Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kwa sisi wapenzi watazamaji wa Azam Tv wapenzi wa tamthiliya hasa pale Azam Two hakuna tena burudani kwa wote bali burudani kwa Waturuki. Tamthiliya zinazorushwa na Azam Tv zinachosha mana...
27 Reactions
79 Replies
4K Views
Halooooo Nawasalimu watafutaji wenzangu wa Tanzania na pande zote za dunia.Kama ilivyo ada lengo ni kupeana mbinu za kivita na za kimapambano ambazo zitatusaidia kupata noti za Matajiri wengi wa...
1 Reactions
5 Replies
637 Views
Nimegundua nina Hili tatizo la kugairisha mipango yangu ninayopanga baada ya mda flani. Yaani naweza nikawa na mipango thabiti kabisa juu ya jambo flani ambalo ukiangalia Kwa mda huo nikilifanya...
3 Reactions
26 Replies
892 Views
Akiwa ni miongoni mwá marubani wachache wanawake, bi Neema Swai Ndiye rubani wa ndege ya mizigo ya ATCL (Air Tanzania cargo) inayotua nchini leo rubani aliyeleta ndege hiyo Léo, akiwa na uzoefu...
21 Reactions
440 Replies
29K Views
Zanzibar ni nchi ya kiislamu? === Maulid Hussein Abdallah maarufu kama Mauzinde (29) amefikishwa Mahakama ya Mwanzo katika Kijiji cha Mwera Wilaya ya Magharibi Unguja Kisiwani Zanzibar, kwa...
12 Reactions
143 Replies
11K Views
Na; Ahmed Omar UTANGULIZI Kwa takriban miaka kumi hivi tokea kufanyika kwa Mapinduzi ya 1964 palikuwa pakifanywa uhalifu mkubwa hapa Zanzibar kwa jina la Mapinduzi hayo. Moja ya eneo maarufu...
14 Reactions
39 Replies
4K Views
Huyu jamaa professionally ni mwongoza watalii (Tour Guide) ambapo hadi leo ndo kazi yake kuu inayomtambulisha. Jina lake halisi ni Kazen, kabila mpare ila kisanii anajulikana zaidi kwa jina la...
2 Reactions
6 Replies
533 Views
Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikiskia uwekezaji through UTT ila nikawa mzito sana wa kutaka kufahamu ni nini, inafanyaje kazi na faida zake ni zipi. Mwishoni mwa mwezi April mmojawapo wa mtu...
8 Reactions
19 Replies
10K Views
Na Mwandishi Wetu TUME ya Ushindani (FCC) imewahakikishia wawekezaji kutoka nje ya nchi wanaokuja nchini Tanzania kuwekeza kwani kuna mazingira salama ya uwekezaji pamoja na kufanyabiashara...
3 Reactions
1 Replies
203 Views
Imeripotiwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari kuhusu Mtoto aliyechinjwa na Dada wa kazi. Watu wanaishia kulalamika tu bila kutoa suluhisho ya kitu gani kifanyike kupunguza huu ukatili Mkubwa kwa...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Habari wadau Nilikuwa nauliza nimepanga kutembelea Morogoro na familia ya watu watano, ningependa kufika choma waterfalls. Nakumbuka miaka kadhaa nishawahi kufika kwa pikipiki kutoka pale ofisi ya...
3 Reactions
14 Replies
662 Views
Leo hii watu wa dini wakizisoma habari za Suleiman kwenye vitabu wanadhani labda alikuwa Ni mfalme kweli kweli Tena tajiri lakini ukweli ni kwamba zamani Ni tofauti na sasa hivi. Nyakati zile mtu...
4 Reactions
116 Replies
19K Views
Habari za jioni wakuu, Straight to the point, mimi ni mmoja ya watu wanaopenda kutunza vitu kama coins, picha, etc. as souvenirs. Sasa mwaka 2016, BoT ilipotimiza miaka 50 tangu kuanzishwa kwake...
8 Reactions
22 Replies
1K Views
Salaam; Wanajukwaa poleni na mihangaiko ya kila siku, natafuta Godown kubwa kiasi kwa ukubwa wa kuanzia Square metre 800 mpaka 1000, Nikipata maeneo ya kuanzia Nala na singida Road itapendeza...
0 Reactions
4 Replies
340 Views
Tangu ilipoanza kutoa Huduma wiki tatu zilizopita, Treni ya Umeme (SGR) imekuwa ikifanya safari kati ya Dar es Salaam na Morogoro. Kufikia Julai 25, 2024 safari zitaongezwa hadi Dodoma. Hata...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Nimekuwa nifuatilia watu wanaishi kama mke na mme na mara nyingi ukiwaangalia wanafanana kama mtu na dada yake.Je nini inasababisha naomba kujuzwa
5 Reactions
74 Replies
9K Views
Soka la Tanzania kwa sasa limekuwa sana na ushindani ni mkubwa mnoo ila nashangaa kwanini serekali haioni umuhimu mkubwa wa kuboresha hata vile viwanja ambavyo tunavyo tayari viendane na hadhi ya...
0 Reactions
0 Replies
190 Views
RECHO TEMU AKALIA KUTI KAVU KENYA Wakati Nchini Kenya Jana ikiwa busy na Vuguvugu la Vijana wa Kisasa maarufu kama Gen Z wakiendelea kupambana na Serikali ya Ruto, huko katika Viunga vya Mahakama...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Siasa sio uadui ni ushindani na hamasa ya kuchochea maendeleo, inashangaza kuona mwanasiasa anazungumza jukwaani mpaka mishipa inataka kupasuka. Siasa ni ushindani wa hoja . Kutumia lugha ya...
0 Reactions
21 Replies
541 Views
Kwa yanayoendelea ni dharau na kejeli kwa mkuu wa nchi hawa wateule wanamdharau sana wanakula hadi wanavimbiwa sasa wanalopokaa vile wanavyojisikia usalama msaidieni mhe. Rais jamani haiwezekani...
3 Reactions
9 Replies
473 Views
Back
Top Bottom