Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Habari wana TANZANIA TUITAKAYO. Utangulizi. Ninayofuraha kupata wasaa huu kuandaa andiko langu linalohusiana na mazingira. Neno mazingira limefafanuliwa katika mawanda mapana lakini ngoja...
0 Reactions
0 Replies
315 Views
Utekaji ni kitendo cha uwezo mkubwa maana kinatumika na silahaa za moto ili kukabiliana na endapo kutatokea ubishani kati ya muhusika au wananchi kwenye tukio. Ila cha kushangaza watekaji waliopo...
0 Reactions
2 Replies
503 Views
MBUNGE NANCY NYALUSI ASISITIZA WAZAZI KUONGEZA UMAKINI WA MALEZI YA WATOTO WAO "Tunalala nao, tunakula nao, tunaenda nao shambani; sasa hivi kuna baadhi ya watu roho ya utu hawana tena. Mtu...
1 Reactions
0 Replies
235 Views
Mimi nikiri tu meno yangu yalioza kipindi nikiwa na miaka 12 na no kwasababu nilitafuna sana pipi kidonge japo mpaka sasa natafunia pande zote na sijatoa jino hats moja japo niliendaga hospital...
0 Reactions
1 Replies
247 Views
Wakati mnaanzisha combination zenu zisizoeleweka, tuliwauliza mmejiandaa? Mlipounda tahsusi kama vile Arabic, Music & Sports (ArMS) tuliwauliza serikali imeandaa walimu wa Arabic, walimu wa Music...
1 Reactions
6 Replies
449 Views
Wakuu naomba mniambie logde nzuri safi hapo Dodoma mjini kati.bajeti 30k.
2 Reactions
44 Replies
6K Views
Imekuwa ni kawaida kabisa uwajibikaji Umekuwa ukifanyika vizuri zaidi pale kitu kinapotokea. Na mara nyingine taratibu mbali mbali zinaanzishwa ili kuhakikisha tatizo halijirudii tena. Lakini...
2 Reactions
3 Replies
158 Views
Nguza Viking na wanae Mahakama hii imetoa hukumu leo hii ambapo Nguza na mwanae wamepewa siku 30 kuwasilisha maombi ya kutaka walipwe fidia na serikali iwapo watataka kufanya hivyo baada ya...
1 Reactions
62 Replies
12K Views
Waganga wa tiba asili wakiongea na viongozi wa serikali leo mjini Sumbawanga wamesema kuwa wachungaji na manabii wa makanisa mengi ni matapeli. Katika mkutano ulliowakutanisha viongozi wa...
5 Reactions
18 Replies
927 Views
Mke: Unaenda wapi? Mume: Tazama mchezo kwenye baa. Mke: Kwa nini usitazame pamoja nami? Mume: Nataka kutazama na marafiki zangu. Mke: Kwa hivyo sina chochote kwako? Mume: SAWA SAWA. Ninakaa...
10 Reactions
17 Replies
542 Views
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) ilitoa fursa kwa wahitimu wa kidato cha nne wa mwaka 2023 kubadilisha machaguo yao ya masomo wanayotarajia kusoma wanapoendelea na...
1 Reactions
1 Replies
406 Views
Anonymous (f78c)
Habari, Mabanda ya kuchezesha video games kwa watoto yamezidi. Upi mpango wa Serikali kunusuru hiki kizazi?
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Kuna kipindi kulitokea janga la uchunaji wa ngozi za binadamu. Likaja janga la kutolewa viungo vya mwili kwa ndungu zetu wenye albinism. Sasa ni kuna taharuki kuhusu uibaji wa watoto. Ingawa...
0 Reactions
0 Replies
186 Views
Pia soma - Namanga: Mawakala wa forodha pamoja na Wasafirishaji Wagoma
1 Reactions
2 Replies
218 Views
Kwa kweli hawa jamaa in just short time unapata meseji ya "umetumia 75% ya bundle lako." Tsh 2500 au Tsh 3000 ndio options za bundle za wiki jumuishi ya data na dakika. Tsh 3000 unapata gb 1.4...
6 Reactions
32 Replies
592 Views
Nimekata tiketi ya bus ( Classic coach) siku tatu kabla ya safari kutoka Moro kwenda Mbeya. Tiketi inasema safari ni saa 12 asubuhi ila muda wa kuwasiri ni saa 11:30 asubuhi. Nimewasiri saa 11: 30...
2 Reactions
8 Replies
372 Views
Eheeee. Habari nmeamua tu kukudokeza Uumbaji wa Mungu ni waajabu sana Mungu ametupa joto ambalo huwa linapungua na kuongezeka kulingana na mahali na vitu tunavyofanya. Shetani katika kutimiza...
1 Reactions
3 Replies
229 Views
The borders are are porous all over na ndo mana vitu fake vimejaa mtaani. Inaeleweka wazi kazi ya jeshi ni kulinda mipaka lakini tanzani mipaka iko wazi sana. Ni ama kuna rushwa au jeshi...
3 Reactions
28 Replies
618 Views
Sijawahi kuipenda CCM tangu uchaguzi wa kwanza wa mfumo wa vyama vingi wa mwaka 1995 kipindi hicho nakumbuka nilikuwa darasa la tano. Lakini nilikuwa navutiwa na utendaji wa baadhi ya viongozi wa...
7 Reactions
41 Replies
1K Views
1. Waziri 2. IGP 3. DG wa Teeth 4. Sa100 mwenyewe 5......n.k hivi kweli wameshindwa kukamata mzizi wa hiki kitu hadi wananchi wachukue sheria mkononi? samia ameona yule mzanzibari mwenzie mambo...
3 Reactions
10 Replies
459 Views
Back
Top Bottom