Husika na kichwa tajwa hapo juu.
Nina ombi au ushauri wa kuongeza msisitizo Kwa watoa huduma (wauza juisi) za miwa watumie nailon maalumu (zinazovaliwa mikononi) ili kuepusha magonjwa yoyote...
Hizi mada zako hapa Mwigulu kila jambo puuzeni ina maana Tanzania tuna wazushi sana yani kwako umekuwa Mungu kujua kila kitu.
Ukifikia hatua ya kusema kila jambo ni uzushi basi na mkono wa damu...
Kwanza Oujia ni nini?
Huu ni ubao wenye alfabeti na ishara nyingine kadhaa ambazo kwa kuangalia tu zinakupa taswira ya kitu fulani kisicho cha kawaida.
Taswira ya kitu kisicho cha kawaida hukujia...
BIMA YANGU YA AFYA BADO INABAINISHA UMRI WANGU WA KUZALIWA JAPO JINA LA MWANZO LIMEPOTOSHWA SPELLINGI.
Katika Bima hii nilipotoshewa pia badala ya kuandika "DEOGRATIUS" ikaandikwa "DEOGRASIAS"...
NB; Picha hizo mbili ni za wazazi wangu, Baba na Mama za nyuma kidogo.
Mimi Deo Kisandu, Nimekumbana na Maswali mengi juu ya kabila langu wengine wanasema Mimi Msambaa kwa kuwa niligombea ubunge...
Hii ndoto nimetoka kuiota hivi punde saa 10 hii ya usiku.
Nimeota nipo masomoni sekondari. Baadhi ya watu niliota kuwa nao katika mazingira ya shule ni madogo tuliowahi kusoma nao mimi nikiwa...
DJ. DON NALIMISON: I WILL NOT MARRY ANY OBAMA'S DAUGHTERS BECAUSE THE TIME I WAS PLANNING IN 2016 BECOME TOO LATE TO A TIME BEING.
In a year 2016 God showed me in vision to get marry with Sasha...
Jana (Julai 01' 2024) ndio siku rasmi Crown Fm wameanza kutangaza baada ya kumaliza majaribio, na leo ( Julai 02' 2024) wamerusha kipindi cha michezo.
Kwa mtazamo wangu naona jina la Crown Fm na...
Ushawahi kujiuliza kwanini umeota askari anakukamata na kukuweka kituo?
Kuna wengine wanaota ndoto za majoka na wanyama wengine.
Basi nikwambie tu,ndoto ni fahamu zako na ikiwa huzitambui fahamu...
Taarifa kwa Umma
Kumekuwa na taarifa ya akaunti ya kiongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) inayosambaa mitandaoni ikionyesha miamala iliyofanywa kwenye akaunti yake ya benki...
Habari zenu ndugu zangu
Yaani ukistaajabu ya musa utayaona ya filauni mzee alikuwa na watoto wanne alinunua nyumba 3 lakini hii ya mwisho hakutoa taarifa kwa vijana wake.
Akapangisha hakukaa...
Wasalaam ndugu zangu waswahili,
Leo nina hoja nzito saana upande wangu naomba tupeane ushauri mzuri tafwadhali... uki comment kebehi utalaaniwa immediately.
Ni hivi kwanza nini siri ya...
Ukifuatilia Takwimu, utasikia TRA wanadai idadi ya walipa kodi nchi hii ni ndogo sana licha ya nguvu nyingi zinazotumika ikiwemo masuala ya TaskForce, kuhakikisha watu wanadai receipts na matumizi...
Wana jamvi msaada wa mawazo. Kuna sehemu nilidai pesa yangu zaidi ya miezi 6, hatimae leo wamenilipa. Naomba ushauri niifanyie uwekezaji au/ biashara gani ambayo itazalisha na kuongeza thamani ya...
uhuru
dar24.comJul 21, 2024 5:14 AM
Shirika la Umeme Tanzania – TANESCO, Mkoa wa Pwani limefanikiwa kufikisha Umeme katika kisiwa cha Chole kilichopo Wilayani Mafia, ambacho hakijawai kuwekwa...
Mimi ni Mkazi wa Mbutu Kigamboni kwa namba ya Wanambutu.
Changamoto ya Mbutu ni Barabara ya kutoka Dege kwenda Mkwajuni mpaka kwenye Machimbo ya Vifusi.
Kwanza naomba niwafahamishe yafuatayo...
Nikiwa katika pitapita zangu za kusafiri mwishoni mwa mwaka huu wa 2023 nikajikuta mikoa ya kaskazini, nikatua Stendi kuu ya mabasi ya mikoani pale Moshi mjini na hapo nikakutana na mambo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.