Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Shirika la Afya Ulimwenguni WHO limeonya kuwa zaidi ya watu 3,500 hufariki kutokana na virusi vya homa ya ini kila siku na kuongeza idadi ya wanaoathirika duniani. Kulingana na ripoti ya WHO...
2 Reactions
4 Replies
367 Views
Itakumbukwa ni mwezi tu umepita bajet ya wizara ya ardhi chini ya Jery Silaa imepitishwa na baada kupitia jamaa a alianza na gia kali ya kuzunguka nch nzima kurudisha ardh iliyo ibiwa na matapeli...
1 Reactions
9 Replies
468 Views
Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk 21.07.2024 alijiuzulu ubunge wa kuteuliwa na Rais, akiwa Naibu Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Jumapili, 21.07.2024 usiku, Balozi Mahmoud...
1 Reactions
4 Replies
672 Views
Tanzania Airports Authority Katika mitandao ya kijamii kunasambaa taarifa katika picha mjongeo kuhusu kukosekana kwa huduma yam aji katika maliwato iliyochapishwa tarehe 24 Julai, 2024 na abiria...
2 Reactions
7 Replies
439 Views
Anonymous (529d)
Mfano wa hivi karibuni Tanesco walijiamulia tu kupandisha makato ya kila mwezi kutoka 1500 mpkaka 2000 Bila kushirikisha wananchi. Leo jambo kama lile lile linarudiwa na Azam tv kwa kutangaza...
1 Reactions
6 Replies
334 Views
Habari yako ndugu msomaji. Ama baada ya salamu na kumshukuru mungu naomba nianze kwa kusema kwamba MIMI NAAMINI MATATIZO YA KURITHI YANATIBIKA(hii ni imani yangu) Baada ya kusema hivi naomba...
11 Reactions
96 Replies
11K Views
Serial killers ni watu wanaofanya mauaji ya zaidi ya mtu mmoja kwa minajili ya kujipatia furaha tu, mauaji yao mara nyingi huwa yanalenga kundi fulani la watu mfano wanawake, watoto, watu wa rangi...
1 Reactions
8 Replies
497 Views
Anasema: 1. Vyoo vya mwendokasi vimejengwa mbali sana kutoka kituo kimoja hadi kingine 2. Uwanja wa ndege wa Dar Es Salaam usitegemee maji ya Dawasa pekee Unauonaje ushauri wake?
2 Reactions
7 Replies
453 Views
Anonymous (d992)
Naomba utusaidie nikiwakilisha watanzania wengi wanaopata changamoto kama mimi juu ya huduma zinazotolewa na Mamlaka ya Usajili wa Vizazi na Vifo (RITA). Mimi nimeomba uhakiki wa cheti cha mtoto...
0 Reactions
1 Replies
331 Views
Katika wiki za hivi karibuni China imefanya jambo kubwa la kidiplomasia kwa kuyawezesha makundi 14 ya kisiasa ya Palestina, kukaa kwenye meza ya duara na kujadili mustakbali wa uwakilishi wa watu...
0 Reactions
0 Replies
164 Views
Tunakwama wapi kuweka tram toka kibaha hadi posta, toka posta hadi gongo la mboto, toka posta hadi bunju n.k?
5 Reactions
27 Replies
871 Views
Epuka kubonyeza 'link' za matangazo ya Zawadi uwapokuwa unapokuwa kwenye tovuti mbalimbali kwani ni njia inayotumika na Wadukuaji kupata taarifa zako binafsi kwa ajili ya utapeli. Ikiwa umegusa...
0 Reactions
1 Replies
607 Views
Nina rafiki yangu flani ivi ni mwanang kinoma, yaan ni wale marafiki since day one. Mwezi wa tano May, kuna jambo alinifanyia nilichukia sana na sikutegemea kutoka kwake kwasababu ni mwanang sana...
11 Reactions
38 Replies
2K Views
1)Nigeria watu wa Nigeria ni wapambanaji saana 2)Warundi na RCA ( republic centre african) hawa watu hawajiamini kabisa Cameroon most of people's kutoka Cameroon ni watu wenye kiburi saana watu...
5 Reactions
26 Replies
1K Views
Wadau hamjamboni nyote? Sikia kauli ya kishujaa ya Mama Monica Masanja mkewe mchungaji Masanja "Kusamehe ni lazima ndugu zangu, ili roho mtakatifu aweze kukaa ndani yako na kufanya kazi na wewe...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari humu! Nimeambiwa miongozo ya kupata UTAJIRI wa giza ni hii ifuatayo 1.Si kila mganga ana uwezo wa kutoa utajiri 2. Kuna mitihani na masharti kabla ya kupewa utajiri. Kila mtu ana...
9 Reactions
69 Replies
8K Views
Kipindi fulani, nilifuatwa na kijana mmoja aliyekuwa akiishi jirani na nilikokuwa nikifanyia kazi, na kuniomba nimsadie kumtafutia nafasi ya kujifunza masuala ya ufundi kwenye kampuni fulani...
0 Reactions
3 Replies
509 Views
Nyumbani kwake pana magorofa na majengo yamepangiliwa vizuri ila majirani zake wana nyumba za tope na nyasi. Hii kitaalam imekaaje? Au ndio kukaa karibu na mahakama sio kujua sheria?
30 Reactions
76 Replies
5K Views
Huu mkoa haukui upo, upo tu!!! Vyuo vinasaidia sana mji kukua, Wilaya ya Songea imepoa mji uko vilevile miaka nenda rudi! Of course kuna vyuo,lakini kwa upande wangu naona havisikiki kabisa kuna...
0 Reactions
5 Replies
465 Views
Hakuna binadamu atakayeweza kusikiliza makelele ya mwalimu kwa zaidi ya masaa 8 .. Huku ni kuchosha akili za watoto na kuwafanya waone shule ni utumwa.. Kwasasa wanafunzi hawapati hata muda wa...
7 Reactions
20 Replies
760 Views
Back
Top Bottom