Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Wadau salamuni. Tarehe 14.11.2011, IJP Mwema aliongea na vyombo vya habari na kutoa alichokiita PRESS RELEASE kama tahadhari lakini pia katika kuutumikia umma wa watanzania kama kazi yake ilivyo...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Kama ni msomaji mzuri wa JF utagundua kwamba zaidi ya 95% ya waandikaji na wachangiaji hoja ni malalamiko ya kila idara ya taifa letu Tanzania. Hiki ni kipimo kizuri na cha awali kujua wananchi wa...
0 Reactions
2 Replies
983 Views
Najitolea kufa ili Tanzania iondokane na udhalimu. Naamini damu yangu italeta chachu na ari mpya ya mabadiliko. CCM lazima ing'olewe madarakani, Kikwete lazima ashitakiwe kwa kukandamiza na...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Baada ya madreva wa daladala za kigogo mburahati kugoma kutokana na ubovu wa barabara, hatimae serikali ameanza kurekebisha sehemu korofi. Madreva wameapa hawataingiza magari yao barabarani hadi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
hiv kweli tusherekee sote nusu karne (miaka 50) ya uhuru? Au tulie sote kwa miaka 50 ya magamba ya unyonyaji ukandamizaji wa maskin,mfumuko wa bei ,elimu mbovu. Tushirikiane sote wanaharakat...
0 Reactions
0 Replies
885 Views
mimi jamani nashindwa kuelewa jinsi hii nchi inavyoendeshwa! Kwa mfano nataka kujua ni sheria gani hutumika kumkamata mtu mathalani amenunua sukari arusha mjini na soko lake liko namanga ambayo ni...
0 Reactions
0 Replies
917 Views
Kwa Kuwa Wananchu tuna wakilishwa na Wabunge na Kwamba sasa tunataka katiba mpya iliyo na maslahi yetu na sio kuchakachua !!! Upo ukweli kwamba CCM wamepora Ushindi wa Upinzani katika nafasi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mfanyakazi mmoja katika kituo kimoja cha redio ya kiongozi mmoja serikalini, anaendelea kunyanyasika kwa kuchukuliwa vitu vyake vya ndani katika nyumba aliyokuwa akiishi kabla ya kufiwa na mkewe...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hello A QUICK PRAYER Please do not break. Just 27 words "God, our Father, walk through my house and take away all my worries and illnesses and please watch over and heal my family in God's name...
0 Reactions
1 Replies
746 Views
Mie natumia Mtandao wa TIGO Leo majira ya saa kumi jioni simu yangu ilipoteza network ghafla baada ya kuongea tu na baadhi ya simu. Imekua ni kama desturi toka niingie Jiji la Mwanza wiki...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Kila kukicha utasikia mara UDSM ,Mara Makumira ,Mara CDM TUNATAKA KULALA VIWANJANI VYOTE HIVI VINAISHIA KATI SASA INABIDI TUJIANDAE KWA MECHI ITAKAYO LETA MSHINDI SIO TUNAISHIA KATI BANA...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Katiba ya nchi ni kwa faida ya wote. Wakati Chiruba akiingia Madarakani iliundwa katiba ili kumlinda yeye , chama chake na washirika wake, huku ikiwakandamiza wapinzani kama kwamba nchi ilikuwa ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndg zanguni!! Samahanini sana kama ntarudi nyuma kukumbusha yaliyotokea na si mbaya kwa mwenye kujua kinachoendelea na akatukumbusha wengine humu ndani wenye kutaka kujua yanayoendelea kuhusu ule...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hongera broda!! kwa kuwachana wanabodi wote walikuwapo rasmi kwenye bodi ya kuutangaza mlima kilimanjaro katika maajabu 7 ya dunia. Kawachana mno, na kadai bodi ilikuwa inakaa kimyakimya. Wizara...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Kuna tetesi kuwa mwanafunzi mmoja wa Chuo cha SAUT jijini Mwanza amejinyonga juzi. Habari zinasema marehemu aliacha ujumbe ukileza kuwa sababu za kujinyonga ni wenzake kumwita Cameron. Mwenye...
1 Reactions
41 Replies
5K Views
hatimaye tunangoja siku 3 tufunge chuo masomo yamesitishwa Usalama wa Taifa mjue Hakuna wanaharakati ishu imeuma watu
0 Reactions
80 Replies
7K Views
Habari zenu, Naomba mnisaidie dua inayotumiwa na bunge la Tanzania kabla ya kuanza vikao vyake.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Zenith Teachers Junction bado tunahitaji walimu. Hususani wa Grade A na Nursary wako wapi. Tuna demand kubwa ya walimu kwenye Data base yetu. Piga Kuanzia tarehe 17.nov 2011 simu namba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Rostam Aziz ahusishwa ufisadi mabilioni ya Japan Ni za Mfuko wa Chakula Zilizochotwa ni bilioni 200 Toleo Na. 090 Rostam Aziz ahusishwa ufisadi mabilioni ya Japan Na Waandishi Wetu...
1 Reactions
28 Replies
6K Views
Leo niko Ubungo Terminal hapa najiendaa kwenda kwa akina Ta Muganyizi kula senene ila kwakua ni wajibu wangu kuna mambo ambayo nimejaribu kuangalia hapa Ubungo Terminal. Kwanza nimefatilia kama...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom