Baada ya mafanikio makubwa ya Tanzania the royal tour kuwamimina Watalii Tanznaia Sasa Rais Samia akishirikiana na Rais wa Zanzibar Mwinyi wanatarajia Kuzindua Filamu Mpya ya Amazing Tanzania...
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda amesema Mamlaka hiyo itawachukulia hatua bila kumpendelea wala kumuonea yeyote atakayehusika kukwepa kodi au kwa Afisa...
Kumekuwa na Mwingiliano Mkubwa kiasi kwamba hatuelewi kinachoendelea.
Nani ni kiongozi wao?
Ofisi za Bongo movie ziko wapi?
Nani anahusika kuchagua waigizaji kunapotokea fursa na wanaangalia...
Wasalaam waungwana,
Naomba niwajuze kama ulikua hujui, zifatazo ni nchi zilizobadili majina.
1. Burma kuwa Myanmar
Nchi ilibadilisha rasmi jina lake kutoka Burma hadi Myanmar mwaka 1989.
2...
Kuna manzi fulani anaposti picha zake instagram na Facebook! Picha zake ziko public na mimi nimekuwa nikimfollow muda mrefu sana! Yeye hakuwahi kuaccept my request ya follow back! Nimemtumia...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, kwanza mimi sio muandishi mzuri, mtanisamehe kwa uandishi wangu. Tatizo lipo mwezi uliopita nilichukua mkopo kwenye Benki ya NMB kutokana na...
Serikali imejiandaa vipi dhidi ya wahujumu uchumi na mali za shirika la reli Tanzania? Kama tunavyojua treni zinaweza kuwa mbadala mkubwa wa mabasi ya mikoani DAR TO MORO na wamiliki wa mabasi...
MAELEZO YA FUMBAKASA NA MWASI KWA NCHI YA ROBASASTA AU KONGO KWA LEO
FUMBAKASA alitambulika kua mtu wa kwanza hapa duniani akiwa na urefu wa km4 na upana wa kifua chake ni mita mia3, akiwa na...
Miaka zaidi ya 10 huko nilipohitimu chuo, nilikuwa nafahamiana na jamaa fulani muwest ambaye nilikuwa namuuziaga computer maana wakati nasoma chuo nilikuwa nanunua computer huko Kkoo na kuuza chuo...
Wadau ni mara kadhaa napita hapo daraja jipya la Kurasini ambalo chini inapita treni.
Sasa mara kwa mara wakati wa foleni tunaposimama nikiwa ndani gari juu ya daraja hilo nahisi kama linacheza...
Hapo vip!
Kuna jamaa mmoja alikuwa ameajiriwa na serikali kitengo fulani.
Ila wakamfukuza kazi kwa tatizo la utoro ila hapa anasema wahuni wamemtengenezea sengwe kisa katoka masomoni akiwa na...
Habari za asubuhi Waheshimiwa viongozi wangu. Nimefarijika kuona taarifa mpya kutoka serikalini kuhusiana na "digital marketing".
Ushauri wangu kwenu na kwa walengwa wengine katika sekta ya...
Habari.
Mimi ni mtumiaji mzuri wa mabus ya masafa marefu kuelekea Mbeya.
Hapo awali nilikuwa naishi Moshi na Arusha . Kwa kweli usafir wa kutoka Kaskazin kwenda Mbeya ulikuwa wa tabu tupu...
Haiingii akilini kuwa serikali impe mtu kibali cha kukopesha wananchi wake ambapo malipo yanapaswa kufanyika ndani ya siku 5, 6 au 7 tu yakiwa na riba ya 35%.
Kama serikali imekubali kazi za...
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Bruce Mwile (wapili kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Water.Org, Eng. Francis Musinguzi kwa pamoja wakionesha mikataba ya ushirikiano mara baada...
Picha: Internet Fibre Cable ndani ya bahari ya Hindi ambayo ilipelekea tatizo la internet
=================
Umekuwa ukipata shida ya mtandao kwenye hizi siku mbili-tatu ndani ya hii weekend...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.