Niko ziara ya kikaz mkoa wa arusha na nikatembele arusha Dc ndipo nikabaini upigaji wa kutisha kwenye mradi mmoja wa ufwetuaji wa tofauli za bloku
Kwanz nimebaini kuwa waliuziwa mtambo kwa bei ya...
Wakuu maisha ni kushare love.
Nataka niwaambie vijana na watafutaji wengine ikiwemo hata watumishi wa umma wenye mishahara midogo midogo.
Hakuna sehem Tanzania hii panafaa Kwa mtu anayejitafuta...
Soma Sehemu ya Kwanza hapa: Kesho ya nishati yetu Tanzania ipo baharini (Sehemu ya Kwanza)
Nini kifanyike:
Umeme wa upepo ni moja kati ya vyanzo anuwai vya nishati mbadala vilivyopo, na ambavyo...
Nilifika nchi ya uturuki kimatembezi mwaka 2009 ndio nikajiuliza kwa nini hawa masheik kwa jina wanazuoni ni matajiri sana ukilinganisha na afrika wengi ni njaa, husda na malalamiko.
Kwanza mtu...
Mr. Abass katoka America karudi Burundi Nyumbani Kuoa ila arejee USA na Mke wake
Kafunga Ndoa Salama Siku ya Ijumaa, Jana jumamosi wakiwa safarini na Mke wake wakielekea Bujumbura ili Leo...
Habari zenu wadau
Naomba Msaada wa ushauri au maoni kuhusu jambo hili.
Ikiwa umenunua kiwanja maeneo ya kando ya mji, ukajenga nyumba na eneo lingine likabaki, majirani walipoanza kuongezeka...
LILE sakata la msichana Morine Amatus (22), anayetajwa kuwa ni mtoto wa Amatus Liyumba, aliyekamatwa na Jeshi la Polisi mkoani Lindi, akiwa na wenzake watatu, wakidaiwa kukutwa na madawa ya...
👉ALLAH Akujalie Kheri Katika Dunia na Akhera
👉ALLAH Akuifadhi Katika Kila Hatua
👉 ALLAH Akusitiri Katika Aibu Zako
👉 ALLÀH Akupe Wepesi Katika Maisha Ya Dunia
👉 ALLAH Akurudhuku Moyo wa Ukarimu...
Habari zenu ndugu zangu,
Lengo la kuleta malalamiko yangu ni kuonya wapangaji vilaza. Kuhusu wapangaji wanao shindana kufua sijui mnavaa Nini maana daily kufua afu bill tunalipa wote sawa.
Hivi kuna ushahidi wa kisayansi unao fanya watu masikini kua na uzalendo na mapenzi ya nchi yao kuliko matajiri wenye uwezo wa pesa? ni kawaida kuona masikini hapa jf wakiwa wakereketwa wa mali...
Nimekaa sana Kigamboni na nimetembea sehem nyingi, sehemu kubwa ya Kigamboni ni mapori tuu, miundombinu mibovu sana, barabara za lami ni chache mno, hakujajengeka sijui kwanini watu hawajengi Kwa...
Wadau hamjamboni nyote?
Kisa hiki nimekisia nikiwa sehemu fulani watu wakijadii habari ya Nabii Musa alipokaribia kufa.
Kwamba Nabii Mussa alimgomea katakata malaika aliyetumwa kuchukua roho...
Jana jioni kabla ya usingizi nilikuwa natafari kwa kujilaumu na kulalama... Nakuona kuwa maisha ni magumu sana, niliumia zaidi kuona watoto na mke wananitegemea, wazazi pia tena zaidi wanaamini...
Tumefika SHINYANGA, nilichokiona ndio hiki, je ujinyeee au ujikojolee maana wengine tuna nauli tu. Sera za Tanzania zifanyiwe maboresho kwa upuuzi huu.
Don Nalimison.
*LETS NOMINATE, THE YEAR IS ABOUT TO END [emoji310][emoji310][emoji310]*
1.Best Member
2.Most Active
3.Funniest Member
4.Best Admin
5.Laziest Member
6.Sweetest Member
7.Best Advisor
8.Most...
Mtu mmoja ameuawa huku wengine zaidi ya 10 wakijeruhiwa baada ya mfumo wa ulinzi wa anga wa Israel kushindwa kutungua shambulio la ndege isiyo na rubani (droni) lililofanywa na jeshi la Yemen...
Wengi wao wanaotamani utawala kama wa mwendazake urudi tena kwa mara nyingine ni wale waliokuwa wamebatizwa jina la "wanyonge"😀😀😀
Na hawa wengi wao wanawachukia sana matajiri, hutamani kuona...
Kuna huu Ufukwe mkubwa zaidi barani Afrika wa 'Man-made unaitwa Munyaka Estate crystal lagoon umefunguliwa Johannesburg, ni mkubwa mara 7 ya uwanja wa mpira na ni ufukwe wa 3 wa Afrika Kusini...
Unakuta mtu ni mwanaume kabisa lakini ni muoga balaa..jirani yangu kaingia nyoka ndani kwake kagoma kuingia kaniiita,mke wake kajisikia aibu sana.
Unakuta mtu anaogopa kuangalia graphic videos...
Kwenye mada moja kwa moja.
Nikiwa form 4 nilikuwa na target zangu za kufaulu ili tu nikasome azania.
Katika masomo yangu nilikuwa nasoma masomo matano tu yale ambayo ni bookkeeping,commerce...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.