Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Habari wakuu, Siku ya leo 24/07/2024 majira ya asubuhi nimeumia sana kwa tukio ambalo limenitokea. Hii ni baada ya kumaliza kujiandaa na kutoka nyumbani nikielekea kwenye harakati za mtu mweusi...
20 Reactions
92 Replies
2K Views
Kasi ya watalii kuichagua Serengeti inazidi kuongezeka huku Masaai Mara ikizidi kupoteza. Watalii hawa ambao wana hamu kubwa kwenda kushuhudia uhamaji mkubwa kabisa wa Nyumbu wanazidi kuichagua...
3 Reactions
13 Replies
721 Views
Jaribu kufikiria unafanya malipo kwa hela nzuri na safi afu unaturudishiwa chenji kama hii. Kwa Mgeni kutoka mataifa mengine anaweza kuona umemdharau kwa kumpa uchafu yaani Takataka 🚮
12 Reactions
56 Replies
2K Views
Watanzania tusipumbazwe na utetezi wa polisi kuhusu utekaji, upo! Ni hivi wizi wa watoto umekuwepo kutoka zama za kale. Wizi wa watoto hufanywa na wanawake ambao hawajabahatika kupata watoto kwa...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
MAREKANI - Mkurugenzi wa Huduma ya Usalama wa Taifa nchini Marekani, Kimberly Cheatle ameomba kujiuzulu huku kukiwa na utata wa hitilafu za kiusalama kuhusiana na jaribio la hivi karibuni la...
2 Reactions
12 Replies
691 Views
Imekua ni kawaida kwa baadhi ya watu kufurahi pindi wanapoona mtu flani kaanguka iwe ni mtu mashuhuri au mtu wa kawaida ambae hana ushawishi wowote katika jamii, lakini pia kuna watu huwa...
8 Reactions
15 Replies
709 Views
Salaam! Ndugu zangu wanajeiefu poleni na majukumu mbalimbali ya kiuzalishaji Mali. Kuna matukio yanaendelea kwa kasi sana yanayoonesha utekaji wa watoto tena yakifanywa na watoto wadogo mno...
0 Reactions
2 Replies
309 Views
Habari, Ndugu zangu TAMISEMI habari zenu! Tunapenda kujua kwanini mfumo wa usajili wa leseni za biashara (TAUSI) haufanyi kazi tangu wiki iliyopita kwanini? Lini mfumo huu utarudi na kuanza...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa takwimu za usafiri zilizotolewa na mamlaka ya anga ya Nchi zote inaonesha wakenya wakitumia usafiri wa ndege mara 3 zaidi ya Watanzania ambapo takribani watu Milioni 12.3 walisafiri...
8 Reactions
126 Replies
2K Views
ANDINIKA USHINDE Nina wazo na nikaona ni vyema niliwakilishe kwenu, hata kama sio mahali sahihi mtanisaidia lifike penyewe. Nimekuwa nikiona majanga mengi yatokanayo na mvua kama mafuriko na...
0 Reactions
0 Replies
164 Views
Si kweli Siku aliyofariki mtume HAIPO. Sisi mashia tunaamini siku aliyofariki mtume IPO. Narudia tena ipo na mashia wanaikumbuka, wanavaa nyeusi na Tunalia. Siku aliyofariki mtume apate Tawfiq...
1 Reactions
12 Replies
701 Views
Aliyekuwa Waziri Wa Mambo ya Ndani kipindi cha JK, Lawrence Kingo Masha anazunguka Makanisani walau aweze kupata msaada wa kimawazo, nini kimetokea ? Hana watu sahihi wa kumsaidia kati ya...
5 Reactions
36 Replies
2K Views
Chuo cha Mitambo mizito (IHET) kimeendelea kutoa mafunzo kwa askari wa Jeshi la Polisi ambapo awamu hii kimeweza kutoa mafunzo na kuwataini askari ambao wamejengewa uwezo wa ukaguzi wa mitambo...
0 Reactions
1 Replies
266 Views
Moja kati ya hoja zilizomfanya Mke wa Marehemu bilionea Msuya ashinde kesi ya mauaji ya wifi yake ni upande wa mashtaka kuwa na pungufu ya kushindwa kufuata kanuni za kumhoji mshtakiwa pia na...
0 Reactions
0 Replies
394 Views
Taa za boda zinazo badilikabadilika rangi zimekuwa kero na usumbufu kwa watembea kwa miguu na watumiaji wengine wa vyombo vya moto. Likini pia taa hizo ni hatari sana kwa watu wenye tatizo la...
2 Reactions
1 Replies
331 Views
Uzoefu unaonesha kuwa viongozi wengi husikiliza zaidi maneno ya kuambiwa bila wao wenyewe kufanya tafiti. Unakuta kiongozi imehamishiwa mahali akiwa tu mgeni anaambiwa maneno nae anajiunga na...
2 Reactions
6 Replies
293 Views
Baadhi ya wanawake walioko kwenye ndoa wamelalamika kuhusu Single Mother kuwa Mwiba kwenye familia zao na kuhatarisha malezi ya watoto. Wameongeza kuwa watu hawa wamekusa huruma hadi kufikia...
8 Reactions
34 Replies
1K Views
Yaani badala ya kununua milingoti ya chuma na wire kwa ajili ya kufunga zile taa za mwanga barabarani, napendekeza taa ziwe zinafungwa kwenye mistimu ya umeme iliyopo kando kando ya barabara na...
5 Reactions
65 Replies
9K Views
Waziri wa Maji Jumaa Aweso amewataka wasoma mita kuacha mara moja kuwakatia maji wananchi siku ya sikukuu ama jumamosi na jumapili kwa kuwa ni haki yao.Aidha amesisitiza wananchi waombapo...
1 Reactions
3 Replies
594 Views
Wadau hamjamboni nyote? Kwa mujibu wa maandiko na Imani ya wenzetu wanaamini kwamba Isaka hakuwa mwana wa Ibrahimu aliyetoka kiunoni mwake huku Ishmael akiwa ndiye mtoto aliyetoka kiunoni mwa...
3 Reactions
8 Replies
607 Views
Back
Top Bottom