Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI imeendelea kutoa mafunzo ya masuala ya kijamii na Mazingira kwa watumishi wa Halmashauri Tanzania, zinazotekeleza awamu ya mbalimbali za...
1. Wanajali zana pesa kuliko kumtumikia Mungu.
2. Wanaamini Yesu sio Mungu.
3. WANA MADHABAHU ZAO, hata maombi wanaomba kwa madhabahu ya mtumishi huo, sio kwa Jina la Yesu, wanaamini madhabahu...
Wadau hamjamboni nyote?
Leo ni siku maalumu kabisa kwa watu warefu duniani kote almaarufu Matolu au Ngongoti.
Kwa unyenyekevu mkubwa tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa fursa kubwa ya...
Jeshi la Polisi Tanzania Nchini limesema kuwa Kila mwaka huadhimisha Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani huku likipiga marufuku kwa mtu yoyote kupokea ama kutoa fedha taslim wakati wa Ukaguzi wa...
Vilio na Simanzi vimetawala wakati wa ibada ya kumuaga Mwanafunzi ambaye amehitimu katika Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) mkoani Morogoro, Magreth Mashuwe aliyeuawa na watu wasiojulikana...
Sio mtu wa Imani sana ila nikiwa low napenda kusikiliza gospel songs Kuna namna Zina nilift juu napata afueni ya magumu nayopitia kihisia.
Kuna huu wimbo wa Bony Mwaitege-Soma ni wa muda ila...
Habari mdau, fikiri kuhusu hili...
Mungu alikasirika walipo jenga mnara wa Babeli, kwa lengo la kufikia mbinguni.
Jiulize, je kwa sasa hana tatizo na international space station?
Kama...
Zamani za ujana wetu wakati unafukuzia binti, mkipanga sehemu ya kuonana lazima aje na mtoto au rafiki yake! Ndo kusema mlikuwa nnaogopa nini kuja peke yenu!!
Madabiliko Madogo ya baraza la Maziri Limeibua hisia tofauti katika mijadala ya mitandao ya kijamii,tenguzi hizi zimefuatia siku chache baada ya Waziri wa habari, Mawasiliano na teknolojia kutamka...
Kwa mujibu wa sayansi, hewa au oxygen inatokana na mimea, lakini kiuhalisia tunaona hewa au upepo mwingi unakuja kutokea baharini na baharini hakuna mimea.
Pia maeneo ya majangwani hakuna mimea...
Wengi tulikuwa worried kuwa kwa mwendo huu wa machawa wa CCM, Twitter (X) itafungiwa.
Hasa walimhusisha sana Nape kuwa ndiye mwenye kiherehere cha kuifungia kumfurahisha Rais.
Kuna chawa...
Kuna changamoto ambazo hatuzielewi sisi kama wananchi kuhusu ukusanyaji wa Kodi ya jengo kupitia "Luku", na Mimi naomba kupata ufafanuzi Kwa msaada pia wa wananchi wengine, yaani mimi nimekuwa...
Nimejaribu kununua umeme Leo wa TSH 5000 naambiwa nadaiwa deni kubwa kuzidi hiyo pesa siwezi pewa tokeni
Na mwezi uliopita nimenunua wamekata pesa yao ya jengo 1500.
Nimepiga huduma kwa wateja...
Inauma, inasikitisha, inakera, Inaumiza, inasononesha na Inatia hasira, Serikali ya CCM ilivyo na mapuuza kwa raia wake.
Wameongeza Tozo kwenye LUKU kutoka 1500 kwenda 2000 kimyakimya bila...
Wameahidi tar 1 watakuja kunifungia kama sitakata leseni ya biashara ambayo gharama yake ni 80
Na mm kwa sasa sina mpango was kukata leseni sababu sina huo uwezo kwa sasa kazi yangu ndo kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.