mijadala inayohusu mstakabali wa maisha yetu tumajikiti kwenye starehe. Vyombo vya habari vimeacha kufanya utafiti na kuja na mada zakuisaidia serikali kufanya...
4 Reactions
10 Replies
713 Views
Juzi mishahara ya Watumishi wa Umma ilitoka ikiwa haina nyongeza hata chembe. Je, ina maana mwaka huu pia hakuna pekeji' mbona kazi!?
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Wale jamaa navyowajua kwa kupiga msosi wanaweza kwenda zaidi ya mara kumi na kusababisha mgahawa ufungwe kwa ajili ya hasara.
6 Reactions
5 Replies
270 Views
Back
Top Bottom