Habarini wanajamvi.
Leo nakuja na kisa hiki cha ukweli ambacho mdau anakipitia anaomba ushauri.
Nina jamaa yangu ni mtu fresh sana hanaga makuu kabisa na mtu kwa navyomfahamu mimi.
Sasa juzi...
Baada ya kwenda South kwa nyakati mbili tofauti na kutembea maeneo mbalimbali tofaut, kwa ufupi nimezurura na maeneo mengi nayajua vizuri.
Kuna vitu vingi sana sisi Watanzania tuna tofautiana na...
Katika Kupunguza msongamano wa magari mijini na kuongeza mapato ya TARURA napendekeza yafuatayo;
1. Ada za maegesho zingeboreshwa mpaka kufikia TSH 5,000 Kwa kila gari kwa muda wa saa 1.
2...
Mwaka 1985 hapa wilayani Kahama kulikuwa na Ukumbi maarufu wa Serikali ulikuwa Nyihogo ulikuwa unaitwa "WELFAIR" (OLOFEA) kwasasa ndio ilipo Halmashauri ya mji wa Kahama.
Mwaka 1985 nikiwa na...
Kwa sehemu kubwa hisia tunaweza kuzielezea kama kiashiria kinachokutahadharisha au kutupa msukumo juu ya jambo fulani.
Hisia zinaweza kukuepusha na majanga lakini pia zinaweza kukupeleka katika...
Habari Wadau,
Dar es salaam ni jiji linalopanuka kwa kasi sana. Wakazi wengi wanakaa pembezoni lakini kila siku wanaelekea katikati jijini kwa shughuli mbalimbali.
Nimekuwa nikipendekeza route...
Senior DP Members USA wamethubutu Kukataa Biden asigombee kwa kuona hana Uwezo, je, na Senior MCC Members in AZT nao wataweza Kumkataa Mtu 2025?
Pia soma: Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa...
Habarini ndugu zangu,
Kwa masikitiko makubwa naomba kutoa ushauri juu ya uendeshaji wa huduma za afya nchini kwetu hasa kwa wagonjwa waliolazwa ambao hali zao sio nzuri.
Ni wiki sasa nimempoteza...
Rais Kikwete amemteua Dr Grace Pujah na Bw Innocent Seba kuwa wabunge wapya katika bunge la Muungano kuanzia tar 20 Machi.
Kufuatia uteuzi huo, sasa JK amemaliza orodha wa wabunge wote kumi wa...
Wakuu,
Kuna kautafiti kadogo nafanya kuhusiana na matumizi ya maji ya kisima yenye chumvi kwa matumizi mbalimbali ya nyumbani.
Ningependa kujua madhara, kama yapo ya maji hayo katika vipengele...
Naomba ufafanuzi kwa anayejua masuala haya,jana kulitokea msuguano kati yangu na WIFE ambaye ni mwalimu wa shule ya msingi na mimi ni mfanya biashara,anadai kuwa mpaka kustaafu kwake atalipwa...
Habari wanajamvi.
Nina ndugu yangu ni Mkenya. Kutokana na biashara zake alipenda kua na uraia wa Tanzania pia (bila kuukana uraia wake wa Kenya), yaani dual-citzenship.
Kaniuliza mimi...
Baada ya malalamiko ya Mwanachama wa JamiiForums.com kudai Wananchi wa Mtaa wa Muheza na Tankini, Kibaha-Maili Moja Mkoani Pwani hawana huduma ya maji kwa muda wa wiki moja, Mamlaka imeto...
Niliandika barua nikiwa Mahabusu 2018 Butimba gerezani ya kumuomba Rais wa Tanzania wakati huo John Magufuli ambaye sasa Yuko Motoni mwa milele (Fact spiritually). Nikimuelezea chanzo Cha Serikali...
Habari ya wakati huu.
Wakuu mimi sio muandoshi mzuri ila kuna jambo nimeliona kule mtandao wa X kutoka kwenye akaunti fulani akizungumzia habari za matrix na mambo kadhaa ya ulimwengu kwa mifano...
Ulipoongea suala la nchi kupigwa mnada, kuuzwa vipande yawezekana nilikudharau, nilikukejeli, nilikutukana, nilikuona huyu ni masalia ya Jeshi la mtu mmoja JJPM.
Siku unadharaulika mbele ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.