Saturday, 02 July 2011 09:49
0diggsdigg
Waandishi Wetu
WAFANYABIASHARA wa mafuta ya petroli, dizeli na taa, ni kama wamegomea mpango wa serikali wa kushusha bei kupita bajeti ya...
Baada ya waziri wa mambo ya nje wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kuitolea maneno ya dharau na shutuma nchi ya uingereza juu ya sakati la fedha za rejesho la rada, nchi hiyo inajiandaa kujibu...
kila siku wanapost vitu ambavyo havina maana na ambavyo havina tija 'je kaniki hawamjui rangi yake au wanasumbuliwa na njaa?' badala yake wangejadili juu ya kero zinazowasibu wananchi na kusaidia...
hapa UDSM imekuwa kawaida wanafunzi kuwaua vibaka wanaposhikwa wakiiba mali zao, mfano ni tukio la juzi ijumaa tarehe mosi julai pale hall five (5) wanafunzi walimwua kibaka licha ya juhudi za...
Photo: AP
An election worker shows a ballot during ballot counting at a polling station in Bangkok, Thailand, on Sunday, July 3, 2011
Thailand voters went to the polls Sunday in the first...
Wajumbe mwenye habari kamili juu ya ni namna gani na jinsi gani watu wenye masters na phd wanapewa vyeo katika jeshi la wananchi wa tanzania JWTZ naomba atoe ufafanuzi
Moto wa Katiba wazidi kuwaka
WADAU WAPINGA KUZINDULIWA 2011
SIKU chache baada ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kutangaza kuwa Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itazinduliwa...
Nimependezwa na umoja wa wana jf Arusha, napendekeza kuwe na umoja huu sehemu nyingi zaidi. Wana jf Kilimanjaro mpo? Tunaweza kuwa na gathering zaidi ya kukutana na hoja za jukwaan? Wanaounga hoja...
Hili swali watanzania tunajiuliza? Iweje viongozi wote nchi hii wakatibiwe nje ya nchi? Hivi kuwa kiongozi ina maana unakuwa sio raia? Ni mazoea kuwa kila kiongozi wa juu akiumwa anapelekwa nje ya...
Nyie watu wa CDM ooh chama chenu kinakufa soon , hivi lile bifu kati ya Mbowe na Zitto limeishia wapi? duu maana najua mtiti bado upo wanachekeana kichina tu ila moyoni mmh! aisee hivi madai ya...
Pinda amejinasibu kuwa serikali ya awamu ya 4 ndiyo imewahi kufanya,hasa kwa kudai kuwa kuanzishwa kwa UDOM na ujenz wa shule za kata,lakini mimi nasema maamuz magumu ambayo yamewahi kufanywa na...
Kwa kuwa Wakenya hawataki bidhaa za Tanzania ziuzwe kwao (japo ni hodari kwa kutaka soko huru EAC) basi nasi tuzigomee bidhaa zao KWA KUANZIA NA TUSKER. Na asitokee mtu kudai kuwa tusker ni ya...
...........WanaJF wenzangu kwanza awali ya yote napenda kuwapa pole kwa matatizo haya ya umeme yanayoendelea kwa kasi...mgao huu wa umeme unaweza ukawa unaenda kufanana na ule mgao wa umeme wa...
Kwa hali ilivyo mm nashau watz na vyombo vya habari tutulie tukiache hiki chama kijfie haraka iwezekanavyo, maana tukiendelea kutoa ushauri tunawafanya wajiangalie walipokosea huku tunachelewesha...
Nimejaribu kuzungukia maofisi ya umma na binafsi tz hasa hapa bongo nikaona ofisi hizo zina bajeti ya magazeti ilihali zina mtandao wa internet!
Binafsi siamini kama mfanyakazi wa ofisi ya umma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.