Ndugu zangu mimi sina elimu sana ila nije kwenye swali,
Kwanini mtume wa Waislamu kajificha wakati huyoo Muhammad alizaliwa juzi amewakuta akina Pilato, Julias Caesar, Cleopra, Firauni, Musa...
Mungu mwenye nguvu zote unaeona yote ukatende jambo juu ya ukatili huu watoto wanauwawa na kunyofolewa viungo lakini vyombo vya usalama vinashindwa kubaini watuhumiwa isipokuwa tu Kwa mtoto asimwe...
Wazungu pamoja na kuwabagua na kuwanyanyapaa watu weusi kwasababu ya rangi ya ngozi yao! Sasa hivi waangalie walivyojichora "tattoo" na miili yao kuwa myeusi kama mkaa! Ebu tupia hapa picha...
Asalam alyekum wakuu.
Eti Kwa mfano umeachana na mchumba wako (kwa sababu yoyote ile) uliyekuwa unaishi naye na akaondoka akaenda mbali huko je kama utaendelea kuishi nyumba ile ile na ukapata...
Binafsi sioni kama Dar es Salaam ni jiji la kitalii!
Nilijaribu ku- search kupitia Google " Je, Dar es Salaam ni salama kwa watalii?"
Majibu yakaja " Kuwa mwangalifu kwa mazingira yako na...
Kuna habari nimeiona Mwananchi inasema kuwa Stendi ya mbeya mjini ina vyoo vichafu pro max na kutokana na wingi wa watu na vyoo vibovu inabidi wengine wajisaidie kwenye ndoo ili kuepuka kuachwa na...
Ukifanya utafiti mdogo kwenye maeneo ya miradi ya ujenzi wa barabara nchini utabaini kuwa, katika kipindi hiki wakandarasi wengi wamepunguza kasi ya ujenzi, wanasubiria mvua za vuli na mvua za...
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema ujenzi wa Kampasi za Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya katika Mkoa wa Rukwa ni moja ya mradi unaojengwa chini ya Mradi wa...
Makosa Unayofanya Unapotengeneza Neno la siri:
Kutumia Jina lako au Tarehe yako ya kuzaliwa
Kutumia Neno la Siri moja kwa akaunti zako zote
Kutumia herufi peke yake
KUMBUKA
Unapounda neno la...
Leonor, Princess of Asturias ni binti wa kwanza wa Mfalme wa Hispania, Felipe VI na Malkia Letizia.
Alizaliwa Oktoba 31 mwaka 2005 kwa sasa ana umri wa miaka 18.
Amehitimu chuo na mafunzo...
Ndugu wanajamvi wenzangu mabibi na mabwana natumai mu wazima. Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, naomba kufahamu Kuna siri gani imejificha kwenye mwenge.
Wiki iliyopita kulikuwa na shamra...
Kampuni binafsi ya kuzalisha umeme ya Madope iliyopo Wilayani Ludewa mkoani Njombe, imefikia makubaliano na Serikali ya kukabidhi miundombinu ya kusafirisha na kusambaza umeme kwa Shirika la Umeme...
Kumekuwa na kawaida ya Taasisi mbalimbali za umma na Binafsi wakati wa maadhimisho fulani ndio huchakarika kwelikweli lakini yakiisha ndio basi.
Tunawakumbusha kuendelea kuwa wakarimu na kutoa...
Ofisi za walimu wakuu shule za Msingi za Umma ni Changamoto kubwa.
Tunaomba serikali iwafikirie hata kidogo ofisi zao ziwe na hadhi basi.
Ili mtu afurahie kazi yake basi mazingira yanapaswa...
Mkuu wa dawati la Jinsia na watoto Wilaya ya Ngara Mkoa wa Kagera Mkaguzi Msaidizi wa Polisi A/INSP Hadja Mfinaga amewaomba wazazi wilayani humo kutowaficha watoto wenye mahitaji maalum na badala...
Muhimu naomba jina liwe fupi, lisizidi herufi nane (8)
kuna simulizi naiandika nimekwama kwenye majina ya koo maarufu za wasukuma na wahaya, nimekutana na majina mengi sana, natafuta jina za koo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.