Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kuhusu HIV/AIDS majibu ni NEGATIVE yaani Don Nalimison pia sio Mwathirika wa UKIMWI.
27 Reactions
101 Replies
14K Views
Mkuu wa Wilaya ya Mlele, Majid Mwanga (watatu kulia) akipokea sehemu ya msaada wa magodoro, viti na meza kutoka kwa Meneja wa Benki Uhusiano wa Benki ya CRDB Kanda ya Nyada za Juu Kusini, Pascalia...
0 Reactions
0 Replies
219 Views
Wakuu, nawezaje kuangalia Balance yangu ya NMB bank kupitia Internet ambapo siwezi kukatwa kiasi chochote cha hela? NOTE: Sihitaji NMB App maana naona inasumbua sana.
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu, Natafuta soko la mbegu za ubuyu, kila baada ya cku 3 nakusanya gunia, hivyo wote wenye kazi nazo km kuchanganyia kwnye chakula cha kuku,nguruwe n.k. Naomba ni pm tuyajenge...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari Wakuu, kwa wenye uzoefu au wanaojua chochote kuhusu hii mikopo inayotolewa na Ofsi ya waziri mkuu, kazi, vijana Ajira na watu wenye ulemavu. Atutoe kimasomaso hapa kuwa je ilistishwa au...
1 Reactions
13 Replies
561 Views
Wasalaam wana-JF, Kama kichwa cha uzi hapo ''kuna uwezekano mkubwa sana jamii zilizopata elimu ya mzungu huku Africa haswa Tanzania hazina maarifa ya asili''. Nimejaribu kusoma maendeleo ya...
0 Reactions
0 Replies
212 Views
Hawa mawakala wanaoingia mkataba na Halmashauri za Wilaya kukusanya mapato wanawapunja sana hizi Halmashauri na Halmashauri zinatakiwa zijitathmini sana. Nitoe mfano ulio hai hapa Mwanza...
0 Reactions
0 Replies
233 Views
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko amekwepa kujibu swali kuhusu nani aliyehusika katika madai ya utekaji wa Edgar Mwakabela, maarufu Sativa. Bomboka alikwepa swali hilo akiwa katika...
1 Reactions
14 Replies
815 Views
Moja ya mambo mabaya unaweza kuchukiwa na waswahili sio Mali wala pesa Ila AKILI. Bora MTU ajue umemzidi mambo mengine Ila sio AKILI Maana MTU akijua umemzidi AKILI iwe kazini katika familia...
0 Reactions
0 Replies
195 Views
Malaika aitwaye Makerubi alikuwa na kazi ya kumsifu Mungu Mbinguni, sifa kubwa ya malaika hawa huwa na mbawa sita ambazo mbili zina uwezo wa kumfunika mwili mzima. Kwa nini Mungu aliwaumba? Mungu...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
1.ARUSHA Hili ni jiji kubwa la kitalii hapa nchini na ndiyo makao makuu ya jumuiya ya afrika mashariki....pia mashindano ya AFCON yatafanyika huku. 2.KAHAMA Mji mkubwa kwa biashara za madini hapa...
0 Reactions
1 Replies
425 Views
Dunia hii imeumbwa Na kufumbwa kwa siri mbalimbali. Kamwe huwezi kufanikiwa kama bado hujajitafuta na kujipata. Kujipata ndio kugundua siri za kukwama kwako na kuweza kujinasua na kusonga mbele...
4 Reactions
48 Replies
2K Views
KITUO CHA MABASI MWENGE Kipo chini ya manispaa ya Kinondoni Ujenzi ulianza 1/7/2019 mpaka 30/11/2023 Ufadhili:fedha za ndani Kitahudumuia : Daladala 100 na Bajaji 60 kwa wakati mmoja. Gharama ya...
12 Reactions
32 Replies
3K Views
Katika kutekeleza adhima ya Mhe Rais Samia Suluh Hassan ambaye ni kiongozi wa machifu nchini Chifu 'Hangaya' ya kuuhuisha kuendeleza tamaduni za kichifu nchini, Hatimaye Chifu wa kabila la...
9 Reactions
38 Replies
4K Views
Amani iwe juu yenu nyote. Mwalimu wa Nchi hii nadhani ametengenezewa UMASKINI kuanzia anaajiliwa mpaka anastafu. Kwanza ni watu wanaotoka kaya Maskini bado akiajiliwa anaishi kwenye umaskini...
26 Reactions
164 Replies
12K Views
Tunawaomba sana Viongozi wetu wa dini kwa imani zote wakemee vitendo vya kishirikina na ramli chonganishi vinavyo chagizwa zaidi na Wanasiasa wenye uchu wa kutafuta nafasi za teuzi, wasaka...
4 Reactions
14 Replies
562 Views
Kila wakati huwa ninajiaminisha kuwa umma mkubwa wa watanzania hawako informed kabisa, yaani wako kwenye gizo totor kuhusu mambo ya nchi yanayogusa maisha yao. Hii inakuwa reflected na idadi ya...
0 Reactions
0 Replies
232 Views
Masaa machache yaliyopita, nimeona baadhi ya mawaziri waandamizi na wakurugenzi wakitenguliwa nafasi zao. Swali langu: Je, viongozi wa umma nao huwa wanalipwa fao la kukosa ajira kwa kipindi cha...
1 Reactions
5 Replies
371 Views
Baada ya SGR ya Tanzania kuanza safari zake kuanzia Dar mpaka Morogoro, licha ya ubora wa treni zetu, reli na vituo. Wadau kadhaa wamelalamikia mapungufu kadhaa, wengi wakilalamikia mfumo mbaya...
19 Reactions
94 Replies
6K Views
Huyo mtoto ameokotwa Mozambique (Msumbiji) akiwa na Mmalawi anapiga kelele kwamba huyo mtu aliyemchukua hamfahamu. Mtoto anaongea kiswahili pure na anasema kwao Mbeya but haijulikani ni Mbeya...
3 Reactions
12 Replies
744 Views
Back
Top Bottom