Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Mwili Ni zawadi ambayo tunayo katika kuhakikisha zile nishati zetu zinatekeleza kazi au majukumu yake katika Hali ya ufizikia. Lakini pia huu mwili ukiangalia kwa jicho lingine unaweza kuona Kama...
0 Reactions
1 Replies
509 Views
Watoto wa Kitanzania wanafundishwa na walimu wenye msongo mwingi wa mawazo kwa kufanya kazi huku wakiwaza future ya maisha yao. Watoto hawawezi kuja kuwa wazalendo nchi hii kwa sababu, walimu...
1 Reactions
11 Replies
665 Views
Habari wakuu, Naomba ushauri mimi ni mwalimu idara ya elimu msingi nimekuwa kazini kwa kipindi cha miaka 10 sasa. Nataka kutafuta Channel zingine za maisha nikiwa na maana ya kuresign mwenyewe...
5 Reactions
69 Replies
5K Views
Naomba kufahamu kuhusu mshahara wa mtu aliyeajiriwa kama Polisi ila mwenye taaluma ya fani ya uhandisi( engineer). Je watu hawa wanalipwa shilingi ngapi? Na mpangilio wa posho umekaaje? Anayejua...
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Wadau hamjamboni nyote? Naomba kuuliza kwanini Kanisa la Waadvetista Wasabato Duniani Lina Makamu wa Rais 7 badala ya 1 kama taasisi nyingine za kidini Duniani? Yaaniii kwa mfumo wao wanaye Rais...
0 Reactions
4 Replies
394 Views
KUWASHWA KWA KIGANJA CHA MKONO NA KUCHEZA KWA JICHO KUNAKUPA TAARIFA ITAKAYOTOKEA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Nafsi yako inañamna mbalimbali za kuwasiliana na wewe(mwili wa nje) Kwa namna...
3 Reactions
39 Replies
16K Views
Naomba kujuzwa! Japo sivutiwi na mwonekano wa nje wa gari tajwa, linaonekana lina upekee usio wa kawaida. Bei yake ipo juu sana. Ningekuwa na ndugu au rafiki mwenye nalo, ningeomba alau lifti...
15 Reactions
162 Replies
6K Views
Shirika la reli nchini, Tanzania Railways Corp limefanya kweli kwa kutoa ratiba ya safari za treni Dar-Dom zitakazoanza Julai 25 na sasa kwa treni ya mwendokasi utaweza kusafiri kwa masaa 3.25...
17 Reactions
87 Replies
4K Views
Wakuu mambo vipi? Naomba msaada wa kupata barua ya Mwaliko ya kwenda nchi za Ulaya hasa Canada, Finland au Denmark. Namaanisha sina mtu wa kunialika ila nataka nitapate invitation. Inawezekana...
6 Reactions
25 Replies
3K Views
Wasalaam wana JF Katika pitapita zangu za kimaisha jambo kubwa ambalo nimelishuhudia, nimesimuliwa na kupata uzoefu kutoka kwenye forum mbali mbali pamoja na JF, ni kwamba wanawake wengi ni...
44 Reactions
489 Replies
17K Views
Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), leo Julai 20, 2024 kimeendesha mdahalo wa wagombea urais wa chama hicho pamoja na wagombea wa Chama cha Mawakili Vijana (TYL). Katika mdahalo huo ambao...
0 Reactions
3 Replies
521 Views
HONGERA WILAYA YA LUDEWA- KINARA AJENDA YA LISHE MKOANI NJOMBE Ajenda ya Lishe imetekelezwa vema kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 na Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa kwa kutenga 40,280,000.00 kwa...
0 Reactions
0 Replies
129 Views
Wakuu, leo nilikua nimelala chini ndan chumbani. Kushtuka naona nyoka mdogo karibu na kichwa changu ikabidi nimuue. Lakin pia kijana ashawai ua nyoka kama wawili mlangoni mwingine upenuni...
8 Reactions
75 Replies
5K Views
Asalaam aleykum jamiyah, Nalazimika kuuliza na kuhoji inakuwaje mkandarasi anashindwa kutoa ushauri makini, juu ya ujenzi wa bara bara, unaorudiwa mara kwa mara na kupoteza fedha za umma kila...
4 Reactions
13 Replies
363 Views
Jana usiku wakati naongea na moja ya ndugu zangu anaishi kisemvule kwa pembe au wanaita kisemvule mpera. Tumeongea mengi pamoja na salamu za hapa na pale akanisimulia kuwa huku baba hali...
3 Reactions
13 Replies
754 Views
Programu kama Nero Burner na Ashampoo Burning zilitumiwa sana nyakati za zamani kwa kuchoma CD na DVD, kujenga na kuhariri video na muziki. Windows Media Player na JetAudio pia zilikuwa maarufu...
3 Reactions
12 Replies
759 Views
Anonymous (9e5c)
Jamani sisi watu wa Mwanza wilaya ya nyamagana kata ya Buhongwa na vitongoji vyake vya Sahwa, Bulale nk. maji ni pasua kichwa. Hakuna Maji na hata yakitoka ni mara moja kwa week ama mara tano kwa...
2 Reactions
4 Replies
507 Views
75% ya graduate wote wa tangu 2015+ wapo mtaani no ajira vijana wanamachungu sana Tatantarira za CCM zinakua nyingi huku wakirundika vijana mtaani bila kazi. Zaidi watu milion moja wanaingia...
2 Reactions
9 Replies
366 Views
Hawa manabii waliozuka na kujaa kama nzige wanajipatia waumini wa kuwapa utajiri. Hao wasomi, waislamu na wanasiasa wanawapinga ovyo mtandaoni lakini pembeni utakuta wananunua maji, chumvi...
2 Reactions
13 Replies
639 Views
Toa mifano kutoka katika moja ya nchi zifuatazo: 1. Iran 2. Vatican 3. Saudi Arabia 4. Marekani 5. Oman 6. Uingereza 7. Zanzibar 8. Tanganyika 9. Misri 10. Nigeria
2 Reactions
4 Replies
228 Views
Back
Top Bottom