Upo wakati ambao unaweza kuwa na mawazo mengi mazuri ya biashara mpaka ukasahau kutafuta ajira za kuajiriwa. Wakati mwingine unakua unawaza sasa kama nikitafuta ajira ni nani atakayeweza...
Kusaidia watu sometimes ni kitu kizuri hasa ndugu, na rafiki wa karibu, ila inakua ngumu sana kusaidia kila anayekuomba pesa,kitu au kukopesha kila anayekopa.
Nimekua nakabiliwa na kuombwa pesa...
Mtaani pana hizi ndondo zinaendelea ziko chini ya halmshauri team za vijana wa mjini wanashindania ng'ombe sasa pale getini wanakiingilio sh. 500 kuingia uwanjani.
Uwanja wanaochezea ni uwanja...
Habari wanajukwaa!!
Kero yangu ni jinsi mazingira ya vitongoji vinavyokizunguka chuo kikuu cha Mzumbe vilivyo vichafu, inakera kweli, unabaki kujiuliza ustaarabu wa mtanzania uko wapi?! Au hadi...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan ameweka jiwe la msingi Chuo cha VETA cha Mkoa wa Rukwa kilichopo katika Kijiji cha Kashai, Kata ya Momoka, Wilaya ya Sumbawanga...
John D. Rockefeller was the wealthiest American of all time and was once among the richest men in the world. By age 25, he controlled one of the largest oil refineries in the US. By age 31, he had...
Ernest George (37), amepandishwa kizimbani na kusomewa shitaka la mauaji ya kukusudia ya dereva, Majuto Seif.
George, ambaye ni Mchungaji wa Kanisa la Tanzania Assembly of God (T.A.G), maarufu...
Kwa mfano assume labda tungekuwaga tukifika umri wa kuanza kazi unachagua fani moja tu Unayotaka na fani zote mishahara yake ndo ileile tufanye hata million nne kwa mwezi na hakuna cha posho wala...
Kama mnavyojua binadamu huyuhuyu anayesumbuliwa na magonjwa chungu mzima yasiyoambukizwa na cancer ni kiumbe aliye busy sana anakimbizana na muda na maisha tofauti kabisa na kobe ambaye metabolism...
Nsikuchoshe na usinchoshe,Tusichoshane!
Kwa namna Hali inavyoendelea Kuwa mbaya katika jamii hasa mambo wanayoyafanya hao mabinti wanaoitwa "wadada wa kazi" nimeona na Mimi angalau nikatoa...
Baada ya kutoa UPDATES za kuhusu kutelekezwa Wazazi wa KOMBO nje ofisi ya RPC Tanga bila ruhusa ya kumuona mtoto wao na msaada wowote Na baadae Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini wa CHADEMA...
Habari zenu?!
Leo nilikwenda sehemu kumtembelea rafiki angu ambaye nilisoma nae primary, sasa nilivyofika pale kwao, ile kunikaribisha, nkakuta watu wanaongea kana kwamba kuna tukio la...
Kwa takriban mwezi mmoja, Serikali ya Rais William Ruto imekuwa ikiripotiwa kukabiliana na Waandamanaji Vijana wenye Umri Mdogo maarufu kama 'GEN Z' ambao wanashinikiza Serikali ifanye mabadiliko...
Juzi nimejaribu kujaza taarifa za wazazi ili waweze kupata bima ya afya lakini nilirudishwa kwa sababu zifuatazo:
Majina ya mama anatumia majina ya baba baada ya kufunga Ndoa.
Majina ya Baba...
Matukio ya watu kutoweka katika mazingira yenye kutatanisha huku askari polisi wakihusishwa kuwashikilia yanaendelea kushika kasi nchini.
Taarifa mpya zilizolifikia Mwananchi zinadai kuwa vijana...
Haya mabasi yamekuwa yakilalamikiwa kuwa kuna uhuni mwingi unafanyika kwa abiria. Unapoenda kukata ticket wanakukatia bus jipya kwa nauli kubwa.
Ukija kupanda unakutana na ngarangara na...
JD Vance aliwahi kumwambia Trump kuwa ni Mpumbavu na Mwendawazimu asiyefaa kuwa Rais wa Marekani ila Wamarekani kwa kutuonyesha kuwa Siasa siyo Chuki na Uadui Wiki hii Mgombea wa Republican Donald...
Kila kukicha matukio ya kupotea kwa watoto, huku wakija kupatikana wakiwa hawana viungo vya sehemu za siri.
Shule nyingi Mbagala watoto wameacha kwenda shule wakihofia usalama wao.
Walimu...
Yaani katika watu ninaowachukia Tanzania hii ni Nyerere, ndiye aliingia madarakani na akakaa miaka 25 mwisho wa siku akawarithisha watanzania ujinga na umasikini yaani huyu mzee Mimi natamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.